Kwanini walimu wengi wanaotokea DUCE na MUCE wawapo field au kazini hung'ang'ania kutaja UDSM?

Is advanced diploma synonymous to Bachelor! Kwa nini kuwe na vyuo vya advanced na University zinazotoa bachelor Degree
Kuna vigezo vingi.mfano vyuo vya advanced diploma vilianzishwa kwa lengo la kupata nguvu kazi ya kutosha na pia vikadaili hata watu wenye vigezo km vya shahada.utofauti unakuja km vile idadi ya wahadhiri,mamlakA inayovisimamia nk.
Ila advanced deploma ni nusu mtendaj nusu msimamizi kwa kifupi multi purpise wakati
shahada ni msimamizi zaidi.yaani advanced deploma anafundishwa kazi direct to proffesionalism kuliko degree.pia. shahada na advanced deploma nyingi ni miaka inayofanana. Wastani ni 3 na kuendelea.
 
Mwimbili, Sua pamoja na Ardhi for now ni universities zinazojitegemea lakini nazo zilikua ni School au idara au constituent colleges baada ya kujikamilisha kwa resource zote ndio zikajitenga. Hope sasa umeelewa kwa nini mwanafunzi anasema nimemaliza UDSM na sio DUCE au MUCE?
Mwimbili??????? Ndio chuo gani hiko
 
Duce na Muce ni matawi ya UDSM yanayojitegemea thats why

1.mitihani yao ni tofauti kwa maana course hiyo hiyo moja udsm wana ppr yao Muce wana ppr yao na Duce pia

2.unapoomba maombi unatuma moja kwa moja sehem husika kama ni duce muce au main campus awali wakat haya matawi yanaendeshwa na Ud main campus application zote zilitumwa kwa Ud then wanagawa watu wao kwa vigezo vyao
3.Rank za vyuo hivi kila kimoja kipo kwe nafasi yake mfano latest ranking ya vyuo vikuu vya tanzania 2016
Udsm ni 1
Mkwawa muce ni ya 5
Duce ni 34


thus hizi college 2 na udsm ni vyuo vyenye ushirika ingawa kila kimoja kinajiendesha chenyewe
 
Ukitaka kujua kuwa hawakosei angalia hata hao wanafunzi waliochaguliwa Duce na muce, majina yao yapp link moja na waliochaguliwa main compas, hizo ni college tu kama udbs na coet , but chuo ni udsm
 
Ukitaka kujua kuwa hawakosei angalia hata hao wanafunzi waliochaguliwa Duce na muce, majina yao yapp link moja na waliochaguliwa main compas, hizo ni college tu kama udbs na coet , but chuo ni udsm
MKUU HAKUNA KUBISHANA NA WATU WA AINA HYO,WANATAKA TU WATU WAONGEE WAONEKANE WABAYA
DUCE MUCE NA MAIN CAMPUS YA JK VIKO CHINI YA MWANVULI MMOJA UDSM
 
jamani si ni sawa na tunavosema Saut ya mwanza,au mbeya kuna st joseph ya dar na arusha etc.ni sawa na MJKN,MUCE na DUCE so hapo amna tatizo hao ni ndgu kabsa.kwisha habar
 
Mtoa mada inaelekea hujui chocho kuhusu chuo na udsm in particular kaa kimya .huwez ulizwa umesoma chuo gani ukasema Muce au duce hapa hujaelewA swali.Acha dhalau hapo unaonyesha jinsi ulivyo na IQ ndogo kiasi cha nusu KB
 
Habari zenu wakuu?
Kama kichwa cha thread kinavyojipambanua kwa nini hawapendi kujitambulisha kwa kutaja majina halisi ya branch zao?
Mwenye kujua sababu tafadhali tiririka kidogo
Kutokujiamini tu....afu main campus ni heshima kubwa sana ukiwa unasoma pale. Kuna jamaa angu mmoja alinitembelea cku mmoja kutoka Duce pale mlimani. Aiseee.....alishangaa sana namna shule ilivyoo. ....even wearing style ya main campus....! Jamaa alijua yuko ulaya. .....
 
Kutokujiamini tu....afu main campus ni heshima kubwa sana ukiwa unasoma pale. Kuna jamaa angu mmoja alinitembelea cku mmoja kutoka Duce pale mlimani. Aiseee.....alishangaa sana namna shule ilivyoo. ....even wearing style ya main campus....! Jamaa alijua yuko ulaya. .....
duh mkuu,wew ni muongo balaa dunia nzma mbna hakuna tofaut isitoshe wote wako mkoa mmoja.
 
Nchi hii kuna watu wengi hawajielewi, hao wanaosoma hivyo vyuo wengi wao hawakujua hata nini watasoma baada ya A Level. Wengi wao hawa ni majanga na hawajiamini. Kwani akisema kuwa anasoma DUCE au Mkwawa anafikiri heshima itapungua? Chuo cha afya muhimbili nao walikuwa na element hizohizo kabla hawajajitambua na kujikubali. Kwa sasa wameshajitambua na wanajiamini. Hawa nao ipo siku watajitambua tu, pengine ni sababi ya ujinga na ushamba unawasumbua.
Muhimbili ni chuo ambacho tayari kinajitegemea kabisa, hakiko chini ya UDSM tena kama ilivyo Bugando ambayo haiko tena chini ya SAUT. Kuhusu DUCE na MUCE, hizo ni university colleges ambazo ziko chini ya UDSM.
 
Chili suala lipo sana.. Kuna dogo alifaulu kuja Chuo akaniambia anakuja UDSM...nikajua yess.. Nmepata mbebaji.. Siku anafika ati anadai ati ye amechaguliwa UDSM tawi la DUCE..
Kaliniboa
Ss alijuboa nn wakati alikuea sahihi!?
 
Duh! Yaani kweli huu uhakiki uko mahala pake. Yaani mtu unaweza anzisha thread kama hivi? Kwani DUCE na MUCE ni nini?
 
Hivi ni vyuo vya kipuuzi tu ndiyo maana hawataki kujinasibu navyo. Kuna mmoja amenikaba koo humu kuwa ana div 2 alikwenda ualimu, na amepata 2ND UPPER alipomaliza DUCE. Nikamuuliza DUCE mbona ni kama chuo cha Advanced diploma, walimu waliobobea wamewatoa wapi? Ni wale wale waliokuwa wanafundisha diploma, sasa lecturers waliobobea wanatoka wapi? Akanitukana.
hahahahahah noumaa san hiyo mkuuu huhuhuh
 
Kutokujiamini tu....afu main campus ni heshima kubwa sana ukiwa unasoma pale. Kuna jamaa angu mmoja alinitembelea cku mmoja kutoka Duce pale mlimani. Aiseee.....alishangaa sana namna shule ilivyoo. ....even wearing style ya main campus....! Jamaa alijua yuko ulaya. .....
 
Mtoa mada inaelekea hujui chocho kuhusu chuo na udsm in particular kaa kimya .huwez ulizwa umesoma chuo gani ukasema Muce au duce hapa hujaelewA swali.Acha dhalau hapo unaonyesha jinsi ulivyo na IQ ndogo kiasi cha nusu KB
cha msingi lazima akubali alipo kwani akisema duce au muce atakufa?nawaonaga wengi hawataki kukiri walipo,tatizo hawajiamin ingawa ukweli ni kwamba waliopo main campus yaan mliman wanaufaulu mkubwa kuliko hao matawini(wengi wao)
 
Back
Top Bottom