Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Kuna project tulikuwa tunaifanya ambayo tulikuwa tunazunguka sekta karibia zote. Cha ajabu sekta ya ualimu asilimia kubwa wameolewa ukilinganisha na sekta nyingine, kipi kinafanya waalimu wawe na soko sana tofauti na kada zingine?
Mara ya mwisho walimu walikuwa na 90% ya idadi ya walioolewa wakati sekta ya mwisho ilikuwa bank walikuwa na 25%
What is the reasons behind hii kitu wajameni??
Mara ya mwisho walimu walikuwa na 90% ya idadi ya walioolewa wakati sekta ya mwisho ilikuwa bank walikuwa na 25%
What is the reasons behind hii kitu wajameni??