Kwanini watu hawapendi kufanya kazi Halmashauri?

mhuri25

JF-Expert Member
Sep 3, 2016
2,667
3,455
Hello,

Wakuu wote humu ndani poleni na harakati za kusaka ngawila kwa wale wenye changamoto zozote zile basi nawatakia kila la kheri na mkono wa bwana uwe juu yenu!!

Tushuke sasa katika Mada, Hivi kwanini watu wengi hawapendi kufanya kazi Halmashauri yaan katkka idara yoyote ile waliowengi hawpendi kuwepo kule, Kwa waliokuwa hawajui chochote huwa na furaha sana wakipata ajira ila wakishafika huko wengi huwa na mawazo malalamiko na wengi hupambana kuhama huko sababu hasa ni nini!??

Maana kama ni salary mbona sio tofauti kubwa sana kwa baadhi ya kada kama ipo basi mnaweza kushare hapa tukajifunza kwa maslahi mapana ya wasomaji humu ndani!!!
 
Mimi ni mhanga wa hili , nilishakataa kufanya kazi halmashauri , kazi nyingi zinachuka muda mwingi na kipato ni kidogo, unamka saa kumi na mbili unatoka saa kumi mikwara kibao unapigwa , unaweza kuitwa kazini hadi wikiend,mimi ni mwalimu naenda shule saa moja , nafika naomba ruhusa au naenda mtaani kufanya shughuli zangu bila kutoa tarifa, mshahara nalipwa sawa na mtu wa halmashauri , nina likizo april, june, october, december , wikiend siendi shule huoni kama nafurahia maisha kuliko ujinga huo pale halmashauri
 
mimi ni mhanga wa hili , nilishakataa kufanya kazi halmashauri , kazi nyingi zinachuka muda mwingi na kipato ni kidogo, unamka saa kumi na mbili unatoka saa kumi mikwara kibao unapigwa , unaweza kuitwa kazini hadi wikiend,mimi ni mwalimu naenda shule saa moja , nafika naomba ruhusa au naenda mtaani kufanya shughuli zangu bila kutoa tarifa, mshahara nalipwa sawa na mtu wa halmashauri , nina likizo april, june, october, december , wikiend siendi shule huoni kama nafurahia maisha kuliko ujinga huo pale halmashauri
Halmashauri adi diwani asiejua kusoma ni bosi wako, mkizinguana kitaa anakutaftia kisa tu anakuazimia utolewe
 
kazi kama haiana kipato kikubwa ikupe muda , wazungu wanasema time is money, wakimanisha muda ni mali, ukiwa halmshauri unabanwa saana na swala la muda, una mabosi wengi hadi diwani, kazi mnafanya kwa mhemko leo rais kasema hivi kesho hivi halafu kipato kidogo,watumishi wa IDARA HIZI huwa nawaonea sana huruma 1. utumishi ( wanashinda na karatasi asubuhi to jion) kil siku kazi kibao 2.elimu aisee ni shida 3. sheria haawa hawana mchongo wowote wa maana ni kuvizia vikao vya madiwani angalau idaara hizi unaweza furahia 1. uhasibu 2. manunuzi 3. uhandisi nje ya hapo wewe ni mjinga
Halmashauri adi diwani asiejua kusoma ni bosi wako, mkizinguana kitaa anakutaftia kisa tu anakuazimia utolewe
 
Hello,

Wakuu wote humu ndani poleni na harakati za kusaka ngawila kwa wale wenye changamoto zozote zile basi nawatakia kila la kheri na mkono wa bwana uwe juu yenu!!

Tushuke sasa katika Mada, Hivi kwanini watu wengi hawapendi kufanya kazi Halmashauri yaan katkka idara yoyote ile waliowengi hawpendi kuwepo kule, Kwa waliokuwa hawajui chochote huwa na furaha sana wakipata ajira ila wakishafika huko wengi huwa na mawazo malalamiko na wengi hupambana kuhama huko sababu hasa ni nini!??

Maana kama ni salary mbona sio tofauti kubwa sana kwa baadhi ya kada kama ipo basi mnaweza kushare hapa tukajifunza kwa maslahi mapana ya wasomaji humu ndani!!!
Sababu kubwa:

โ€” Kufanya kazi Halmashauri, ujue wewe Utakuwa mfanyakazi daraja la mwisho kabisa. Serikali haiheshimu social capital. Inaheshimu watu waaoinufaisha tu.

Daktari unayehudumia watu 2000 kwa mwezi Halmashauri, huwezi kulingana kipato na Diploma anayefanya kazi NHIF, WCF au TRA.

โ€” Utapeli mkubwa ndani ya Halmashauri.

Ni kawaida sana taarifa zako za kiutumishi kuuzwa kwa Matapeli, hasa vikampuni uchwara vya mikopo. Wastaafu wametapeliwa mnoo. Unaajiriwa tu, unashangaa unaanza kukatwa mapesa ya vyama vya wafanyakazi bila hiyari. Watu wanapiga tu.

โ€” Halmashauri hazifuati sheria za kazi.

Unaweza kuhamishwa, kutishwa muda wowote bila malipo. Kutumikishwa bila malipo kawaida.

Halmashauri hazina nyumba ya mtumishi, kazi nyingi utatumia kipato chako hicho hicho kufanya kazi za serikali.

Mtendaji wa Mtaa Hana pesa za stationery, Mafuta Wala chochote na Bado unakuta wananchi bush lawyers hata kutoa elfu 2,000 anaona katoa rushwa.

โ€” Michango yenye ulazima ndani yake hasa Mwenge.

โ€” Tofauti ya kipato Cha Mshahara na mafao ya kustaafu kwa mtu wa Halmashauri na mashirika ni kubwa sana.

โ€” Haki za mfanyakazi haziheshimiki.
Malipo ya likizo, Uhamisho au hata ukitaka kuhama ni ngumu Kama ngamia kupenya tundu la sindano.

โ€” Mazingira ya Halmashauri nyingi ni chaka na porini hatari. Ni Kama jela, hakuna career Wala personal development. Labda uanze kunywa mbege tu
 
Hello,

Wakuu wote humu ndani poleni na harakati za kusaka ngawila kwa wale wenye changamoto zozote zile basi nawatakia kila la kheri na mkono wa bwana uwe juu yenu!!

Tushuke sasa katika Mada, Hivi kwanini watu wengi hawapendi kufanya kazi Halmashauri yaan katkka idara yoyote ile waliowengi hawpendi kuwepo kule, Kwa waliokuwa hawajui chochote huwa na furaha sana wakipata ajira ila wakishafika huko wengi huwa na mawazo malalamiko na wengi hupambana kuhama huko sababu hasa ni nini!??

Maana kama ni salary mbona sio tofauti kubwa sana kwa baadhi ya kada kama ipo basi mnaweza kushare hapa tukajifunza kwa maslahi mapana ya wasomaji humu ndani!!!
Uvivu tu mbona kazi kama hizo tunazitafuta sana
 
Hello,

Wakuu wote humu ndani poleni na harakati za kusaka ngawila kwa wale wenye changamoto zozote zile basi nawatakia kila la kheri na mkono wa bwana uwe juu yenu!!

Tushuke sasa katika Mada, Hivi kwanini watu wengi hawapendi kufanya kazi Halmashauri yaan katkka idara yoyote ile waliowengi hawpendi kuwepo kule, Kwa waliokuwa hawajui chochote huwa na furaha sana wakipata ajira ila wakishafika huko wengi huwa na mawazo malalamiko na wengi hupambana kuhama huko sababu hasa ni nini!??

Maana kama ni salary mbona sio tofauti kubwa sana kwa baadhi ya kada kama ipo basi mnaweza kushare hapa tukajifunza kwa maslahi mapana ya wasomaji humu ndani!!!
Kama madiwani darsa la Saba wanaweza kuadhimia kukufuta kazi msomi injinia au mtaalumu CPA SAS ya nn kuwepo mle

Nina ndugu yangu ni mdhamini Moja Kat ya Wilaya fln aisee jamaa anateseka sna kila wakt kesi tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sababu kubwa:

โ€” Kufanya kazi Halmashauri, ujue wewe Utakuwa mfanyakazi daraja la mwisho kabisa. Serikali haiheshimu social capital. Inaheshimu watu waaoinufaisha tu.

Daktari unayehudumia watu 2000 kwa mwezi Halmashauri, huwezi kulingana kipato na Diploma anayefanya kazi NHIF, WCF au TRA.

โ€” Utapeli mkubwa ndani ya Halmashauri.

Ni kawaida sana taarifa zako za kiutumishi kuuzwa kwa Matapeli, hasa vikampuni uchwara vya mikopo. Wastaafu wametapeliwa mnoo. Unaajiriwa tu, unashangaa unaanza kukatwa mapesa ya vyama vya wafanyakazi bila hiyari. Watu wanapiga tu.

โ€” Halmashauri hazifuati sheria za kazi.

Unaweza kuhamishwa, kutishwa muda wowote bila malipo. Kutumikishwa bila malipo kawaida.

Halmashauri hazina nyumba ya mtumishi, kazi nyingi utatumia kipato chako hicho hicho kufanya kazi za serikali.

Mtendaji wa Mtaa Hana pesa za stationery, Mafuta Wala chochote na Bado unakuta wananchi bush lawyers hata kutoa elfu 2,000 anaona katoa rushwa.

โ€” Michango yenye ulazima ndani yake hasa Mwenge.

โ€” Tofauti ya kipato Cha Mshahara na mafao ya kustaafu kwa mtu wa Halmashauri na mashirika ni kubwa sana.

โ€” Haki za mfanyakazi haziheshimiki.
Malipo ya likizo, Uhamisho au hata ukitaka kuhama ni ngumu Kama ngamia kupenya tundu la sindano.

โ€” Mazingira ya Halmashauri nyingi ni chaka na porini hatari. Ni Kama jela, hakuna career Wala personal development. Labda uanze kunywa mbege tu

Wamekusikia,bora ujiajiri kuliko kufanya kazi halmashauri
 
Hello,

Wakuu wote humu ndani poleni na harakati za kusaka ngawila kwa wale wenye changamoto zozote zile basi nawatakia kila la kheri na mkono wa bwana uwe juu yenu!!

Tushuke sasa katika Mada, Hivi kwanini watu wengi hawapendi kufanya kazi Halmashauri yaan katkka idara yoyote ile waliowengi hawpendi kuwepo kule, Kwa waliokuwa hawajui chochote huwa na furaha sana wakipata ajira ila wakishafika huko wengi huwa na mawazo malalamiko na wengi hupambana kuhama huko sababu hasa ni nini!??

Maana kama ni salary mbona sio tofauti kubwa sana kwa baadhi ya kada kama ipo basi mnaweza kushare hapa tukajifunza kwa maslahi mapana ya wasomaji humu ndani!!!
Halmashauri majungu mengi,na fursa za kutoka ni finyu

Wenye idara na DED ndo wenye sure means ya kutoka
 
Sababu kubwa:

โ€” Kufanya kazi Halmashauri, ujue wewe Utakuwa mfanyakazi daraja la mwisho kabisa. Serikali haiheshimu social capital. Inaheshimu watu waaoinufaisha tu.

Daktari unayehudumia watu 2000 kwa mwezi Halmashauri, huwezi kulingana kipato na Diploma anayefanya kazi NHIF, WCF au TRA.

โ€” Utapeli mkubwa ndani ya Halmashauri.

Ni kawaida sana taarifa zako za kiutumishi kuuzwa kwa Matapeli, hasa vikampuni uchwara vya mikopo. Wastaafu wametapeliwa mnoo. Unaajiriwa tu, unashangaa unaanza kukatwa mapesa ya vyama vya wafanyakazi bila hiyari. Watu wanapiga tu.

โ€” Halmashauri hazifuati sheria za kazi.

Unaweza kuhamishwa, kutishwa muda wowote bila malipo. Kutumikishwa bila malipo kawaida.

Halmashauri hazina nyumba ya mtumishi, kazi nyingi utatumia kipato chako hicho hicho kufanya kazi za serikali.

Mtendaji wa Mtaa Hana pesa za stationery, Mafuta Wala chochote na Bado unakuta wananchi bush lawyers hata kutoa elfu 2,000 anaona katoa rushwa.

โ€” Michango yenye ulazima ndani yake hasa Mwenge.

โ€” Tofauti ya kipato Cha Mshahara na mafao ya kustaafu kwa mtu wa Halmashauri na mashirika ni kubwa sana.

โ€” Haki za mfanyakazi haziheshimiki.
Malipo ya likizo, Uhamisho au hata ukitaka kuhama ni ngumu Kama ngamia kupenya tundu la sindano.

โ€” Mazingira ya Halmashauri nyingi ni chaka na porini hatari. Ni Kama jela, hakuna career Wala personal development. Labda uanze kunywa mbege tu
Mkuu umemaliza kila kitu na umegusa kila mahali, Halmashauri na Idara zake zote kuanzia Elimu sijui Afya mara Sheria watu wengi hawapataki basi tu
 
Mimi ni mhanga wa hili , nilishakataa kufanya kazi halmashauri , kazi nyingi zinachuka muda mwingi na kipato ni kidogo, unamka saa kumi na mbili unatoka saa kumi mikwara kibao unapigwa , unaweza kuitwa kazini hadi wikiend,mimi ni mwalimu naenda shule saa moja , nafika naomba ruhusa au naenda mtaani kufanya shughuli zangu bila kutoa tarifa, mshahara nalipwa sawa na mtu wa halmashauri , nina likizo april, june, october, december , wikiend siendi shule huoni kama nafurahia maisha kuliko ujinga huo pale halmashauri
Nakataaa.
Mi Niko halmashauri, naona Bora Niko halmashauri kuliko nilivyokuwa katani.

#YNWA
 
Back
Top Bottom