Kwanini wana CCM wako bize kuzusha kuhusu Lissu?

Kwanini wana CCM wako bize kuzusha kuhusu Lissu?

Ulivyo niona Juza ndivyo nilivyo leo mpaka kesho kutwa
ila ujue Tanzania nizaidi ya Lissu
kuwa lissu lissu anamsaidia nini Mtanzania wa kijijini Huyo!!
Tumepoteza Askari 11 Wanao linda maisha na Mali za watanzania mbona hamku laani kitendo hicho!
Kwa nini huwa mkiandika habari zinazomhusu Lissu mnakoseakosea?
 
Lofa wanajulikana
kila tukio laweza geuzwa mtaji kwa watu
baada ya Tukio la Lissu mmegeuza kiki ya kisiasa kwenu
lakuvunda halina ubani wapuuzi nyie.
Wameondoka wangapi Nchi hii tena wenye faida kubwa kwa Watanzania huyo lissu nani!!
Hasira zote hizo Kisa Lisu hajafa!
Bado unaendelea halafu unajifanya umechoka!
 
Kuzusha ili iweje!!
Huyu lissu nani hasa kwa Taifa hili!!
Tumepoteza Askari wakutosha Kibiti,
Tumepoteza Raia wakutosha Kibiti,Tanga
Huyu lisu nani kwanza!!

Huu ujinga kutwa lissu lissu Mnachosha tafuteni Kiki zingine
Tanzania nizaidi ya huyo Lissu wenu
Kwa hiyo Lissu ndiyo kawaua hao askari??Miaka 55 badala ya kuwa Chama Cha kuleta maendeleo Kwa watu CCM umekuwa chanzo na sababu ya Mauaji,kutesa na kuteka.

Ninamuomba Mungu siku moja atupe Uhuru wa kweli siyo huu wa kuwa na viongozi toka Chama Cha Mauaji
 
Ficha upumbavu wako
Ammalize nani huyo!
Atajimaliza na upuuzi wake,
Ukikubari kutimiwa na wazungu jua mwisho wako unakaribia
wale hawana Rafiki
mlitegemea apewe kazi na aendelee kupeta!!

Tanzania nizaidi ya Lissu

Tunavyojua ni Bora Lissu awe kuliko CCM kuendelea kuwepo Duniani.

Uhakika alaaniwe yule aliyeleta wazo.la kuwa na CCM.

Chama Cha Majizi,Mauaji,watesaji na watekaji.

Miaka 55 badala ya maendeleo.mno busy kuua na kutesa.

Ni bora kukutana na Shetani kuliko CCM
 
Ulivyo niona Juza ndivyo nilivyo leo mpaka kesho kutwa
ila ujue Tanzania nizaidi ya Lissu
kuwa lissu lissu anamsaidia nini Mtanzania wa kijijini Huyo!!
Tumepoteza Askari 11 Wanao linda maisha na Mali za watanzania mbona hamku laani kitendo hicho!
Kwa hiyo ulitaka watu wanyamaze kwamba hicho kitendo ni cha kibinadamu,nasema hivi wew c mzima kichwani mwako either unatafuta kiki ,na huko unakoitafutia na wao wanakushangaa mana hata unaowatetea wanakuona loooooooofa.ni hayo tu ukitaka pasuka
Lofa wanajulikana
kila tukio laweza geuzwa mtaji kwa watu
baada ya Tukio la Lissu mmegeuza kiki ya kisiasa kwenu
lakuvunda halina ubani wapuuzi nyie.
Wameondoka wangapi Nchi hii tena wenye faida kubwa kwa Watanzania huyo lissu nani!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzusha ili iweje!!
Huyu lissu nani hasa kwa Taifa hili!!
Tumepoteza Askari wakutosha Kibiti,
Tumepoteza Raia wakutosha Kibiti,Tanga
Huyu lisu nani kwanza!!

Huu ujinga kutwa lissu lissu Mnachosha tafuteni Kiki zingine
Tanzania nizaidi ya huyo Lissu wenu
sasa kwanini CCM mlikuwa mnataka kumuua kama Lissu si lolote sichochote?

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
Askari Mmoja anaweza linda Uhai wa Watanzania 200
Kupoteza Askari 10
umehatarisha Uhai wa Watanzania 2000!
Nikwanini Hamkuja na Upbavu wenu kama huu kutwa ili kulaani Kuuliwa kwa Askari wetu!

Huyo Lissu analipi lamaana kwa Taifa hili zaidi yakuwa Msaliti na mnafiki kwa Taifa,
Huyo yupo radhi kutetea Wazungu na kuiponda nchi yake!

Tanzania Imepoteza watu muhimu zaidi ya huyo Tundu lissu
msiwafanye watanzania wajinga kiasi hicho

Lissu ni Muhimu kuliko.hao wanachama wa Chama Cha Mauaji.

Hata wangepotea zaidi hao wauaji ni Bora kuliko Lissu mmoja.

Miaja 55 badala ya maendeleo mno busy kuua ,kutesa na kuteka
 
Na mwambieni huyu jamaa yenu aliyeko NRB wakenya watammlaliza hhluqa hawacheki na viumbe kama nyie wauaji wakuba
 

Attachments

  • 98d09dacc407e05c485a29db44b88102-1.jpg
    98d09dacc407e05c485a29db44b88102-1.jpg
    56.4 KB · Views: 35
Na mwambieni huyu jamaa yenu aliyeko NRB wakenya watammlaliza hhluqa hawacheki na viumbe kama nyie wauaji wakuba
 
Utahira Nidhana uliwahi kuuona!!?
Kutwa lissu lussu lissu!!
Inamaana Lisu kalifanyia nini lamaana Taifa hili
kama si mtanzania kama watanzania wengine!

Tunapoteza Askari hamsemi
leo kutwa Mtanzania mmoja tena Mamluki na Msaliti
Yes na kesho tena Lissu,lissu lissu.we umelifanyia nin taifa ?sema ulichofanya nawew tukutaje kutwa,kama huna ondoa akili zisizojulikana hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwezi kuuzuia ukweli bali waweza kuuchelewesha tu!
 
Ficha upumbavu wako
Ammalize nani huyo!
Atajimaliza na upuuzi wake,
Ukikubari kutimiwa na wazungu jua mwisho wako unakaribia
wale hawana Rafiki
mlitegemea apewe kazi na aendelee kupeta!!

Tanzania nizaidi ya Lissu
Unavyopaparika tu kuandika ni dhahiri una msongo wa mawazo. Tiketi ya Nairobi inakufaa pasina shaka. Moron!
 
MOTOCHINI yaani mabandiko hayo manne ndiyo yanakutoa jasho. Kumbe Mruma si kosa lake kukosa muda wa kusoma yale makabrasha kwani asome ili kiwe nini wakati watu wao ndiyo kama wewe?
 
MOTOCHINI unaendelea kujidhalilisha kwa kuvaa "mkwega" wenye haja kubwa kichwani. Hebu tulia, pata tu-maji kidogo halafu ujitafakari upya ni wapi umeenda harijojo!
 
Utahira Nidhana uliwahi kuuona!!?
Kutwa lissu lussu lissu!!
Inamaana Lisu kalifanyia nini lamaana Taifa hili
kama si mtanzania kama watanzania wengine!

Tunapoteza Askari hamsemi
leo kutwa Mtanzania mmoja tena Mamluki na Msaliti
Lissu ni level nyingine. Hao askari hata wakifa mia hakuna shida. Ndo kazi zao na mazingira yake. Hata vita ikitokea wao wanapelekwa mstari wa mbele. A cha ujinga na kufikiri kwa urefu wa pua yako.

Eti Lissu Kalifanyia nini taifa. Ujinga mtupu. Unaongea kama Juliana Shonza halafu. Yani toka Wakudadavua afungiwe wewe ndo unaendeleza ujinga pale alipoachia. Damn!
 
Hao wanaCCM watakuwa wametumwa na bosi wao. Wanajua uhusika wao katika hili, wanajaribu kuhamisha goli, lakini wameshachelewa, maana walikosea kuucheza mchezo na sasa hila zao zinawatafuna kwa kasi.
 
Ccm ni kichaka cha wahuni

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom