Kwanini wamakonde wanadharauliwa?

Kwanini wamakonde wanadharauliwa?

i think

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2014
Posts
361
Reaction score
72
Nchi yetu ina makabila mengi sana na kwa uwingi huo unafanya nchi yetu kuvutia.Na inavutia zaidi hasa pale utakapowakuta watu kutoka maeneo mbalimbali wakizungumza kiswahili kwa lafudhi zao.

Lakini kabila la wamakonde wamekuwa wakidharauliwa kila wafikapo maeneo mengine.

Sijajua kwa lipi hasa lafudhi,makosa yao ya kisarufi,hulka zao au nini.Kama lafudhi binafs ya kiluguru,kinyakyusa hata kikurya zinachekesha zipo nyingne.Kama makosa yao ya kisarufi wapemba nao hawana m mimi binafsi kabila langu halina l pia wachaga hawana z,kama ni hulka zinafanana na upwani za umwinyi makabila meng kama wazaramo wanazo hizo.

Kwa sasa mkoa wao unaendelea kwa kasi asilimia 90 ya vitu vnavyohtajika vipo vyuo vya juu,vya kati,mahotel,mkoa wao upo vizur kimpangilio,fukwe ya kuvutia na hata barabara ya kwenda dar haiwetenganish mbal na dar masaa kama 6 au 7 tena kuna root za saa 2,4 na kuendelea.Wazawa wanasoma kwa uchungu.Kwa kweli nilipoenda kwa kazi zangu binafsi nimeshangazwa juu ya stori za uongo juu ya kabila na mkoa wao.
 
Nchi yetu ina makabila mengi sana na kwa uwingi huo unafanya nchi yetu kuvutia.Na inavutia zaidi hasa pale utakapowakuta watu kutoka maeneo mbalimbali wakizungumza kiswahili kwa lafudhi zao.
Lakini kabila la wamakonde wamekuwa wakidharauliwa kila wafikapo maeneo mengine.
Sijajua kwa lipi hasa lafudhi,makosa yao ya kisarufi,hulka zao au nini.Kama lafudhi binafs ya kiluguru,kinyakyusa hata kikurya zinachekesha zipo nyingne.Kama makosa yao ya kisarufi wapemba nao hawana m mimi binafsi kabila langu halina l pia wachaga hawana z,kama ni hulka zinafanana na upwani za umwinyi makabila meng kama wazaramo wanazo hizo.
Kwa sasa mkoa wao unaendelea kwa kasi asilimia 90 ya vitu vnavyohtajika vipo vyuo vya juu,vya kati,mahotel,mkoa wao upo vizur kimpangilio,fukwe ya kuvutia na hata barabara ya kwenda dar haiwetenganish mbal na dar masaa kama 6 au 7 tena kuna root za saa 2,4 na kuendelea.Wazawa wanasoma kwa uchungu.Kwa kweli nilipoenda kwa kazi zangu binafsi nimeshangazwa juu ya stori za uongo juu ya kabila na mkoa wao.

Ulishaambiwa, akili za kuambiwa hasa za VIJIWENI, changanya na za kwako! Pia tembea uone, upime utofauti kati ya mkoa mmoja hadi mwingine, usije ukafikiria mkoa wako ni bora kuliko wa mwenzako!
 
kihistoria wamakonde wanaonekana ni watu kutoka msumbiji na hata mkoa wa mtwara na lindi yote ilikua sehemu ya msumbiji, huenda hilo inaweza kuwa sababu ya kuadharau wamakonde.
 
kihistoria wamakonde wanaonekana ni watu kutoka msumbiji na hata mkoa wa mtwara na lindi yote ilikua sehemu ya msumbiji, huenda hilo inaweza kuwa sababu ya kuadharau wamakonde.

kwa nini kule arusha kunakosemekana ni nchi ya kenya hamna shda kama hii.je kule bukoba si historia zinagongana kuwa ni sehemu ya uganda hata makabila mengne wanafanana nayo kule uganda.boda la malawi na tanzania hakuna kabila zinazoendana tanzania na malawi.
 
Kwani msumbiji ndio wadharauliwe? Sio sababu. Mimi nafikiri umaskini tu, kabila lolote likiambatana na uwezo wa pesa au sifa fulani nzuri hakuna cha lafudhi, maumbile wala majina kitadharauliwa. Aliyesema tabia za umwinyi kapatia kabisa, issue ni kuwa tofauti na wenzao wa pwani kama Tanga, Dar miundo mbinu iliiwezesha miji kukua kwa kujengwa viwanda hivyo ardhi yao ikawa ndo mkombozi wao maana nao hawana zao la kutegemea. Ardhi wanauza, wanapangisha wafanyakazi, wafanyabiashara imewawezesha kusoma, kuwekeza na kuinuka. Mtwara na Lindi barabara na hasa daraja ndo imejengwa juzi, sasa viwanda, bandari na madini vimegunduliwa. Sasa hivi wataanza kuuza ardhi, kupangisha na hivyo kukua haraka. Kama lafudhi au lugha ndio maendeleo tembelea kanda ya Ziwa ndani huko au umasaini uone Kiswahili chao au Pemba halafu uone kama wanadharauliwa. Maendeleo tu ndio yatatukomboa sio ukabila
 
Sababu ipo na wapo waliosababisha watu wa huko kudharauliwa,sasa subiri baada ya miaka miwili ndio utawajua ni watu wa class gani kwenye hii nchi,wameshajitambua na wanasonga mbele kwa speed ya light.
 
Eeeeh kumbe watu wa Mtwara na Lindi wana undugu wa damu na Msumbiji !

SASA MBONA HATUJAUNGANA NAO KAMA NDUGU ZETU WA DAMU WA UNGUJA NA PEMBA?

Tena kule Nchumbiji ndugu zetu wamemwaga damu zao kwenye vita ya ukombozi na vita vya FRELIMO NA RENAMO.
 
Ntoto wewe. mmakonde chi mutu ? Nnataka turudi Nchambiki muibe gesi yetu ? Jana niliona vijana wamakula pungo lakini n gongo wa pungo wakawacha.
 
Mkapa ni mmakonde....hawadharauliwi ila wanataniwa....tofautisha utani na dharau
kuna dharau fulani inaambatana na hiyo.......ngoja nikupe mfano
uko mahali unatoa huduma fulani sema Dar
kuna profesa muhaya zaidi ya english kiswahili kigumu sana, mfanyabiashara msukuma anayejulikana au milionea, mfanyabiashara wa madini masai toka mererani na machinga anayeuza bidhaa bila hata frame. Unafikiri ni nani kati ya hawa atahudumiwa, ni kujikomboa ndio kutakupa heshima ktk jamii. Wanaamka kweli soon watakuwa watu na wao.
 
Sisi huku tuwadharau wamasai kwa kuwaita Wachambia Rungu
 
Kwani msumbiji ndio wadharauliwe? Sio sababu. Mimi nafikiri umaskini tu, kabila lolote likiambatana na uwezo wa pesa au sifa fulani nzuri hakuna cha lafudhi, maumbile wala majina kitadharauliwa. Aliyesema tabia za umwinyi kapatia kabisa, issue ni kuwa tofauti na wenzao wa pwani kama Tanga, Dar miundo mbinu iliiwezesha miji kukua kwa kujengwa viwanda hivyo ardhi yao ikawa ndo mkombozi wao maana nao hawana zao la kutegemea. Ardhi wanauza, wanapangisha wafanyakazi, wafanyabiashara imewawezesha kusoma, kuwekeza na kuinuka. Mtwara na Lindi barabara na hasa daraja ndo imejengwa juzi, sasa viwanda, bandari na madini vimegunduliwa. Sasa hivi wataanza kuuza ardhi, kupangisha na hivyo kukua haraka. Kama lafudhi au lugha ndio maendeleo tembelea kanda ya Ziwa ndani huko au umasaini uone Kiswahili chao au Pemba halafu uone kama wanadharauliwa. Maendeleo tu ndio yatatukomboa sio ukabila

kwelI kabisa mfano sahivi ardhi haikamatiki huko lindi na mtwata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom