Thread closed!Ni taratibu za kijeshi.
Ni taratibu za kijeshi.Why?
Explanation please!
ila jf..Ni taratibu za kijeshi.
Ni taratibu za kijeshi.
Hii ni kwa nini na historia ipoje wakuu?
Watu wote huzuni ziliwatoka wakabaki wanashangaa gwaride
Sasa wewe si ujibu mkuu, mbona Kama unanilazimisha , mi nishatoa jibu langu halina maelezoUmesoma vizuri hapo mkuu?
Watakuja wafafanuzi. Mi sijuiila jf..
Yaanni ndio,ni taratibu za jeshi,sasa mdadavulie hizo taratibu ili aswe na sintofahamu tena
Why?
Explanation please!
naam,siku ya birthday sioSio wanapokufa tu hata wanapozaliwa
nb:sitaki maswali
Ngoja tusubiroe hapa wajeda wajeWatakuja wafafanuzi. Mi sijui
Ila wakija hapa mnakula kichura chura kwanza ndipo mnajibiwaNgoja tusubiroe hapa wajeda waje
Sio wanapokufa tu hata wanapozaliwa
nb:sitaki maswali
😂😂 Wewe umezidi uongo khaaSio wanapokufa tu hata wanapozaliwa
nb:sitaki maswali
Unataka kusema wale kona bar nao waagwe kwa namna ya kwao?Umofia kwenu!
Nipo msibani kafariki mwanajeshi. Wanajeshi wanamuaga kwa gwaride na almost msiba wote wameuchukua wao. Ndugu wamepata nafasi ndogo sana.
Hii ni kwanini na historia ipoje wakuu? Watu wote huzuni ziliwatoka wakabaki wanashangaa gwaride.