Unasema hakuna ushahidi wa historia ya Uislamu wa juzi tu ila dini nyingine historia zao zipo.
Kama historia za dini zote ziliandikwa na mashujaa wa wakati wao kama ilivyo andikwa historia ya Shujaa Nyerere dhidi ya Idd Amini au Nelson Mandela dhidi ya Apartheid.
Una uhakika gani kwamba historia unayoisoma siyo hadithi tu ya shujaa wa dini yako enzi zake pia?
Je, kweli tunaishi kwa historia, au tunabishania simulizi za mashujaa wa kale?
Uislamu unakosa Sifa za kujitetea ,
Kuanzia historia ,AKIOLOJIA na maandiko
Nikweli historia huandikwa na watu wa wakati wao lakini historia si hadithi tu, bali ni mchanganyiko wa maandiko, ushahidi wa akiolojia, maandiko ya watu wa mataifa tofauti, na kumbukumbu za kisayansi zinazoweza kupimika. Na hapo ndipo Uislamu unaposhindwa kujitetea.,hapo ndipo uislamu unapokuja kuonekana ni UTAPELI
Nakupa mifano uone nisemacho
Uislamu unadai kuwa Qur'an haikubadilishwa na imetoka mbinguni moja kwa moja. Lakini hadi sasa hakuna hata nakala ya kale ya Qur’an kutoka enzi za Muhammad iliyopo iliyo kamili na isiyobadilika. Maandishi yaliyopatikana huko Sana’a (Yemen), yaliyoaminika kuwa ya zamani, yana tofauti nyingi na Qur'an ya leo. Akiolojia inathibitisha mabadiliko hayo,
Mfano mwingine
Uislamu unadai Al-Aqsa ilikuwepo enzi ya Muhammad, mwaka 621 A.D. wakati wa safari ya Isra na Miraj. Lakini ushahidi wa kihistoria unaonesha kuwa msikiti huo haukuwepo kabisa kwa wakati huo ujenzi wake ulifanywa takribani miaka 70 baada ya Muhammad kufariki. Hii inaweka shaka kubwa kwenye simulizi za safari hiyo, kwa kuwa haikuwepo hata kijiwe chake.
NJOO KWA UPANDE WA DINI NYINGINE
Ukristo na Uyahudi vina maandiko ya kale yanayolingana na uchimbaji wa akiolojia, mfano
Maandishi ya Bahari ya Chumvi (Dead Sea Scrolls) yanafanana kwa karibu kabisa na maandiko ya Biblia ya leo yakiwa yameandikwa mamia ya miaka kabla ya Yesu kuzaliwa.
Vilevile, miji kama Yeriko, Bethlehemu, na hekalu la Sulemani, vimegunduliwa kwa vifaa na vithibitisho vya akiolojia.
Kwa hiyo kaka, Uislamu unakosa nguvu ya kujitetea katika maeneo ya historia, akiolojia na maandiko ya kale. Ni vigumu kusema una uhakika na kitu ambacho hata msingi wake wa kihistoria hauwezi kudhihirika nje ya simulizi za mdomo za wafuasi wake.