richard kasesela

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mmawia

    Video: DC Kasesela na mbunge Msigwa walivyokuwa na wakati mgumu

    Kuna msemo wa waswahili kuwa mafahari wawili kamwe hawakai zizi moja. Hiyo ilijionyesha Iringa kati ya DC Kasesela na Mbunge mchungaji Msigwa. Leo hii Kasesera tayari amesha hamisha kila kilicho chake na kurudi kwao iwambi Mbeya na kumuacha Mch. Msigwa akifahidi ulanzi wake mjini Iringa.
  2. Erythrocyte

    Uungwana: DC Mstaafu Richard Kasesela awashukuru wananchi wa Iringa Mjini, aomba radhi

    Baada ya Utumishi wake kukoma kutokana na Mkeka mpya uliotolewa wa Wakuu wapya wa Wilaya, Mh Kasesera amewashukuru wananchi wa Iringa kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote alichowatumikia, ambapo pia ametumia nafasi hiyo kuwaomba radhi wale wote aliowakwaza wakati wa utekelezaji wa...
  3. GENTAMYCINE

    Kwanini Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe pamoja na 'Kukuru Kakara' zao zote Marais wanasita Kuwapandisha vyeo, ila kwa wengine wanapanda fasta?

    Enyi Wakuu wa Wilaya za Temeke Godwin Gondwe na Iringa Richard Kasesela nitafuteni GENTAMYCINE upesi ili niweze 'Kuwabariki' na 'Mkono' wangu wa 'Baraka' ili nanyi msiwe mnasahaulika Kupandishwa 'Vyeo' Serikalini japo huwa 'mnachakarika' sana kwa Msaada wa Makamera ili Juhudi zenu zionekane...
  4. Erythrocyte

    Uungwana: DC wa Iringa Mjini, Richard Kasesela aomba radhi kutokana na kuteleza kwa ulimi wake

    Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe. Ulimi hauna mfupa. Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
Back
Top Bottom