Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Habari wana JF!!!
Siku hizi hii issue ya WALIMU kutembea na WANAFUNZI imekuwa kawaida sana,lakini najaribu kujiuliza maswali mengi sana.
1. Ni kweli walimu wa siku hizi wana TAMAA sana??
2. UALIMU siku hizi sio WITO??
3. Walimu wengi siku hizi hawana MAADILI??
4. Walimu wengi HAWAJAOA??
5.WANAFUNZI wa siku hizi WANATEGA sana au WANAJIRAHISISHA kwa WALIMU??
Maoni yenu tafadhali coz siku hizi wanafunzi wa KIKE wanaharibikia MASHULENI!!
Unategemea wale wapi? Siku hizi kila mtu anakula kazini kwake! Mshahara wa Mwalimu mdogo sana, hawezi kwenda kutafuta wanawake wa 100,000/= kwa siku wakati anao wa chips mayai mawili karibu kabisa na yeye!
BTW: Watoto wa shule kufanya ngono siku hizi ni kawaida tu - Jana pale Kingstar niliwaona kama kumi hivi wakiwa wanapiga BEER na kupelekwa GUEST kimtindo - Na hao waliokuwa nao siyo walimu!