Kwanini wanaCHADEMA wamekuwa hivi?

Kwanini wanaCHADEMA wamekuwa hivi?

Nisifiche na wala nisiwe mnafiki! Mtu kama Tulia Akson namchukia sana tena sana! Sina jema naye hata moja.
Sasa unakuta mtu anakaa na kukwambia chadema wanaleta vurugu, tumeona bungeni kwa makusudi mtu anaambiwa hotuba yako mbadala ili isomwe lzm ifanyiwe edit, na tulia ndio kiongozi wa kuzuia hayo anafikia kuwa mtumwa kila siku eti atoki bungeni wala hawachii wenyeviti kuendesha bunge ili tu kuwadhibiti ukawa, vurugu zinaanzia bungeni alafu watu wananyimwa demokrasia ya kuwaambia watanzania ukweli, wanataka kuja huku kwa wananchi napo wanazuiwa kuongea na wanakamatwa. Alafu mtukufu ana sema siasa zimebakia bungeni sasa kama bungeni unafungwa gavana, na njee hakuna ruksa ya siasa utakwenda wapii
 
Wanajamii heshima kwenu!

Ninaandika kwa masikitiko makubwa kutokana na tabia na matendo ninayoshuhudia miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya chama hicho kushindwa uchaguzi mkuu 2015. Ninalazimika kutolea maelezo baadhi ya tabia mbaya ambazo wafuasi na viongozi wa CHADEMA wanazikumbatia ambazo kimsingi zinawadhalilisha.

Husda/Husuda.
Kwa sasa wafuasi wa chadema ni kama vile wao sio watanzania...wanafurahia nchi ipate mabaya.Jana tar.23.8.2016...lilitokea tukio la mauaji ya polisi hjuko Mbande cha kusikitisha baadhi ya wafuasi wa chadema kupitia mitandao ya kijamii wamefurahia jambo hilo..eti wakijigamba ni malipo sababu polisi wamepiga marufuku ukuta. Si hilo tu utawasikia viongozi na wafuasi wa chadema wakisema 'nchi hii bila kuuana hatutaheshimiana'...''lazima tuchapane kama Burundi/Rwanda ndio heshima ije''...hizi ndio akili zao, tujiulize yakitokea haya je ni nchi gani kama wao wakiwa viongozi watatawala?..je wao familia zao si watanzania?

Fikra za utumwa.
Katika jambo ambalo Mbowe/Lowassa kafanikiwa kuwateka ni kuwawekea fikra kuwa wao ni watumwa/koloni.....utamsikia Mbowe akisema...''nataka niwakomboe makamanda''..nao wanafurahia. Alitakalo mjinga ndilo linalomtokea....wengi wa wafuasi wa chadema wanaishi kama watumwa...kifikra/kiuchumi/kisiasa nk....kwa sasa utawakuta wanasema ''bora Triump ashinde ili aje awaondoe watawala afrika''...akili mbovu hii...Mbaya zaidi hadi Profesa Baregu anasubiri ''kukombolewa'' na Mbowe au Lowassa...Naungana na Mwandishi,Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Nguli aliyekuwa Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh.Benjamini Mkapa aliyesema ''wanaofikiri nchi hii ni koloni hao ni malofa na wapumbavu''..ghafla watumwa hawa wakavaa fulana walizojiandika kuwa wao ni ''malofa na wapumbavu katika ubora''.

Kuabudu 'mazingaombwe'.
Moja ya tabia ambayo wamepandikizwa ni kuamini mazingaombwe ya kisiasa...na hapa lazima nikiri huenda Lowassa ndiye mwanamazingaombwe bora wa muda wote Tanzania kwani ndiye aliemtumia Sheikh Yahya kumpamba JK (2005-2010) sasa kahamia na siasa hizo za maajabu kazipeleka CHADEMA. Kujitwika 'unabii' kupitia mitume bandia,kujinasibu kwamba yeye ni zaidi ya serikali.....''niachieni kura za uraisi''...nk..nk..nk!,ICC,ICJ???

Ujinga na Rohombaya
Hii ni tabia ambayo kwakweli Lowassa kafanikiwa, kawatia ujinga....utakuta mtu ana PhD anasema mbele za watu...''ni bora nichague jiwe''..sasa ukichagua jiwe litakuwa Raisi?...upande wa pili wamepandikizwa chuki kuwachukia watu wengine hata kama ni ndugu zao wenye mtazamo tofauti kisiasa...baada ya uchaguzi tuliwasikia wakiapa....''sitarudi kijijini na sitatuma hela wala msaaada wowote kwa sababu chadema haijashinda kwetu'''...ujinga huu...au utamsikia Kubenea akiwaambia wabunge wenzake eti..''Mbunge wa chadema hjaruhusiwi kuzungumza,kuolewa...nk na mbunge wa CCM''..kwa hivyo kama mbunge wa CCM ana Kaka yake Mbunge wa chadema wasiongee...bure kabisa,....na hapa ndio mwendelezo wa Seif kutosalimia Dr.Shein katika msiba wa Jumbe...Ujinga huu Lowassa anafaidi sababu kageuzwa mungu...hatahojiwa,kafutiwa dhambi na kuhani Tundu.

Hasira na uninafsi.
Wanachadema kwa sasa wamejengwa kwa falsafa ya hasira na ubinafsi,kuchukia yeyote mwenye fikra tofauti na wao...wamejibandika wao kuwa ndio wenye 'akili na maono'..kitu ambacho sicho,utofauti wa itikadi kisiasa sio uadui.

Ulimbukeni;
Hii ni tabia ambayo kwa sasa imetamalaki,wanachadema hasa vijana wameacha kufanya kazi zilizowapa kipato na kutaka kufanya siasa muda wote...kutengeneza mazingira kuwa wanaonewa nk....kila kijana bavicha anafikiri ili uwe mwanasiasa ni lazima mbunge!..

Uongo na upotoshaji
Wanachadema wamejengwa katika uongo na upotoshaji wa mambo mbalimbali...kutengeneza 'clip' kwa kukatiza ili kupotosha ujumbe wa kiongozi wa serikali....bila kujua kuwa uongo hukwepa ukweli.Kuetengeneza machafuko na uongo dhidi ya serikali na wakiitwa polisi hujipiga picha hadi selo kama njia ya kupata huruma za kisiasa...haya mambo hayadumu!

Hizi ni baadhi ya tabia ambazo kwa kweli zinadhalilisha wanaCHADEMA.
UKO PEKE YAKO KATI YA WATANZANIA ELFU 7 WANAOKUUNGA MKONO NI 7 JIULIZE KWA NINI
 
Ninatarajia kuona chama kinachotawala na kilichoshinda uchaguzi uliopita kwa kishido, kinakuwa chama cha watu wanaojiamini, na wanaoamini kwamba sera zao ni bora na ndiyo silaha pekee ya kuendelea kupata ushindi katika chaguzi zinazofuata. Tatizo letu sasa ni kwamba chama hiki ambacho kila siku kinatwambia kinashinda uchaguzi kwa kishindo, kimekuwa chama cha watu waoga kupita kiasi, wasiojiamini na wanaoogopa sana kukosolea na wasiopenda kukosolewa kabisa. Chama cha cha namna hii hugeuka kuwa tishio kwa kila mtu.... na chenyewe hutishwa na kila kitu!
 
Mimi sijacheka...kama kuna kesi zinaendelea uhuni wa kusema maandamano unatokea wapi?...au mnatumia ujinga wa wanachadema ili wajue Mbowe/Lissu/Lowassa wananyanyaswa pale watakapovunja sharia?.....Katika inatoa haki na wajibu...na maandamano lazima yalindwe na polisi...sasa ni jukumu la polisi kuwa na hakika kuwa waandamanaji watakuwa salama.....Hivi mbona kipindi Mbowe na Zitto hawaelewani....Mbowe aliomba jeshio la polisi kuwadhibiti wafuasi wa chadema amabo walikuwa bega kwa bega na Zitto...kama demokrasia ni kuacha kila mtu afanye atakalo?..Mbona juzi Maalim Seif na Mtatiro wameondoshwa ukumbini na polisi...!...tusipende kutetea kila upuuzi.Nawapongeza kwa uamizi wa kwenda mahakamani...na sio kufanya mambo yote kwa wakati mmoja.

Swali zuri...pamoja na kesi kuendelea mahakamani na zingine kuendelea kufunguliwa, maandamano yataendelea kwa sababu mikutano na kuandamana ni haki ya kikatiba. ni sawa na mtu anakukataza usinywe maji. sawa, unafungua kesi mahakamani kumpinga, lakini hata kama unajua kwamba utashinda tu kwa sababu ni haki yako kunywa maji, huwezi kusema usubiri mpaka kesi iamuliwe ndio uanze kunywa maji. vyama vya siasa vinapata uhai kwa kufanya siasa. bahati mbaya serikali ya awamu hii "imegundua" kwamba vyama vilivyosajiliwa kwa mujibu wa sheria vikifanya shughuli zao tena kwa mujibu wa sheria, "vinazuia maendeleo". hii ni ajabu, maana tokea mfumo wa vyama vingi uanze enzi za Rais Mwinyi, pamoja na mizengwe ya hapa na pale kubana vyama vya siasa, lakini hawajawahi kuzuia moja kwa moja "mpaka 2020", kama ilivyo hivi sasa. huu ugunduzi wa serikali ya awamu hii unashangaza.

Polisi wakifanya kazi zao kwa weledi wa kipolisi, wala hakuna matatizo. tatizo linakuja pale Polisi wanapofanya kazi kwa maelekezo ya "wanasiasa" au "wakubwa". kuna wakati Lowasa alikuwa anakwenda msibani alipofariki Mzee Peter Kisumo, Agosti 13, 2015. Polisi wakamzuia wakasema hawahitaji msafara, wanaoruhusiwa ni watu wachache tu! Wakasema hayo ni maagizo toka kwa "wakubwa". sasa unashangaa, hivi jamani hata kwenda msibani tunapangiana mwende watu wangapi? wakati mwenye msiba wala hajakataza watu wasije msibani! yaani hiyo "intelijensia" ya Polisi huwa ina malengo yaliyojificha nyuma yake. siku zote wanaozuiliwa ni wapinzani tu. wengine aaahh,
 
Ninatarajia kuona chama kinachotawala na kilichoshinda uchaguzi uliopita kwa kishido, kinakuwa chama cha watu wanaojiamini, na wanaoamini kwamba sera zao ni bora na ndiyo silaha pekee ya kuendelea kupata ushindi katika chaguzi zinazofuata. Tatizo letu sasa ni kwamba chama hiki ambacho kila siku kinatwambia kinashinda uchaguzi kwa kishindo, kimekuwa chama cha watu waoga kupita kiasi, wasiojiamini na wanaoogopa sana kukosolea na wasiopenda kukosolewa kabisa. Chama cha cha namna hii hugeuka kuwa tishio kwa kila mtu.... na chenyewe hutishwa na kila kitu!

Yaani hiki chama kweli ndio kilishinda uchaguzi? sidhani! mbona kinaogopa namna hii? kinatetemeka kwa hofu huku na kule. yaani Wallahi bila kuwa na joto la polisi hapa na pale, chama hiki wala hakifurukuti!!
 
Ngoja niongee kilugha kama baba Jesca aongeapo na watanzania, "Ndamko Ndalo Biswalo.... Ndendya Atukuzwe".
 
Kwa hiyo Lowassa Mbeya alienda kuimba kwaya?...kikao cha chadema kilichoibuka na ukuta ilikuwa ni ukuta?...huko bunda Esta Bulaya mikutano anayofanya ni ya wachawi?...panua akili yako dogo...wanafanya siasa kasha wanadanganya wajinga, wanamkosoa Raisi halafu wanalalamika Raisi hataki kukosolewa...ndio maana nikaandika pale juu....moja ya mambo yanayowasumbua CHADEMA ni pamoja na ujinga,mazingaombwe/ushirikina..nk..nk...soma tena upate chakula cha ubongo.
Taifa limepinda kwa sababu ya mawazo kama yako. Kama wewe ni kiongozi wa serikali au ccm kwa ngazi yoyote ile, ulitakiwa utuonyeshe hapa ili tuendelee kama taifa tunafanyaje. Itikadi ya ccm ni ujamaa na kujitegemea. Sera ya nchi ni soko huria. Huu mtanziko umetukwamisha kama nchi, ndiyo, viongozi wote, wametoka ccm, lakini kila mmoja anakuja na yake. Huyu wa sasa kaona slogani yake ya hapa kazi tu itamuumbua mapema, sasa anapozuia shughuli za siasa nchi inaendeshwa bila siasa? Akiwa Kahama amesema wajenga nchi ni wanaccm tu, kwa nini tenà anataka wasio wanaccm waitumikie slogan yake? Wewe mwenyewe unaamini kuwa watu wasio ccm hawana maana, kipi kinakufanya uanze kuanisha kutokuwa kwao na maana? Kwani wewe nani amekukataza kuwajibikia majukumu yako.? Kila mara mnahangaika na watu mliokwishà wahukumu, kwa sababu gani? Ni unafiki tuuuu....;;;;;;;;!!!!!!!!!!
 
Taifa limepinda kwa sababu ya mawazo kama yako. Kama wewe ni kiongozi wa serikali au ccm kwa ngazi yoyote ile, ulitakiwa utuonyeshe hapa ili tuendelee kama taifa tunafanyaje. Itikadi ya ccm ni ujamaa na kujitegemea. Sera ya nchi ni soko huria. Huu mtanziko umetukwamisha kama nchi, ndiyo, viongozi wote, wametoka ccm, lakini kila mmoja anakuja na yake. Huyu wa sasa kaona slogani yake ya hapa kazi tu itamuumbua mapema, sasa anapozuia shughuli za siasa nchi inaendeshwa bila siasa? Akiwa Kahama amesema wajenga nchi ni wanaccm tu, kwa nini tenà anataka wasio wanaccm waitumikie slogan yake? Wewe mwenyewe unaamini kuwa watu wasio ccm hawana maana, kipi kinakufanya uanze kuanisha kutokuwa kwao na maana? Kwani wewe nani amekukataza kuwajibikia majukumu yako.? Kila mara mnahangaika na watu mliokwishà wahukumu, kwa sababu gani? Ni unafiki tuuuu....;;;;;;;;!!!!!!!!!!
mambo mengi unaandika kwa kupotosha ili kutibu hasira zako. Kahama mbele ya Lembeli alisema ''CCM ndiye bosi kwa sababu imechaguliwa kutekeleza ilani''...na chama kinachoshinda maana yake wananchi wamechagua mpago wake na kutupa mingine kutoka vyama vingine.
 
Wanajamii heshima kwenu!

Ninaandika kwa masikitiko makubwa kutokana na tabia na matendo ninayoshuhudia miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya chama hicho kushindwa uchaguzi mkuu 2015. Ninalazimika kutolea maelezo baadhi ya tabia mbaya ambazo wafuasi na viongozi wa CHADEMA wanazikumbatia ambazo kimsingi zinawadhalilisha.

Husda/Husuda.
Kwa sasa wafuasi wa chadema ni kama vile wao sio watanzania...wanafurahia nchi ipate mabaya.Jana tar.23.8.2016...lilitokea tukio la mauaji ya polisi hjuko Mbande cha kusikitisha baadhi ya wafuasi wa chadema kupitia mitandao ya kijamii wamefurahia jambo hilo..eti wakijigamba ni malipo sababu polisi wamepiga marufuku ukuta. Si hilo tu utawasikia viongozi na wafuasi wa chadema wakisema 'nchi hii bila kuuana hatutaheshimiana'...''lazima tuchapane kama Burundi/Rwanda ndio heshima ije''...hizi ndio akili zao, tujiulize yakitokea haya je ni nchi gani kama wao wakiwa viongozi watatawala?..je wao familia zao si watanzania?

Fikra za utumwa.
Katika jambo ambalo Mbowe/Lowassa kafanikiwa kuwateka ni kuwawekea fikra kuwa wao ni watumwa/koloni.....utamsikia Mbowe akisema...''nataka niwakomboe makamanda''..nao wanafurahia. Alitakalo mjinga ndilo linalomtokea....wengi wa wafuasi wa chadema wanaishi kama watumwa...kifikra/kiuchumi/kisiasa nk....kwa sasa utawakuta wanasema ''bora Triump ashinde ili aje awaondoe watawala afrika''...akili mbovu hii...Mbaya zaidi hadi Profesa Baregu anasubiri ''kukombolewa'' na Mbowe au Lowassa...Naungana na Mwandishi,Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Nguli aliyekuwa Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh.Benjamini Mkapa aliyesema ''wanaofikiri nchi hii ni koloni hao ni malofa na wapumbavu''..ghafla watumwa hawa wakavaa fulana walizojiandika kuwa wao ni ''malofa na wapumbavu katika ubora''.

Kuabudu 'mazingaombwe'.
Moja ya tabia ambayo wamepandikizwa ni kuamini mazingaombwe ya kisiasa...na hapa lazima nikiri huenda Lowassa ndiye mwanamazingaombwe bora wa muda wote Tanzania kwani ndiye aliemtumia Sheikh Yahya kumpamba JK (2005-2010) sasa kahamia na siasa hizo za maajabu kazipeleka CHADEMA. Kujitwika 'unabii' kupitia mitume bandia,kujinasibu kwamba yeye ni zaidi ya serikali.....''niachieni kura za uraisi''...nk..nk..nk!,ICC,ICJ???

Ujinga na Rohombaya
Hii ni tabia ambayo kwakweli Lowassa kafanikiwa, kawatia ujinga....utakuta mtu ana PhD anasema mbele za watu...''ni bora nichague jiwe''..sasa ukichagua jiwe litakuwa Raisi?...upande wa pili wamepandikizwa chuki kuwachukia watu wengine hata kama ni ndugu zao wenye mtazamo tofauti kisiasa...baada ya uchaguzi tuliwasikia wakiapa....''sitarudi kijijini na sitatuma hela wala msaaada wowote kwa sababu chadema haijashinda kwetu'''...ujinga huu...au utamsikia Kubenea akiwaambia wabunge wenzake eti..''Mbunge wa chadema hjaruhusiwi kuzungumza,kuolewa...nk na mbunge wa CCM''..kwa hivyo kama mbunge wa CCM ana Kaka yake Mbunge wa chadema wasiongee...bure kabisa,....na hapa ndio mwendelezo wa Seif kutosalimia Dr.Shein katika msiba wa Jumbe...Ujinga huu Lowassa anafaidi sababu kageuzwa mungu...hatahojiwa,kafutiwa dhambi na kuhani Tundu.

Hasira na uninafsi.
Wanachadema kwa sasa wamejengwa kwa falsafa ya hasira na ubinafsi,kuchukia yeyote mwenye fikra tofauti na wao...wamejibandika wao kuwa ndio wenye 'akili na maono'..kitu ambacho sicho,utofauti wa itikadi kisiasa sio uadui.

Ulimbukeni;
Hii ni tabia ambayo kwa sasa imetamalaki,wanachadema hasa vijana wameacha kufanya kazi zilizowapa kipato na kutaka kufanya siasa muda wote...kutengeneza mazingira kuwa wanaonewa nk....kila kijana bavicha anafikiri ili uwe mwanasiasa ni lazima mbunge!..

Uongo na upotoshaji
Wanachadema wamejengwa katika uongo na upotoshaji wa mambo mbalimbali...kutengeneza 'clip' kwa kukatiza ili kupotosha ujumbe wa kiongozi wa serikali....bila kujua kuwa uongo hukwepa ukweli.Kuetengeneza machafuko na uongo dhidi ya serikali na wakiitwa polisi hujipiga picha hadi selo kama njia ya kupata huruma za kisiasa...haya mambo hayadumu!

Hizi ni baadhi ya tabia ambazo kwa kweli zinadhalilisha wanaCHADEMA.
Kilazer.Magufuli.Com
 
Tukutane September 1 mlidhani tunatania... Sasa yanaanza kuwauma... Bado hata hatujaezeka
 
Wanajamii heshima kwenu!

Ninaandika kwa masikitiko makubwa kutokana na tabia na matendo ninayoshuhudia miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA hasa baada ya chama hicho kushindwa uchaguzi mkuu 2015. Ninalazimika kutolea maelezo baadhi ya tabia mbaya ambazo wafuasi na viongozi wa CHADEMA wanazikumbatia ambazo kimsingi zinawadhalilisha.

Husda/Husuda.
Kwa sasa wafuasi wa chadema ni kama vile wao sio watanzania...wanafurahia nchi ipate mabaya.Jana tar.23.8.2016...lilitokea tukio la mauaji ya polisi hjuko Mbande cha kusikitisha baadhi ya wafuasi wa chadema kupitia mitandao ya kijamii wamefurahia jambo hilo..eti wakijigamba ni malipo sababu polisi wamepiga marufuku ukuta. Si hilo tu utawasikia viongozi na wafuasi wa chadema wakisema 'nchi hii bila kuuana hatutaheshimiana'...''lazima tuchapane kama Burundi/Rwanda ndio heshima ije''...hizi ndio akili zao, tujiulize yakitokea haya je ni nchi gani kama wao wakiwa viongozi watatawala?..je wao familia zao si watanzania?

Fikra za utumwa.
Katika jambo ambalo Mbowe/Lowassa kafanikiwa kuwateka ni kuwawekea fikra kuwa wao ni watumwa/koloni.....utamsikia Mbowe akisema...''nataka niwakomboe makamanda''..nao wanafurahia. Alitakalo mjinga ndilo linalomtokea....wengi wa wafuasi wa chadema wanaishi kama watumwa...kifikra/kiuchumi/kisiasa nk....kwa sasa utawakuta wanasema ''bora Triump ashinde ili aje awaondoe watawala afrika''...akili mbovu hii...Mbaya zaidi hadi Profesa Baregu anasubiri ''kukombolewa'' na Mbowe au Lowassa...Naungana na Mwandishi,Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Nguli aliyekuwa Raisi wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh.Benjamini Mkapa aliyesema ''wanaofikiri nchi hii ni koloni hao ni malofa na wapumbavu''..ghafla watumwa hawa wakavaa fulana walizojiandika kuwa wao ni ''malofa na wapumbavu katika ubora''.

Kuabudu 'mazingaombwe'.
Moja ya tabia ambayo wamepandikizwa ni kuamini mazingaombwe ya kisiasa...na hapa lazima nikiri huenda Lowassa ndiye mwanamazingaombwe bora wa muda wote Tanzania kwani ndiye aliemtumia Sheikh Yahya kumpamba JK (2005-2010) sasa kahamia na siasa hizo za maajabu kazipeleka CHADEMA. Kujitwika 'unabii' kupitia mitume bandia,kujinasibu kwamba yeye ni zaidi ya serikali.....''niachieni kura za uraisi''...nk..nk..nk!,ICC,ICJ???

Ujinga na Rohombaya
Hii ni tabia ambayo kwakweli Lowassa kafanikiwa, kawatia ujinga....utakuta mtu ana PhD anasema mbele za watu...''ni bora nichague jiwe''..sasa ukichagua jiwe litakuwa Raisi?...upande wa pili wamepandikizwa chuki kuwachukia watu wengine hata kama ni ndugu zao wenye mtazamo tofauti kisiasa...baada ya uchaguzi tuliwasikia wakiapa....''sitarudi kijijini na sitatuma hela wala msaaada wowote kwa sababu chadema haijashinda kwetu'''...ujinga huu...au utamsikia Kubenea akiwaambia wabunge wenzake eti..''Mbunge wa chadema hjaruhusiwi kuzungumza,kuolewa...nk na mbunge wa CCM''..kwa hivyo kama mbunge wa CCM ana Kaka yake Mbunge wa chadema wasiongee...bure kabisa,....na hapa ndio mwendelezo wa Seif kutosalimia Dr.Shein katika msiba wa Jumbe...Ujinga huu Lowassa anafaidi sababu kageuzwa mungu...hatahojiwa,kafutiwa dhambi na kuhani Tundu.

Hasira na uninafsi.
Wanachadema kwa sasa wamejengwa kwa falsafa ya hasira na ubinafsi,kuchukia yeyote mwenye fikra tofauti na wao...wamejibandika wao kuwa ndio wenye 'akili na maono'..kitu ambacho sicho,utofauti wa itikadi kisiasa sio uadui.

Ulimbukeni;
Hii ni tabia ambayo kwa sasa imetamalaki,wanachadema hasa vijana wameacha kufanya kazi zilizowapa kipato na kutaka kufanya siasa muda wote...kutengeneza mazingira kuwa wanaonewa nk....kila kijana bavicha anafikiri ili uwe mwanasiasa ni lazima mbunge!..

Uongo na upotoshaji
Wanachadema wamejengwa katika uongo na upotoshaji wa mambo mbalimbali...kutengeneza 'clip' kwa kukatiza ili kupotosha ujumbe wa kiongozi wa serikali....bila kujua kuwa uongo hukwepa ukweli.Kuetengeneza machafuko na uongo dhidi ya serikali na wakiitwa polisi hujipiga picha hadi selo kama njia ya kupata huruma za kisiasa...haya mambo hayadumu!

Hizi ni baadhi ya tabia ambazo kwa kweli zinadhalilisha wanaCHADEMA.
Unafiki sio mzuri hata kidogo
 
Back
Top Bottom