February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
hii inahusiana nini na wanafunzi?? machinga mbona hawavai unifom kama makondakta?kwahyo wanafunzi na makondakta waache kuvaa unifom wavae vitambulisho kwasababu machinga wameambiwa hivyo?Kampuni binafsi za ulinzi zinazoendesha shughuli zake hapa nchini zimetakiwa kuvaa sare za aina moja.