i think
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 361
- 72
Nchi yetu ina makabila mengi sana na kwa uwingi huo unafanya nchi yetu kuvutia.Na inavutia zaidi hasa pale utakapowakuta watu kutoka maeneo mbalimbali wakizungumza kiswahili kwa lafudhi zao.
Lakini kabila la wamakonde wamekuwa wakidharauliwa kila wafikapo maeneo mengine.
Sijajua kwa lipi hasa lafudhi,makosa yao ya kisarufi,hulka zao au nini.Kama lafudhi binafs ya kiluguru,kinyakyusa hata kikurya zinachekesha zipo nyingne.Kama makosa yao ya kisarufi wapemba nao hawana m mimi binafsi kabila langu halina l pia wachaga hawana z,kama ni hulka zinafanana na upwani za umwinyi makabila meng kama wazaramo wanazo hizo.
Kwa sasa mkoa wao unaendelea kwa kasi asilimia 90 ya vitu vnavyohtajika vipo vyuo vya juu,vya kati,mahotel,mkoa wao upo vizur kimpangilio,fukwe ya kuvutia na hata barabara ya kwenda dar haiwetenganish mbal na dar masaa kama 6 au 7 tena kuna root za saa 2,4 na kuendelea.Wazawa wanasoma kwa uchungu.Kwa kweli nilipoenda kwa kazi zangu binafsi nimeshangazwa juu ya stori za uongo juu ya kabila na mkoa wao.
Lakini kabila la wamakonde wamekuwa wakidharauliwa kila wafikapo maeneo mengine.
Sijajua kwa lipi hasa lafudhi,makosa yao ya kisarufi,hulka zao au nini.Kama lafudhi binafs ya kiluguru,kinyakyusa hata kikurya zinachekesha zipo nyingne.Kama makosa yao ya kisarufi wapemba nao hawana m mimi binafsi kabila langu halina l pia wachaga hawana z,kama ni hulka zinafanana na upwani za umwinyi makabila meng kama wazaramo wanazo hizo.
Kwa sasa mkoa wao unaendelea kwa kasi asilimia 90 ya vitu vnavyohtajika vipo vyuo vya juu,vya kati,mahotel,mkoa wao upo vizur kimpangilio,fukwe ya kuvutia na hata barabara ya kwenda dar haiwetenganish mbal na dar masaa kama 6 au 7 tena kuna root za saa 2,4 na kuendelea.Wazawa wanasoma kwa uchungu.Kwa kweli nilipoenda kwa kazi zangu binafsi nimeshangazwa juu ya stori za uongo juu ya kabila na mkoa wao.