Kwanini wanaCHADEMA wamekuwa hivi?

Kwanini wanaCHADEMA wamekuwa hivi?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,505
Reaction score
16,005
Wanajamii heshima kwenu!

Ninaandika kwa masikitiko makubwa kutokana na tabia na matendo ninayoshuhudia miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya chama hicho kushindwa uchaguzi mkuu 2015. Ninalazimika kutolea maelezo baadhi ya tabia mbaya ambazo wafuasi na viongozi wa CHADEMA wanazikumbatia ambazo kimsingi zinawadhalilisha.

Husda/Husuda.
Kwa sasa wafuasi wa chadema ni kama vile wao sio watanzania...wanafurahia nchi ipate mabaya.Jana tar.23.8.2016...lilitokea tukio la mauaji ya polisi hjuko Mbande cha kusikitisha baadhi ya wafuasi wa chadema kupitia mitandao ya kijamii wamefurahia jambo hilo..eti wakijigamba ni malipo sababu polisi wamepiga marufuku ukuta. Si hilo tu utawasikia viongozi na wafuasi wa chadema wakisema 'nchi hii bila kuuana hatutaheshimiana'...''lazima tuchapane kama Burundi/Rwanda ndio heshima ije''...hizi ndio akili zao, tujiulize yakitokea haya je ni nchi gani kama wao wakiwa viongozi watatawala?..je wao familia zao si watanzania?

Fikra za utumwa.
Katika jambo ambalo Mbowe/Lowassa kafanikiwa kuwateka ni kuwawekea fikra kuwa wao ni watumwa/koloni.....utamsikia Mbowe akisema...''nataka niwakomboe makamanda''..nao wanafurahia. Alitakalo mjinga ndilo linalomtokea....wengi wa wafuasi wa chadema wanaishi kama watumwa...kifikra/kiuchumi/kisiasa nk....kwa sasa utawakuta wanasema ''bora Triump ashinde ili aje awaondoe watawala afrika''...akili mbovu hii...Mbaya zaidi hadi Profesa Baregu anasubiri ''kukombolewa'' na Mbowe au Lowassa...Naungana na Mwandishi,Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Nguli aliyekuwa Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh.Benjamini Mkapa aliyesema ''wanaofikiri nchi hii ni koloni hao ni malofa na wapumbavu''..ghafla watumwa hawa wakavaa fulana walizojiandika kuwa wao ni ''malofa na wapumbavu katika ubora''.

Kuabudu 'mazingaombwe'.
Moja ya tabia ambayo wamepandikizwa ni kuamini mazingaombwe ya kisiasa...na hapa lazima nikiri huenda Lowassa ndiye mwanamazingaombwe bora wa muda wote Tanzania kwani ndiye aliemtumia Sheikh Yahya kumpamba JK (2005-2010) sasa kahamia na siasa hizo za maajabu kazipeleka CHADEMA. Kujitwika 'unabii' kupitia mitume bandia,kujinasibu kwamba yeye ni zaidi ya serikali.....''niachieni kura za uraisi''...nk..nk..nk!,ICC,ICJ???

Ujinga na Rohombaya
Hii ni tabia ambayo kwakweli Lowassa kafanikiwa, kawatia ujinga....utakuta mtu ana PhD anasema mbele za watu...''ni bora nichague jiwe''..sasa ukichagua jiwe litakuwa Raisi?...upande wa pili wamepandikizwa chuki kuwachukia watu wengine hata kama ni ndugu zao wenye mtazamo tofauti kisiasa...baada ya uchaguzi tuliwasikia wakiapa....''sitarudi kijijini na sitatuma hela wala msaaada wowote kwa sababu chadema haijashinda kwetu'''...ujinga huu...au utamsikia Kubenea akiwaambia wabunge wenzake eti..''Mbunge wa chadema hjaruhusiwi kuzungumza,kuolewa...nk na mbunge wa CCM''..kwa hivyo kama mbunge wa CCM ana Kaka yake Mbunge wa chadema wasiongee...bure kabisa,....na hapa ndio mwendelezo wa Seif kutosalimia Dr.Shein katika msiba wa Jumbe...Ujinga huu Lowassa anafaidi sababu kageuzwa mungu...hatahojiwa,kafutiwa dhambi na kuhani Tundu.

Hasira na uninafsi.
Wanachadema kwa sasa wamejengwa kwa falsafa ya hasira na ubinafsi,kuchukia yeyote mwenye fikra tofauti na wao...wamejibandika wao kuwa ndio wenye 'akili na maono'..kitu ambacho sicho,utofauti wa itikadi kisiasa sio uadui.

Ulimbukeni;
Hii ni tabia ambayo kwa sasa imetamalaki,wanachadema hasa vijana wameacha kufanya kazi zilizowapa kipato na kutaka kufanya siasa muda wote...kutengeneza mazingira kuwa wanaonewa nk....kila kijana bavicha anafikiri ili uwe mwanasiasa ni lazima mbunge!..

Uongo na upotoshaji
Wanachadema wamejengwa katika uongo na upotoshaji wa mambo mbalimbali...kutengeneza 'clip' kwa kukatiza ili kupotosha ujumbe wa kiongozi wa serikali....bila kujua kuwa uongo hukwepa ukweli.Kuetengeneza machafuko na uongo dhidi ya serikali na wakiitwa polisi hujipiga picha hadi selo kama njia ya kupata huruma za kisiasa...haya mambo hayadumu!

Hizi ni baadhi ya tabia ambazo kwa kweli zinadhalilisha wanaCHADEMA.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Kwanini na nyie mnafurahia Polisi wanavyoshughulika na Upinzani? au mnafikiri Comment zenu hatuzioni humu ndani?

Mnachokipanda ndicho mtakachovuna.
Kwa hiyo ni kwelimnahujumu polisi?
 
Chadema kiko kwenye dripu,kinamsubiri daktari bingwa wilbroad slaa,laa sivyo kinana amendaa sanda na kaburi pale tengeru.
Ninakubaliana na wewe kwasababu wanayoyafanya ni tofauti na majukumu ya chama cha siasa.
 
Unalilia nini sasa wakati wewe kutwa kuchwa ni kuombea upinzani ufe! Wewe nani kakushika akili hadi kuombea upinzani ufe? Haya yote wameyaleta ccm kwa kuingiza siasa hadi pasipostahili kama kwenye jeshi la polisi.
 
Wewe na wenzio mmekuwa mstari wa mbele kujenga chuki humu ndani,mmekuwa mkijiona miungu watu,kila siku mmekuwa mkichochea humu polisi kuua raia,topic zenu ni za chuki tupu,kila siku mnamtukana Mbowe na Lowasa humu mnasahau nao ni watu na wana watu wanawaheshimu,Jana tu hapa mlikuwa mkisema CHADEMA watavunjwa viuno,watatolewa meno,nyie mtakuwa kwenye TV mnaangalia,LEO UNAKETA UNAFKI HAPA,MNAHARIBU HII NCHI NA KUWAJENGEA WATU VISASI THEN MNATAKA MUUNGWE MKONO,MNAFKI MKUBWA WEWE
 
Unalilia nini sasa wakati wewe kutwa kuchwa ni kuombea upinzani ufe! Wewe nani kakushika akili hadi kuombea upinzani ufe? Haya yote wameyaleta ccm kwa kuingiza siasa hadi pasipostahili kama kwenye jeshi la polisi.
Mbona wewe ndiye unalia?Mimi nimebainisha tabia zenu ambazo hujakanusha.
 
Wanajamii heshima kwenu!

Ninaandika kwa masikitiko makubwa kutokana na tabia na matendo ninayoshuhudia miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya chama hicho kushindwa uchaguzi mkuu 2015. Ninalazimika kutolea maelezo baadhi ya tabia mbaya ambazo wafuasi na viongozi wa CHADEMA wanazikumbatia ambazo kimsingi zinawadhalilisha.

Husda/Husuda.
Kwa sasa wafuasi na viongozi wa chadema ni kama vile wao sio watanzania...wanafurahia nchi ipate mabaya.Jana tar.23.8.2016...lilitokea tukio la mauaji ya polisi hjuko Mbande cha kusikitisha baadhi ya wafuasi wa chadema kupitia mitandao ya kijamii wamefurahia jambo hilo..eti wakijigamba ni malipo sababu polisi wamepiga marufuku ukuta. Si hilo tu utawasikia viongozi na wafuasi wa chadema wakisema 'nchi hii bila kuuana hatutaheshimiana'...''lazima tuchapane kama Burundi/Rwanda ndio heshima ije''...hizi ndio akili zao, tujiulize yakitokea haya je ni nchi gani kama wao wakiwa viongozi watatawala?..je wao familia zao si watanzania?

Fikra za utumwa.
Katika jambo ambalo Mbowe/Lowassa kafanikiwa kuwateka ni kuwawekea fikra kuwa wao ni watumwa/koloni.....utamsikia Mbowe akisema...''nataka niwakomboe makamanda''..nao wanafurahia. Alitakalo mjinga ndilo linalomtokea....wengi wa wafuasi wa chadema wanaishi kama watumwa...kifikra/kiuchumi/kisiasa nk....kwa sasa utawakuta wanasema ''bora Triump ashinde ili aje awaondoe watawala afrika''...akili mbovu hii...Mbaya zaidi hadi Profesa Baregu anasubiri ''kukombolewa'' na Mbowe au Lowassa...Naungana na Mwandishi,Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Nguli aliyekuwa Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh.Benjamini Mkapa aliyesema ''wanaofikiri nchi hii ni koloni hao ni malofa na wapumbavu''..ghafla watumwa hawa wakavaa fulana walizojiandika kuwa wao ni ''malofa na wapumbavu katika ubora''.

Kuabudu 'mazingaombwe'.
Moja ya tabia ambayo wamepandikizwa ni kuamini mazingaombwe ya kisiasa...na hapa lazima nikiri huenda Lowassa ndiye mwanamazingaombwe bora wa muda wote Tanzania kwani ndiye aliemtumia Sheikh Yahya kumpamba JK (2005-2010) sasa kahamia na siasa hizo za maajabu kazipeleka CHADEMA. Kujitwika 'unabii' kupitia mitume bandia,kujinasibu kwamba yeye ni zaidi ya serikali.....''niachieni kura za uraisi''...nk..nk..nk!,ICC,ICJ???

Ujinga na Rohombaya
Hii ni tabia ambayo kwakweli Lowassa kafanikiwa, kawatia ujinga....utakuta mtu ana PhD anasema mbele za watu...''ni bora nichague jiwe''..sasa ukichagua jiwe litakuwa Raisi?...upande wa pili wamepandikizwa chuki kuwachukia watu wengine hata kama ni ndugu zao wenye mtazamo tofauti kisiasa...baada ya uchaguzi tuliwasikia wakiapa....''sitarudi kijijini na sitatuma hela wala msaaada wowote kwa sababu chadema haijashinda kwetu'''...ujinga huu...au utamsikia Kubenea akiwaambia wabunge wenzake eti..''Mbunge wa chadema hjaruhusiwi kuzungumza,kuolewa...nk na mbunge wa CCM''..kwa hivyo kama mbunge wa CCM ana Kaka yake Mbunge wa chadema wasiongee...bure kabisa,....na hapa ndio mwendelezo wa Seif kutosalimia Dr.Shein katika msiba wa Jumbe...Ujinga huu Lowassa anafaidi sababu kageuzwa mungu...hatahojiwa,kafutiwa dhambi na kuhani Tundu.

Hasira na uninafsi.
Wanachadema kwa sasa wamejengwa kwa falsafa ya hasira na ubinafsi,kuchukia yeyote mwenye fikra tofauti na wao...wamejibandika wao kuwa ndio wenye 'akili na maono'..kitu ambacho sicho,utofauti wa itikadi kisiasa sio uadui.

Ulimbukeni;
Hii ni tabia ambayo kwa sasa imetamalaki,wanachadema hasa vijana wameacha kufanya kazi zilizowapa kipato na kutaka kufanya siasa muda wote...kutengeneza mazingira kuwa wanaonewa nk....kila kijana bavicha anafikiri ili uwe mwanasiasa ni lazima mbunge!..

Uongo na upotoshaji
Wanachadema wamejengwa katika uongo na upotoshaji wa mambo mbalimbali...kutengeneza 'clip' kwa kukatiza ili kupotosha ujumbe wa kiongozi wa serikali....bila kujua kuwa uongo hukwepa ukweli.Kuetengeneza machafuko na uongo dhidi ya serikali na wakiitwa polisi hujipiga picha hadi selo kama njia ya kupata huruma za kisiasa...haya mambo hayadumu!

Hizi ni baadhi ya tabia ambazo kwa kweli zinadhalilisha wanaCHADEMA.

Wamejaa uzandiki.
Kuhusu maziombwe ni kweli hawa Jamaal wanajisumbua kwa kutengeneza matatizo hewa
 
Wewe hivi haya maguvu polisiccm wanayotumia kupambana na UKAWA wangetumia hata robo yake tu kupambana na ujambazi leo hii ujambazi ungekuwa historia hapa nchi. RIP askari waliopoteza maisha.
 
Tena mjinga kama wewe hatakiwi kuongea humu,wewe na wenzio mmekuwa mstari wa mbele kujenga chuki humu ndani,mmekuwa mkijiona miungu watu,kila siku mmekuwa mkichochea humu polisi kuua raia,topic zenu ni za chuki tupu,kila siku mnamtukana Mbowe na Lowasa humu mnasahau nao ni watu na wana watu wanawaheshimu,Jana tu hapa mlikuwa mkisema CHADEMA watavunjwa viuno,watatolewa meno,nyie mtakuwa kwenye TV mnaangalia,LEO UNAKETA UNAFKI HAPA,MNAHARIBU HII NCHI NA KUWAJENGEA WATU VISASI THEN MNATAKA MUUNGWE MKONO,MNAFKI MKUBWA WEWE
Ndio maana Lema kaja na unafiki JF kutoa pole ilhali maneno aliyoandika ni furaha kwake,maandamano ni uhuni...haihalalishi uhuni.
 
Wewe zwazwa tu kama hao fisi wenzako, hivi haya maguvu polisiccm wanayotumia kupambana na UKAWA wangetumia hata robo yake tu kupambana na ujambazi leo hii ujambazi ungekuwa historia hapa nchi. RIP askari waliopoteza maisha.
Polisi walimsaidia Mbowe Tarime kuepuka kipigo
 
Wanajamii heshima kwenu!

Ninaandika kwa masikitiko makubwa kutokana na tabia na matendo ninayoshuhudia miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya chama hicho kushindwa uchaguzi mkuu 2015. Ninalazimika kutolea maelezo baadhi ya tabia mbaya ambazo wafuasi na viongozi wa CHADEMA wanazikumbatia ambazo kimsingi zinawadhalilisha.

Husda/Husuda.
Kwa sasa wafuasi na viongozi wa chadema ni kama vile wao sio watanzania...wanafurahia nchi ipate mabaya.Jana tar.23.8.2016...lilitokea tukio la mauaji ya polisi hjuko Mbande cha kusikitisha baadhi ya wafuasi wa chadema kupitia mitandao ya kijamii wamefurahia jambo hilo..eti wakijigamba ni malipo sababu polisi wamepiga marufuku ukuta. Si hilo tu utawasikia viongozi na wafuasi wa chadema wakisema 'nchi hii bila kuuana hatutaheshimiana'...''lazima tuchapane kama Burundi/Rwanda ndio heshima ije''...hizi ndio akili zao, tujiulize yakitokea haya je ni nchi gani kama wao wakiwa viongozi watatawala?..je wao familia zao si watanzania?

Fikra za utumwa.
Katika jambo ambalo Mbowe/Lowassa kafanikiwa kuwateka ni kuwawekea fikra kuwa wao ni watumwa/koloni.....utamsikia Mbowe akisema...''nataka niwakomboe makamanda''..nao wanafurahia. Alitakalo mjinga ndilo linalomtokea....wengi wa wafuasi wa chadema wanaishi kama watumwa...kifikra/kiuchumi/kisiasa nk....kwa sasa utawakuta wanasema ''bora Triump ashinde ili aje awaondoe watawala afrika''...akili mbovu hii...Mbaya zaidi hadi Profesa Baregu anasubiri ''kukombolewa'' na Mbowe au Lowassa...Naungana na Mwandishi,Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Nguli aliyekuwa Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh.Benjamini Mkapa aliyesema ''wanaofikiri nchi hii ni koloni hao ni malofa na wapumbavu''..ghafla watumwa hawa wakavaa fulana walizojiandika kuwa wao ni ''malofa na wapumbavu katika ubora''.

Kuabudu 'mazingaombwe'.
Moja ya tabia ambayo wamepandikizwa ni kuamini mazingaombwe ya kisiasa...na hapa lazima nikiri huenda Lowassa ndiye mwanamazingaombwe bora wa muda wote Tanzania kwani ndiye aliemtumia Sheikh Yahya kumpamba JK (2005-2010) sasa kahamia na siasa hizo za maajabu kazipeleka CHADEMA. Kujitwika 'unabii' kupitia mitume bandia,kujinasibu kwamba yeye ni zaidi ya serikali.....''niachieni kura za uraisi''...nk..nk..nk!,ICC,ICJ???

Ujinga na Rohombaya
Hii ni tabia ambayo kwakweli Lowassa kafanikiwa, kawatia ujinga....utakuta mtu ana PhD anasema mbele za watu...''ni bora nichague jiwe''..sasa ukichagua jiwe litakuwa Raisi?...upande wa pili wamepandikizwa chuki kuwachukia watu wengine hata kama ni ndugu zao wenye mtazamo tofauti kisiasa...baada ya uchaguzi tuliwasikia wakiapa....''sitarudi kijijini na sitatuma hela wala msaaada wowote kwa sababu chadema haijashinda kwetu'''...ujinga huu...au utamsikia Kubenea akiwaambia wabunge wenzake eti..''Mbunge wa chadema hjaruhusiwi kuzungumza,kuolewa...nk na mbunge wa CCM''..kwa hivyo kama mbunge wa CCM ana Kaka yake Mbunge wa chadema wasiongee...bure kabisa,....na hapa ndio mwendelezo wa Seif kutosalimia Dr.Shein katika msiba wa Jumbe...Ujinga huu Lowassa anafaidi sababu kageuzwa mungu...hatahojiwa,kafutiwa dhambi na kuhani Tundu.

Hasira na uninafsi.
Wanachadema kwa sasa wamejengwa kwa falsafa ya hasira na ubinafsi,kuchukia yeyote mwenye fikra tofauti na wao...wamejibandika wao kuwa ndio wenye 'akili na maono'..kitu ambacho sicho,utofauti wa itikadi kisiasa sio uadui.

Ulimbukeni;
Hii ni tabia ambayo kwa sasa imetamalaki,wanachadema hasa vijana wameacha kufanya kazi zilizowapa kipato na kutaka kufanya siasa muda wote...kutengeneza mazingira kuwa wanaonewa nk....kila kijana bavicha anafikiri ili uwe mwanasiasa ni lazima mbunge!..

Uongo na upotoshaji
Wanachadema wamejengwa katika uongo na upotoshaji wa mambo mbalimbali...kutengeneza 'clip' kwa kukatiza ili kupotosha ujumbe wa kiongozi wa serikali....bila kujua kuwa uongo hukwepa ukweli.Kuetengeneza machafuko na uongo dhidi ya serikali na wakiitwa polisi hujipiga picha hadi selo kama njia ya kupata huruma za kisiasa...haya mambo hayadumu!

Hizi ni baadhi ya tabia ambazo kwa kweli zinadhalilisha wanaCHADEMA.
Umesema mambo ya ukweli, utapata UTHIBITISHO wa uzi wako kwa majibu yao humu hawa bavicha.
 
Hakika umeonyesha tabia halisi za wanachadema.Jenga hoja!
Tehee nijenge hoja kwenye ujinga ulioandika watajenga hoja wapuuzi wenzio yaani wewe bado sana kuandika vitu vinavyoeleweka endelea kujitutumua labda baada ya miaka mi 3 utaandika cha maana
 
Tena mjinga kama wewe hatakiwi kuongea humu,wewe na wenzio mmekuwa mstari wa mbele kujenga chuki humu ndani,mmekuwa mkijiona miungu watu,kila siku mmekuwa mkichochea humu polisi kuua raia,topic zenu ni za chuki tupu,kila siku mnamtukana Mbowe na Lowasa humu mnasahau nao ni watu na wana watu wanawaheshimu,Jana tu hapa mlikuwa mkisema CHADEMA watavunjwa viuno,watatolewa meno,nyie mtakuwa kwenye TV mnaangalia,LEO UNAKETA UNAFKI HAPA,MNAHARIBU HII NCHI NA KUWAJENGEA WATU VISASI THEN MNATAKA MUUNGWE MKONO,MNAFKI MKUBWA WEWE
Mkuu hawa watu ni wakuhurumiwa!Walivyokuwa wanashabikia wakiwasihi Polisi kuvunja na kuua wanaCDM utafikiri sio watanzania utashangaa leo wamebadilika!
Mimi binafsi sijafurahia kitendo walicjhofanyiwa polisi,ila nadhani ni funzo wajue kipaumbele chao ni nin!Wakitaka kuwa wanasiasa watajikuta pabaya,wataacha majukumu yao ya msingi!
 
Back
Top Bottom