Kwanini wanajeshi hawakatwi Kodi?

Kwanini wanajeshi hawakatwi Kodi?

kwa kweli hawa walinzi wetu hawakutakiwa kulipa kodi hata kwenye mishahara yao,kwani hawa jamaa ni wazalendo no 1.Wameamua kuweka uhai wao rehani kwa ajili ya maisha yetu na ustawi wa Tanzania!.

Sio kweli na wala hicho sio kigezo cha uzalendo.
 
Mkuu hapo umenena kweli, maana utakuta mtu anakuunganishia posho zako zote kwenye mshahara matokeo yake unakatwa na kodi isiyohusika. Mfano wafanyakazi wa pale uwanja wa ndege wa kimataifa Dar wanaunganishiwa posho na mshahara kwa pamoja na kodi inakatwa kwa ujumla wake.

Hayo makosa yanafanyika idara nyingi tu za serikali. Baadhi ya idara allowance inawekwa pamoja na mshahara,kwa hiyo unajikuta inakatwa kodi. Idara zingine allowance inalipwa peke yake na mshahara. Ni mfumo mbovu wa mishahara nji hii.

Tunadhulumiwa sana hawa so called wanaotetea wafanyakazi wapiganie hili swala allowance ilipwe separate na mishahara wasinganganie kushusha PAYE wakati hizo 1% anazoshusha JK ni difference ya buku 2 au buku 3.

~Makampuni/taasisi za serikali zinanufahika sana na ulipaji huu wa kuchanganya allowance na salary,haiwezekani hela ya likizo ambayo let say 500k unaingiza kwenye mshahara na kuikata kodi ambayo naambulia laki 3 na 20 huu ni wizi kwanini usinipe laki 5 kavu kama ilivyo? Huu ni wizi.
 
Mambo Zenu Wanajf,

Hivi Kwanini wanajeshi hawalipi kodi katika mishahara yao?

Naona wanapewa upendeleo mkubwa hivi ni kwanini?


Rushwa ndo maana yamekaa kimya hata kusahau wajibu wao. Katiba inanajisiwa yenyewe haaa bora kunakucha pambaf.

Kila mtu anamchango kwa taifa

-Mwalimu ndio nambari one, hakuna chochote bila mwalimu lakini kwasababu sio tishio kwa utawala wa ccm wanataabishwa kinoma.

-Dakitari ndio nambari two, hakuna chochote bila Afya kwetu sote. sio tishio kwa CCM basi wanapuuzwa tu.

-Wataalamu wengine kama wahandisi, wanasheria, maafisa ugani kilimo nk sio tishio wanapuuzwa.

Wanajeshi kwasababu nitishio kwa serikali ya ccm, dio sababu utasikia mkuu wa mkowa kapten mtaaafu John chiligati

Mstaaf, mstaaf....mstaaf Ger Shimbo nk nk hakuna lolote ni Rushwa. CCM na takrima/Rushwa nikama kichwa na shingo.

Lazima wote tukatwe kodi bana ala, kwan madakitari hawafi kwa kuambukizwa magonjwa kutoka wagonjwa wanaowatibu?
wanakufa so why only the relief for sodiers????????
 
Usikurupuke kuongea kabla hujafanya uchunguzi wa kina,acha kufuata vijistori vya vijiweni,mnadanganyana tu.
 
mshahara wangu wa mwezi huu ni 1,067,800 /=gross nimekatwa kodi 170,000/= je ni sahihi?
 
Sheria ya kodi inasema 'pato lolote mtu analopata kutokana na kazi linatakiwa likatwe kodi' kwahiyo hata hizo taasisi za serikali zisizowakata wafanyakazi wao kodi ni kinyume na sheria.
 
nchi wasiolipa kodi ni wengi kuliko wanaolipa,ukianza na raisi na hao wajeshi na watu kibao
 
Jamani, forgive my ignorance; hivi mishahara ya wafanyakazi si inatolewa na serikali? Na serikali hiyo hiyo si ndio inakata kodi? Kuna logic gani ya kunipa pesa na kuichukua. Ni sawa na kujipa mwennyewe. Si waseme tu mshahara wa mwakimu sh 400,000 badala ya 506400.
Wachukue kodi toka kwa wafanyakazi wa secta binafsi hapo ndipo watakapoingiza kitu.
Au?????
 
Sheria ya kodi inasema 'pato lolote mtu analopata kutokana na kazi linatakiwa likatwe kodi' kwahiyo hata hizo taasisi za serikali zisizowakata wafanyakazi wao kodi ni kinyume na sheria.
So serikali inanipa pesa halafu inaninyang'anya. Unnecessary paperwork.
Au ndio kujidanganya kuwa mapato ya serikali kwa njia ya kodi ni makubwa? Waache kodi za wafanyakazi wa serikali wakazane kwenye madini na wafanya biashara.
 
Jamani, forgive my ignorance; hivi mishahara ya wafanyakazi si inatolewa na serikali? Na serikali hiyo hiyo si ndio inakata kodi? Kuna logic gani ya kunipa pesa na kuichukua. Ni sawa na kujipa mwennyewe. Si waseme tu mshahara wa mwakimu sh 400,000 badala ya 506400.
Wachukue kodi toka kwa wafanyakazi wa secta binafsi hapo ndipo watakapoingiza kitu.
Au?????

Upo sahihi mkuu,ngoja wasomi nao walete logic zao za darasani tupate shule
 
Rushwa ndo maana yamekaa kimya hata kusahau wajibu wao. Katiba inanajisiwa yenyewe haaa bora kunakucha pambaf.

Kila mtu anamchango kwa taifa

-Mwalimu ndio nambari one, hakuna chochote bila mwalimu lakini kwasababu sio tishio kwa utawala wa ccm wanataabishwa kinoma.

-Dakitari ndio nambari two, hakuna chochote bila Afya kwetu sote. sio tishio kwa CCM basi wanapuuzwa tu.

-Wataalamu wengine kama wahandisi, wanasheria, maafisa ugani kilimo nk sio tishio wanapuuzwa.

Wanajeshi kwasababu nitishio kwa serikali ya ccm, dio sababu utasikia mkuu wa mkowa kapten mtaaafu John chiligati

Mstaaf, mstaaf....mstaaf Ger Shimbo nk nk hakuna lolote ni Rushwa. CCM na takrima/Rushwa nikama kichwa na shingo.

Lazima wote tukatwe kodi bana ala, kwan madakitari hawafi kwa kuambukizwa magonjwa kutoka wagonjwa wanaowatibu?
wanakufa so why only the relief for sodiers????????
Lkn kumbuka hao uliowataja woote wanapatikana jeshini. Endapo hao wa uraiani watagoma basi Makamanda wanachukua nafasi hizo shuleni, hosputali n.k.
 
kwa kuwa wakikatwa na wao watatukata
 
Yani mi naona wanastahili kabisa msamaha wa kodi.tena walipwe kuliko wafanyakazi wengine.kazi yao ni too risk.binafsi nikisikia ndugu yangu kaenda kazi ya jeshi nahisi kulia
 
Nami nashangaa hata bei ya bidhaa zao ni ndogo
mfano bielle
 
Mambo Zenu Wanajf,

Hivi Kwanini wanajeshi hawalipi kodi katika mishahara yao?

Naona wanapewa upendeleo mkubwa hivi ni kwanini?
Ndio maana wanaitwa wanajeshi Kazi wanayoifanya ni ngumu na ni ta Hatari kutolipa kodi ni sehemu ndogo sana ta fadhila wanayotakiwa kupewa kama walinzi wa nchi. Nawakubali sana askari wetu ingetakiwa hata mishahara yao iwe mikubwa sana, nakuja mtaongea mengi kwa sababu hujashuhudia vita tuliokuwepo kipindi cha vita ya uganda tunaelewa, achana kabisa n'a ishu Zaa hao walinzi watu.
 
Hawa jamaa wanalipa kodi tena hela ndefu.Pia wale wako full kwa kila kitu.Madaktari,manesi,walimu nk!Idara yoyote unayoiona uraiani kule ipo!
 
Mambo Zenu Wanajf,

Hivi Kwanini wanajeshi hawalipi kodi katika mishahara yao?

Naona wanapewa upendeleo mkubwa hivi ni kwanini?
Utajua wakati wa vita ambapo wakati wa umelala na mkeo au Mume wanajeshi wanakua vitani
 
Back
Top Bottom