Mtoa post unapouliza hilo swali usisahau kujiuliza pia kwa nini CHADEMA wanalihusisha hili swala na serikali na wanataka dunia nzima tuwaamini wakati hata uchunguzi haujakamilika.
Huyo ni choko wewe, kachoka vibaya mno!
Yaani ni kwa vile alishakunywa maji ya bendera ya kijani ambayo huwa yanababua akili na medula kiujumla basi ufahamu hana tena!
Mtazame polipoli alivyobabuka na kunyonyoka nywele, wewe unadhani akili zake zipo salama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.