Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,107
- 9,213
CHADEMA Wengi ni walevi,waizi,wanzinzi sana alafu hawajazaliwa wametokea tu duniani!
Tatizo lenu mmezoea "zidumu fikra hata kama ni potofu za menyekiti" yaani mlete hata tu hoja zenu msipingwe? Tatizo lenu mnamwona kila mwenye hoja tofauti na pumba zenu kuwa ni adui
Utafiti uliofanywa na Taasisi zisizokuwa za Serikali , umebaini kuwa; Wanachama, wapenzi, wafuasi,wafurukutwa,wanaharakati, na hata baadhi ya viongozi, wengi wao wana hasira sana, ukiongea nao ukawabana maswali kidogo tu utawaona badala ya kujenga hoja au kujibu kwa hoja, badala yake utawasikia ama kuwaona wakitukana au kutoa lugha kama hizi; CCM wezi, Tutachukua nchi 2015, CCM ni mbumbumbu, Escrow, Epa, Richmond,n.k.
Mimi nimeuliza kwa mfano, Hivi Chadema inasera gani juu ya upatikanaji wa maji safi na salama na kwa bei nafuu, Je Chadema inasera gani ya kuboresha Elimu kwa Watanzania?, au Nini sera ya Chadema kuhusu kukmesha ujambazi Tanzania?
Lakini majibu ya wanachadema ni kutukana, kwenda Ikulu, kuzungumzia wizi wa Escrow, wanyama pori kuibiwa. Nilidhani wangesema sera yao ni ipi kuhusu kuzuia wizi wanaouongelea? Sasa nipeni jibu wana JF .
nimekuwa nikifuatilia threads na comment nyingi hapa jf,
ikitokea member ametoa angalizo au warning kwa chadema basi inakuwa tabu,
wanachadema wanaona kama wanaonewa,hawajui kuwa challenge ni muhimu sana,
hawataki kushindwa,hawajui kukubali kutokubaliana,
kwa kweli sijaipenda hiyo style.
Nikukumbushe mleta Hoya TABIA HAINA DAWA. Waacheni wakikuwa wataacha.
Nimefuatilia kwa muda sasa na nimeshindwa kupata tofauti kati ya chadema na uamsho. hawa jamaa wote ni wakali sana na hutokwa povu kwa kila jambo hata ukiwakosoa kwa faida yao wao huanza kutukana matusi na kutoa vitisho.
Naomba kama kuna mtu anajua tofauti kati ya chadema na uamsho anipatie please
nimekuwa nikifuatilia threads na comment nyingi hapa jf,
ikitokea member ametoa angalizo au warning kwa chadema basi inakuwa tabu,
wanachadema wanaona kama wanaonewa,hawajui kuwa challenge ni muhimu sana,
hawataki kushindwa,hawajui kukubali kutokubaliana,
kwa kweli sijaipenda hiyo style.
Nimefuatilia kwa muda sasa na nimeshindwa kupata tofauti kati ya chadema na uamsho. hawa jamaa wote ni wakali sana na hutokwa povu kwa kila jambo hata ukiwakosoa kwa faida yao wao huanza kutukana matusi na kutoa vitisho.
Naomba kama kuna mtu anajua tofauti kati ya chadema na uamsho anipatie please
nimekuwa nikifuatilia threads na comment nyingi hapa jf,
ikitokea member ametoa angalizo au warning kwa chadema basi inakuwa tabu,
wanachadema wanaona kama wanaonewa,hawajui kuwa challenge ni muhimu sana,
hawataki kushindwa,hawajui kukubali kutokubaliana,
kwa kweli sijaipenda hiyo style.
Nadhani si Vyema kumuita Mwenzako ana uelewa Mdogo Kwa kuwa tu kawasilisha Jambo Amblo huenda kwa Mtazamo wako halijakaa sawa.nafikiri wana CHadema wenzangu hasa waliopo hapa Jf wana uelewa mdogo sana,nashauri uongozi wa Chama hasa John Mnyika na wengine wachukue hatua haraka sana
yaani kinachonishangaza hawataki kusikia Chadema inakosolewa,,,jamanieee Chadema nao ni binadamu tu kama sisi nao wana makosa jamani mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho????mimi ni Chadema damu kuliko nyie mnaonishambulia hapa acheni upunguani nyie watu,Molemo nakuita kwa jina acha ujinga kaka kubali kukosolewa""""""""""""""Tumaini Makeni upo wapi mbona kama kuna mambo ya kienyeji yanaendelea hapa???:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
nafikiri wana CHadema wenzangu hasa waliopo hapa Jf wana uelewa mdogo sana,nashauri uongozi wa Chama hasa John Mnyika na wengine wachukue hatua haraka sana
yaani kinachonishangaza hawataki kusikia Chadema inakosolewa,,,jamanieee Chadema nao ni binadamu tu kama sisi nao wana makosa jamani mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho????mimi ni Chadema damu kuliko nyie mnaonishambulia hapa acheni upunguani nyie watu,Molemo nakuita kwa jina acha ujinga kaka kubali kukosolewa""""""""""""""Tumaini Makeni upo wapi mbona kama kuna mambo ya kienyeji yanaendelea hapa???:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
nafikiri wana CHadema wenzangu hasa waliopo hapa Jf wana uelewa mdogo sana,nashauri uongozi wa Chama hasa John Mnyika na wengine wachukue hatua haraka sana
yaani kinachonishangaza hawataki kusikia Chadema inakosolewa,,,jamanieee Chadema nao ni binadamu tu kama sisi nao wana makosa jamani mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho????mimi ni Chadema damu kuliko nyie mnaonishambulia hapa acheni upunguani nyie watu,Molemo nakuita kwa jina acha ujinga kaka kubali kukosolewa""""""""""""""Tumaini Makeni upo wapi mbona kama kuna mambo ya kienyeji yanaendelea hapa???:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
nafikiri wana CHadema wenzangu hasa waliopo hapa Jf wana uelewa mdogo sana,nashauri uongozi wa Chama hasa John Mnyika na wengine wachukue hatua haraka sana
yaani kinachonishangaza hawataki kusikia Chadema inakosolewa,,,jamanieee Chadema nao ni binadamu tu kama sisi nao wana makosa jamani mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho????mimi ni Chadema damu kuliko nyie mnaonishambulia hapa acheni upunguani nyie watu,Molemo nakuita kwa jina acha ujinga kaka kubali kukosolewa""""""""""""""Tumaini Makeni upo wapi mbona kama kuna mambo ya kienyeji yanaendelea hapa???:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed: