GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,123
Enyi Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe na Iringa Richard Kasesela nitafuteni GENTAMYCINE upesi ili niweze 'Kuwabariki' na 'Mkono' wangu wa 'Baraka' ili nanyi msiwe mnasahaulika Kupandishwa 'Vyeo' Serikalini japo huwa 'mnachakarika' sana kwa Msaada wa Makamera ili Juhudi zenu zionekane Ikulu za Magogoni na Chamwino.
Kuna kitu Kimoja tu Kinachowagharimu.
Kuna kitu Kimoja tu Kinachowagharimu.