Kwanini wanafunzi wa ICT, IT, CS na IS hawatoi proposal mpya?

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,208
1,755
Nimegundua haya,

Kwanini Hapa Tanzania kila graduates wa taaluma hizi atakuja na proposal ya information management system yoyote ile hata kama zipo tayari.

Kibaya zaidi system hizi hazina tofauti miaka nenda rudi

Hakuna kingine tofauti?

Je, Kati ya wanafunzi, wasimamizi, maandalizi na mazingira ni lipi linachangia/sababisha kuendelea kudumaa kwa taaluma hizi?

Ninaposema kudumaa namaanisha hatupati watu wenye upeo mpana wa kufikiri na kutoa tatuzi bora zenye ushindani na zilizotofauti katika maswala yanayohusisha tàaluma hizi!.

Una sema nini kuhusu hili, @wadau wa elimu.
 
Mtu anaanza kusoma kuhusu IT akiwa chuo unategemea nini?
Kwa miaka minne au mitatu inashindikana kufanya tafiti mpya au atleast improvement yoyote katika yaliyopita?


Mkuu narejea sababu nilizoorodhesha.

Unamaanisha shida ni maandalizi kama ni hivyo unashauri nini katika mfumo wa elimu kwa taaluma hizi?
 
Nimegundua haya,

Kwanini Hapa Tanzania kila graduates wa taaluma hizi atakuja na proposal ya information management system yoyote ile hata kama zipo tayari.

Kibaya zaidi system hizi hazina tofauti miaka nenda rudi.

Hakuna kingine tofauti?.

Je, Kati ya wanafunzi, wasimamizi, maandalizi na mazingira ni lipi linachangia/sababisha kuendelea kudumaa kwa taaluma hizi ?.

Ninaposema kudumaa namaanisha hatupati watu wenye upeo mpana wa kufikiri na kutoa tatuzi bora zenye ushindani na zilizotofauti katika maswala yanayohusisha tàaluma hizi!.

Una sema nini kuhusu hili, @wadau wa elimu.
Zipo nyingi tu. Nakumbuka 2013 nikiwa chuo .kulikuwa proposal nyingi ila hazikupata support so zikafia njiani.
 
sababu zangu
1. walimu wa vyuo- walimu wengi hasa vyuo vya binafsi wanaajiri walimu kufundisha kozi hizo wasio na ujuzi huo, hivyo walimu wengi wapo shallow sana kwenye mambo wanayofundisha so usitegemee kupata mwanafunzi mbunifu hapo.

2. wamiliki wa vyuo- wapo kimaslahi zaidi hawana habari na ubora wa elimu wanayotoa wao watahakikisha matokeo ya nakuwa mazuri ili wanafunzi waendelee kusoma wao wapate ada na miwanafunzi ilivyo mipumbavu inafurahia kuwa na gpa kubwa halafu ujuzi 0, hakuna ubunifu katika kutunga mitihani, utakuta mitihani inayotungwa chuo kabla ya kufanya wanafunzi wanajua maswali maarufu katika mtihani huo kwa maana hiyo wao watakesha wakikariri wao wao wanaita kumeza majibu, kwa kifupi kunaujanja ujanja mwingi sana naamini hiyo ni janja ya chuo ili wanafunzi wafaulu. naamini sana vyuo vya serikali ila siyo hivi private ptruuuuu....

3. passion kwa mwanafunzi-wanafunzi wengi wanasoma vitu wasivyovipenda wao wanafuata mkumbo tu sasa hapo usitegemee ubunifu zaidi ya bora liende. ndiyo maana projects nyingi za wanafunzi huwa wanazinunua kwa wajanja wa mjini, halafu wanawazuga wametengeneza wenyewe, sasa hivi wanafunzi wameona dili kukimbilia web design kila mwanafunzi anafuata mkumbo wote huko, hadi wanafunzi wa computer engineering wengi wamekimbilia web bahati mbaya zaidi kwa sasa ishu za web zimekuwa simple sana kuna njia rahisi zimebuniwa na wazungu za kutengeneza web kwa ujuzi kidogo tu.

4. uvuvu- no comment.
 
sababu zangu
1. walimu wa vyuo- walimu wengi hasa vyuo vya binafsi wanaajiri walimu kufundisha kozi hizo wasio na ujuzi huo, hivyo walimu wengi wapo shallow sana kwenye mambo wanayofundisha so usitegemee kupata mwanafunzi mbunifu hapo.

2. wamiliki wa vyuo- wapo kimaslahi zaidi hawana habari na ubora wa elimu wanayotoa wao watahakikisha matokeo ya nakuwa mazuri ili wanafunzi waendelee kusoma wao wapate ada na miwanafunzi ilivyo mipumbavu inafurahia kuwa na gpa kubwa halafu ujuzi 0, hakuna ubunifu katika kutunga mitihani, utakuta mitihani inayotungwa chuo kabla ya kufanya wanafunzi wanajua maswali maarufu katika mtihani huo kwa maana hiyo wao watakesha wakikariri wao wao wanaita kumeza majibu, kwa kifupi kunaujanja ujanja mwingi sana naamini hiyo ni janja ya chuo ili wanafunzi wafaulu. naamini sana vyuo vya serikali ila siyo hivi private ptruuuuu....

3. passion kwa mwanafunzi-wanafunzi wengi wanasoma vitu wasivyovipenda wao wanafuata mkumbo tu sasa hapo usitegemee ubunifu zaidi ya bora liende. ndiyo maana projects nyingi za wanafunzi huwa wanazinunua kwa wajanja wa mjini, halafu wanawazuga wametengeneza wenyewe, sasa hivi wanafunzi wameona dili kukimbilia web design kila mwanafunzi anafuata mkumbo wote huko, hadi wanafunzi wa computer engineering wengi wamekimbilia web bahati mbaya zaidi kwa sasa ishu za web zimekuwa simple sana kuna njia rahisi zimebuniwa na wazungu za kutengeneza web kwa ujuzi kidogo tu.

4. uvuvu- no comment.
Umenena vyema sana. Mimi nilisoma degree ambayo sikuwa na passion nayo na kiukweli nilikuwa nasomea mitihani. Sijawahi hata kwenda librabry kujiongezea maarifa. Passion ni kitu kikubwa sana. Ili ufanye jambo kubwa ktk field fulani ni lazima uwe na passion kwenye field husika. Kwasababu sina passion kwenye degree niliyosoma ndio sababu hadi leo sina hamu ya kufanya masters.
 
Umenena vyema sana. Mimi nilisoma degree ambayo sikuwa na passion nayo na kiukweli nilikuwa nasomea mitihani. Sijawahi hata kwenda librabry kujiongezea maarifa. Passion ni kitu kikubwa sana. Ili ufanye jambo kubwa ktk field fulani ni lazima uwe na passion kwenye field husika. Kwasababu sina passion kwenye degree niliyosoma ndio sababu hadi leo sina hamu ya kufanya masters.

pole sana ndugu,,,,, hauko peke yako kuna kundi kubwa la watu waliosoma bila passion.
 
Ukiwa na passion na kitu fulani hata saa nane usiku watu wakiwa wamelala wewe utaamka kukifanya huku ukiwa na tabasamu pana usoni.
[/Q

.




nakubaliana na wewe....mtu yeyote ambaye siyo tahahila ni genius ila kinachotutofautisha wengine kuonekana wanafanya vizuri katika mambo fulani na kuwaona kama magenius ni passion katika kitu wanachofanya
 
Back
Top Bottom