Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 325
Msiogope jamani, mbona mimi nipo na ndugu zangu hata wa ulaya wanakuja tu na tunawachinjia ng'ombe na mbuzi walionona na hawapatwi na balaa lolote? Hamjui na sisi wakerewe sa ivi tumekuwa kama wachaga, kila december lazima waje nyumbani na wote wanarudi salama mijini kwao bila hata kudhurika?
iVle vibibi vilishaisha, kweli walikuwepo wabibi ukifika tu anataka ajue ratiba yako yote. anaweza akakuuliza 'okubha oli hanu mpaka lihi?' yaani utakuwepo mpaka lini. Ukimwambia obhwoyo bhumo (wiki moja) basi kamati yao ya ufundi inaweza ikakujadili na ikiwezekana unaweza ukawa chizi ama ukafa tu ghafla!
Ila yalishaisha jamani muwe mnakuja nyumbani tu
iVle vibibi vilishaisha, kweli walikuwepo wabibi ukifika tu anataka ajue ratiba yako yote. anaweza akakuuliza 'okubha oli hanu mpaka lihi?' yaani utakuwepo mpaka lini. Ukimwambia obhwoyo bhumo (wiki moja) basi kamati yao ya ufundi inaweza ikakujadili na ikiwezekana unaweza ukawa chizi ama ukafa tu ghafla!
Ila yalishaisha jamani muwe mnakuja nyumbani tu