Nimecheka kwa sautiSio wanapokufa tu hata wanapozaliwa
nb:sitaki maswali
Nimecheka kwa sautiSio wanapokufa tu hata wanapozaliwa
nb:sitaki maswali
Ningekuwa mwanajeshi ningekujibu ila mimi ni raia wa kawaida tuUmofia kwenu!
Nipo msibani kafariki mwanajeshi. Wanajeshi wanamuaga kwa gwaride na almost msiba wote wameuchukua wao. Ndugu wamepata nafasi ndogo sana.
Hii ni kwanini na historia ipoje wakuu? Watu wote huzuni ziliwatoka wakabaki wanashangaa gwaride.
Hakuna histore, hesabu, jografia, kemia wala baioloje, kila kitu ni amri hautumii bongo.Umofia kwenu!
Nipo msibani kafariki mwanajeshi. Wanajeshi wanamuaga kwa gwaride na almost msiba wote wameuchukua wao. Ndugu wamepata nafasi ndogo sana.
Hii ni kwanini na historia ipoje wakuu? Watu wote huzuni ziliwatoka wakabaki wanashangaa gwaride.