There is nothing either good or bad,but thinking makes it so.
Zenji wanadharauliwa Wamakunduuchi, kwani maustaadh wao wanaranda na ngazi usiku kucha kupiga chabo. kama ni mwalimu skuli au madrassa basi watoto wote wa kiume si riski tena
kaka tembea mtu akijatambulisha mmakonde hata kama ni dar ambapo ni saa 6 au 7 wao wanaamin anatoka mbali huko na wanaamin n mshamba kwa kila ktu je huo ni utani wa kikabila?
Mkapa ni mmakonde....hawadharauliwi ila wanataniwa....tofautisha utani na dharau
vipi lile kabila la kukandamiza kutoka kanda ya ziwa, maana sijaona watu washamba kama wale
nani anawadharau na kivipi? wacha kuchokonoa mioyo ya watu wewe! shemeji yenu mmakonde ,wale mademu wako juu kule kunako na zile figure zao! shauri zenu niacheni nijilie samaki mchanga ukweni!Nchi yetu ina makabila mengi sana na kwa uwingi huo unafanya nchi yetu kuvutia.Na inavutia zaidi hasa pale utakapowakuta watu kutoka maeneo mbalimbali wakizungumza kiswahili kwa lafudhi zao.
Lakini kabila la wamakonde wamekuwa wakidharauliwa kila wafikapo maeneo mengine.
Sijajua kwa lipi hasa lafudhi,makosa yao ya kisarufi,hulka zao au nini.Kama lafudhi binafs ya kiluguru,kinyakyusa hata kikurya zinachekesha zipo nyingne.Kama makosa yao ya kisarufi wapemba nao hawana m mimi binafsi kabila langu halina l pia wachaga hawana z,kama ni hulka zinafanana na upwani za umwinyi makabila meng kama wazaramo wanazo hizo.
Kwa sasa mkoa wao unaendelea kwa kasi asilimia 90 ya vitu vnavyohtajika vipo vyuo vya juu,vya kati,mahotel,mkoa wao upo vizur kimpangilio,fukwe ya kuvutia na hata barabara ya kwenda dar haiwetenganish mbal na dar masaa kama 6 au 7 tena kuna root za saa 2,4 na kuendelea.Wazawa wanasoma kwa uchungu.Kwa kweli nilipoenda kwa kazi zangu binafsi nimeshangazwa juu ya stori za uongo juu ya kabila na mkoa wao.
LINDI na MTWARA eeeh,haya elimu haina mwisho.kihistoria wamakonde wanaonekana ni watu kutoka msumbiji na hata mkoa wa mtwara na lindi yote ilikua sehemu ya msumbiji, huenda hilo inaweza kuwa sababu ya kuadharau wamakonde.
Wana mambo ya kishamba sana ndo maana
watoto hupenda sana kuweka 'cha' kwenye 'sa'.., imagine mtu anasema "chamaki" instead of "samaki", au anasema "nchale" instead of "mshale".., yaani unaanza kuhisi kama unaongea na mtoto mdogo anaeanza kujifunza kuongea.., kwa hiyo wanakuwa kama vikatuni fulani hivi.., tatizo ni lafudhi yao imefanana na ya watoto wadogo wasiojua kuongea bado.
kuna dharau fulani inaambatana na hiyo.......ngoja nikupe mfano
uko mahali unatoa huduma fulani sema Dar
kuna profesa muhaya zaidi ya english kiswahili kigumu sana, mfanyabiashara msukuma anayejulikana au milionea, mfanyabiashara wa madini masai toka mererani na machinga anayeuza bidhaa bila hata frame. Unafikiri ni nani kati ya hawa atahudumiwa, ni kujikomboa ndio kutakupa heshima ktk jamii. Wanaamka kweli soon watakuwa watu na wao.
Nchi yetu ina makabila mengi sana na kwa uwingi huo unafanya nchi yetu kuvutia.Na inavutia zaidi hasa pale utakapowakuta watu kutoka maeneo mbalimbali wakizungumza kiswahili kwa lafudhi zao.
Lakini kabila la wamakonde wamekuwa wakidharauliwa kila wafikapo maeneo mengine.
Sijajua kwa lipi hasa lafudhi,makosa yao ya kisarufi,hulka zao au nini.Kama lafudhi binafs ya kiluguru,kinyakyusa hata kikurya zinachekesha zipo nyingne.Kama makosa yao ya kisarufi wapemba nao hawana m mimi binafsi kabila langu halina l pia wachaga hawana z,kama ni hulka zinafanana na upwani za umwinyi makabila meng kama wazaramo wanazo hizo.
Kwa sasa mkoa wao unaendelea kwa kasi asilimia 90 ya vitu vnavyohtajika vipo vyuo vya juu,vya kati,mahotel,mkoa wao upo vizur kimpangilio,fukwe ya kuvutia na hata barabara ya kwenda dar haiwetenganish mbal na dar masaa kama 6 au 7 tena kuna root za saa 2,4 na kuendelea.Wazawa wanasoma kwa uchungu.Kwa kweli nilipoenda kwa kazi zangu binafsi nimeshangazwa juu ya stori za uongo juu ya kabila na mkoa wao.