Kwanini Wanajeshi huagwa kwa gwaride?

Umofia kwenu!

Nipo msibani kafariki mwanajeshi. Wanajeshi wanamuaga kwa gwaride na almost msiba wote wameuchukua wao. Ndugu wamepata nafasi ndogo sana.

Hii ni kwanini na historia ipoje wakuu? Watu wote huzuni ziliwatoka wakabaki wanashangaa gwaride.
Unataka kusema wale kona bar nao waagwe kwa namna ya kwao?
 
Back
Top Bottom