KWANINI WAISLAMU WANAITAMANI YERUSALEMU YA WAYAHUDI?

KWANINI WAISLAMU WANAITAMANI YERUSALEMU YA WAYAHUDI?

Uislamu kwanza ni dini ya juzi imekuja watu wanaiona ,imekuja imekuta Kuna historia ,vitabu ,n.k

Leo hii hakuna ushahidi hata wakuokoteza unaoonesha paliwahi kuwepo dini au Iman ya Uislamu

Dini nyingine za kale historia zao zipo

Iweje hii Islam dini ya juzi tu hapa ikose historia ya ukweli kama kweli ilikuwepo?
Kichwa cha panzi.
 
Unatangaza tu una maji ya upako au mafuta ya kukanyaga wanakuja wenyewe.
Hitla aliua wayahudi kabila yani wale wenye vina saba iwe ni wakristo ama wayahudi wa dini au wasio amini mpaka watawa ila wayahudi wa kidini tu hakuwaua.
 
Hili jambo linahitaji wanazuoni kulitolea maelezo zaidi Covax adriz Mohamed Abubakar
Maalim Yoda.

Mada hii iliyo mbele yetu ni ngumu sana kwa upande wangu.

Kutaka kujua chanzo cha changamoto ya kihistoria nimemuuliza maswali AI Grok haya ambayo nadhani itajibu hoja za msingi iliyo mbele yetu.

Asili ya nchi ya Palestine.

Taarifa ulizotoa kuhusu Palestine zinaanzia kabla nabii musa, baada ya nabii musa. Na je musa na dola ya rumi ilianza ipi

1. Asili ya jina la nchi ya Palestine
2. Yesu alizajiliwa ktk mji gani, nchi gani.
3. Palestine kama nchi iliyokuwapo kabla ya Nabii Musa na dola ya Rumi ilianza (exist) kwanza ipi
4. Kuna tofauti gani kati ya mayahudi waliohama Israel wakati wa Nabii Musa na Wazayuni waliorejea Palestine kuanzia mwaka 1949.

Baadhi ya majibu:

Asili ya Palestina Neno "Palestina" lina historia ndefu na changamano, likiwa na mizizi ya kijiografia, kihistoria, na kisiasa. Hapa kuna muhtasari wa asili ya Palestina:

Majibu ni marefu tafuta mwenyewe.

Shukran
 
View attachment 3394441View attachment 3394442

Kuna UPOTOSHAJI au naweza kusema ni kukosa Elimu pia kukaririshwa na kumezeshwa uongo , kuwa "Quds ni sawa na Yerusalemu"

Huu uongo umekuwa ukirudiwa mara nyingi, lakini kwa mujibu wa historia, maandiko ya dini na vyanzo vya lugha, kauli hii inahitaji kupitiwa kwa umakini zaidi.

Nilipokuwa muislamu nilipenda sana kutafiti historia ,AKIOLOJIA na kusoma vitabu vingi, nilianza kugundua Uislamu umejitungia na kuzusha vitu vingi, nikagunduan uislamu uliamua kujitengenezea historia yake yenyewe kwa kupingana na historia iliyoikuta .Hapo nilizidi kutafiti zaidi ...

Leo tutachambua kwa undani tofauti kati ya "Quds" na Yerusalemu, kwa kutumia ushahidi wa kihistoria, maandiko ya dini, tafsiri za lugha, na nukuu kutoka kwa wataalamu na vyanzo vya kale.

Yerusalemu (Jerusalem) Katika Biblia na Historia ya Wayahudi


Yerusalemu ni jiji takatifu la kale lililotajwa mara nyingi sana katika Agano la Kale na Agano Jipya la Biblia. Ni jiji ambalo lilipewa kipaumbele cha kipekee na Mungu kwa taifa la Israeli.


Zaburi 132:13-14
"Kwa maana Bwana ameitakasa Sayuni, ameichagua awe kao lake. Hapa ndipo nitakapo kaa milele, maana nimeichagua."


1 Wafalme 11:36
"Na kwa mwanawe nitampa kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu awe na taa daima mbele za uso wangu huko Yerusalemu, mji niliouchagua ili niweke jina langu hapo."


Katika historia, Yerusalemu ni mji uliojengwa na Mfalme Daudi na ukawa makao ya Hekalu la kwanza na la pili, ambao ulikuwa kitovu cha ibada kwa Wayahudi.


Asili ya Neno "Quds" – Tafsiri ya Kiarabu si Jina la Kale


Neno "Al-Quds" kwa Kiarabu linamaanisha “utakatifu” au “mji mtakatifu”. Hili si jina la awali la Yerusalemu, bali ni jina lililoanza kutumika baada ya Uislamu kuenea karne ya 7 A.D., hasa baada ya Waarabu kuuteka mji huo kutoka kwa Bizanti.

Prof. Moshe Sharon, mtaalamu wa historia ya Kiislamu kutoka Chuo Kikuu cha Hebrew, alisema:




Hii ina maana kuwa jina la awali la mji huo hata kwa Waarabu lilikuwa Iliya, si Quds. "Al-Quds" ni jina la baadaye la kisiasa na kidini lililopewa maana ya kiroho, si kihistoria.

Qur’an Haitaji Neno “Quds” Wala Yerusalemu Kwa Jina


Kitu cha kushangaza ni kwamba Qur’an haijawahi kutaja Yerusalemu kwa jina – wala “Quds” wala “Jerusalem”. Hili linaibua maswali makubwa kuhusu msingi wa madai ya kuwa "Quds" ni sehemu ya msingi wa imani ya Kiislamu.

Surah Al-Isra 17:1 inasema

"Subhana al-ladhi asra bi'abdihi laylan mina al-Masjid al-Haram ila al-Masjid al-Aqsa..."
(“Ametakasika Yule aliyemchukua mtumishi wake usiku kutoka Msikiti Mtakatifu [Mecca] hadi Msikiti wa Mbali...”)


Hapa haijatamkwa Yerusalemu.

Neno "Msikiti wa Mbali (Al-Aqsa)" halimaanishi Yerusalemu moja kwa moja. Tafsiri hiyo ilikuja baadaye kwa mujibu wa tafsiri ya wanazuoni wa Kiislamu, lakini haipo moja kwa moja katika Qur’an.,Unaanza kuona sasa kuwa Kuna utapeli mkubwa sana kwenye uislamu


Yerusalemu Ilikuwa Tayari ni Mji wa Kiyahudi Karne Nyingi Kabla ya Uislamu


Mji wa Yerusalemu ulikuwa tayari umejengwa, umeabudiwa na kuenziwa na Wayahudi maelfu ya miaka kabla ya kuja kwa Uislamu.


Historia ya Wayahudi:

  • Mwaka wa 1000 kabla ya Kristo (B.C), Mfalme Daudi aliteka Yerusalemu na kuufanya mji wa kifalme (2 Samweli 5:6-7).
  • Mwanawe Sulemani alijenga Hekalu kuu (1 Wafalme 6).
  • Yerusalemu ukabomolewa na Wababiloni (586 B.C) na kujengwa tena na Ezra na Nehemia.

Hii inaonesha kuwa Yerusalemu ilikuwa tayari na utambulisho wake wa Ki-Yahudi karne nyingi kabla ya jina la "Quds" kuibuka.


"Quds" ni Tafsiri ya Kiroho, Siyo Jina Halisi la Jiji


Katika maandiko ya Kiislamu ya baadaye, neno “Al-Quds” linatumika kama mji mtakatifu, lakini si jina la kale la kijiografia. Ni tafsiri ya maana (sanctity), si jina lenye historia halisi ya mji.

Jina la kweli la kihistoria la mji huo katika

  • Kiebrania: Yerushalayim (ירושלים)
  • Kigiriki na Kirumi: Hierosolyma / Aelia Capitolina
  • Biblia: Yerusalemu
  • Kiarabu cha kale kabla ya Uislamu: Iliya

Mwisho nikagundua kuwa Yerusalemu sio Quds,ila Waislamu walifanya UPOTOSHAJI ili wajinasibishe na Wayahudi,kumbuka yote unayoyaona waislamu wakisema kuhusu manabii wa kiyahudi na kujinasibisha nayo ni uongo ,mfano Muhammad ni uzao wa Ishamael ni uongo ,hii ni mada nimewahi kuileta humu...


Kwahiyo

✔️ Yerusalemu ni mji wa kihistoria, wa Biblia, wa Wayahudi na Wakristo, wenye utambulisho wake tangu kale.
✔️ Quds ni jina la Kiarabu lililoibuka karne nyingi baadaye tafsiri ya “mji mtakatifu”, sio jina halisi la kale.
✔️ Qur’an haijawahi kulitaja jina la Yerusalemu.
✔️ Historia, lugha, na maandiko yote yanathibitisha kuwa "Quds" si sawa na Yerusalemu, bali ni tafsiri ya kiimani iliyopachikwa baadaye.


Kwa hiyo, ukiona waislamu wanasema “Quds” ni Yerusalemu, wanapotosha historia na kuchanganya maana ya kiroho na ukweli wa kijiografia.

Kama kweli tunataka kuheshimu ukweli wa historia, lazima tukubali kuwa Yerusalemu ni mji wa Biblia na Wayahudi, na Quds ni tafsiri ya kiroho ya baadaye ndani ya Uislamu.


Ukitaka kuujua uislamu ulivyo ,uweke kwenye historia iliyoikuta.

Quran 17:1
SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka Msikiti wa Mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia na Mwenye kuona.

Andiko linasema
Mtume alipelekwa huko Kwa lengo la kuonyeshwa baadhi ya Ishara za Allah

Ishara zenyewe ni
Msikiti uliyojengwa na nabii Ibrahim

Hapo Kuna kaburi la nabii Ibrahim, Isaka na Yakobo na Sara

Quran hawezi kutaja jina Jerusalem Kwa sababu wakati Ibrahim ananunu hilo eneo lilikuwa haliitwi Jerusalem

Wewe unapolizungumzia hilo eneo utaanzia Kwa Yesu Kwa sababu hapo ndio mlipoanza kipotezwa hivyo lazima utaje Jerusalem

Lakini uislam ukilizungumzia hilo eneo unaanzia Kwa Ibrahim wakati wa Ibrahim hakukuwa na jina Jerusalem

Muislam akisema huo mji ni wa waislam hana maana kuwa Kwa sababu wanaishi wa Palestine ila maana yake ni kwamba
Hilo ni eneo takatifu ambalo Allah alimuamuru Nabii Ibrahim akajenge makao ya bwana hapo na Ibrahim alikuwa Muislam

Na ndio maana wakati Mtume Muhammad anaambiwa afanye ibada ya kumsujudia Mungu aliambiwa aelekee huko Baadae ndio akaambiwa aelekee Maka

Msikiti wa Al Aqusa ulijengwa na nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Isaka

Msikiti wa Maka ulijengwa na nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Ishmael

Sasa wewe unarukia rukia tu mambo ambayo hata hayakuhusu

Tukirudi kuhusu wakazi

Kwanza tambua Ibrahim sio mzaliwa wa hapo Yeye ni muhamiaji na ndio maana alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kumzika mkewe na kujenga huo msikiti
JE aliuziwa na akina nani?

Wakati Mungu anawambia waisrael ingieni katika mji huu mkaishi humo wao wakasema hatuwezi kuingia Kwa sababu Kuna watu huko
JE hao watu ni akina nani?

Kuna sehemu nimeona hapo unakubali kuwa Philistine walikuwepo kitambo sana na Gaza ndio kwao
Ila Baada ukasema hao Philistine sio wapalestine wakati ndio hao hao ishu ni kuwa hao Waroma walishindwa kulitamka hilo jina ndio wakawaita Palestine

Pia ukae ukijua Yahudi ni kabila Moja tu katika makabila 12 ya Israel

Pia ukae ukijua Isaka alikuwa na watoto wawili Yakobo na Esau

Waisrael ni watoto wa Yakobo
JE watoto wa Esau wapo wapi?

Mnalishwa matango poli kuwa uzao wa Esau uliisha kisa tu waliukataa ukristo na kukubali uislam

Nahitimisha kama ifuatavyo
Wapalestine ndio uzao wa Esau wanafanana sana na kuongea kiarabu Kwa sababu Esau alioa mtoto Binti kutoka uzao wa babayeke mkubwa ambaye ni Ishmael

Nyinyi wagalatia mmesha zoea kudanganywa na mtadanganywa Hadi mnaingia kaburini
 
Quran 17:1
SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka Msikiti wa Mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia na Mwenye kuona.

Andiko linasema
Mtume alipelekwa huko Kwa lengo la kuonyeshwa baadhi ya Ishara za Allah

Ishara zenyewe ni
Msikiti uliyojengwa na nabii Ibrahim

Hapo Kuna kaburi la nabii Ibrahim, Isaka na Yakobo na Sara

Quran hawezi kutaja jina Jerusalem Kwa sababu wakati Ibrahim ananunu hilo eneo lilikuwa haliitwi Jerusalem

Wewe unapolizungumzia hilo eneo utaanzia Kwa Yesu Kwa sababu hapo ndio mlipoanza kipotezwa hivyo lazima utaje Jerusalem

Lakini uislam ukilizungumzia hilo eneo unaanzia Kwa Ibrahim wakati wa Ibrahim hakukuwa na jina Jerusalem

Muislam akisema huo mji ni wa waislam hana maana kuwa Kwa sababu wanaishi wa Palestine ila maana yake ni kwamba
Hilo ni eneo takatifu ambalo Allah alimuamuru Nabii Ibrahim akajenge makao ya bwana hapo na Ibrahim alikuwa Muislam

Na ndio maana wakati Mtume Muhammad anaambiwa afanye ibada ya kumsujudia Mungu aliambiwa aelekee huko Baadae ndio akaambiwa aelekee Maka

Msikiti wa Al Aqusa ulijengwa na nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Isaka

Msikiti wa Maka ulijengwa na nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Ishmael

Sasa wewe unarukia rukia tu mambo ambayo hata hayakuhusu

Tukirudi kuhusu wakazi

Kwanza tambua Ibrahim sio mzaliwa wa hapo Yeye ni muhamiaji na ndio maana alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kumzika mkewe na kujenga huo msikiti
JE aliuziwa na akina nani?

Wakati Mungu anawambia waisrael ingieni katika mji huu mkaishi humo wao wakasema hatuwezi kuingia Kwa sababu Kuna watu huko
JE hao watu ni akina nani?

Kuna sehemu nimeona hapo unakubali kuwa Philistine walikuwepo kitambo sana na Gaza ndio kwao
Ila Baada ukasema hao Philistine sio wapalestine wakati ndio hao hao ishu ni kuwa hao Waroma walishindwa kulitamka hilo jina ndio wakawaita Palestine

Pia ukae ukijua Yahudi ni kabila Moja tu katika makabila 12 ya Israel

Pia ukae ukijua Isaka alikuwa na watoto wawili Yakobo na Esau

Waisrael ni watoto wa Yakobo
JE watoto wa Esau wapo wapi?

Mnalishwa matango poli kuwa uzao wa Esau uliisha kisa tu waliukataa ukristo na kukubali uislam

Nahitimisha kama ifuatavyo
Wapalestine ndio uzao wa Esau wanafanana sana na kuongea kiarabu Kwa sababu Esau alioa mtoto Binti kutoka uzao wa babayeke mkubwa ambaye ni Ishmael

Nyinyi wagalatia mmesha zoea kudanganywa na mtadanganywa Hadi mnaingia kaburini
Ndio maana tunasisitiza waislamu tafuteni elimu ona sasa unavyodanganya mbele ya halaiki

kihistoria, Msikiti wa Al-Aqsa haukuwepo wakati huo; ulijengwa karibu miaka 50 baada ya kifo cha Muhammad.

Kwa hiyo, dai hilo linaonekana zaidi kuwa la kiroho au hadithi ya kiimani, si tukio la kihistoria linaloweza kuthibitishwa.,Bali ni propaganda za Uislamu,

Madai kwamba msikiti huo ulijengwa na Ibrahim na mwanawe Isaka hayana msingi wa kihistoria. Biblia inaonyesha kuwa Ibrahim hakujenga msikiti bali madhabahu, na si katika eneo la Yerusalemu. Isaka wala Yakobo hawakujenga Al-Aqsa.,huu ni uzushi wa Uislamu .

Yerusalemu ilikuja kujulikana rasmi baada ya kuingia kwa Waisraeli na kufanywa mji mkuu na Mfalme Daudi. Jina Yerusalemu linatajwa zaidi ya mara 800 katika Biblia kabla hata ya Uislamu kuwepo, jambo linalothibitisha umuhimu wake katika mpango wa Mungu.

Uislamu hudai kuwa eneo hilo ni takatifu kwa sababu Allah alimwamuru Ibrahim ajenge hapo, lakini hakuna ushahidi wa kihistoria kwamba Ibrahim alikuwa Muislam au alifuata ibada za Kiislamu. Uislamu haukuwepo hadi karne ya 7 BK, ilhali Ibrahim aliishi karibu miaka 2000 kabla yake.

Philistines waliotajwa katika Biblia hawakuwa Wapalestina wa leo., ni kwamba unataka kusema wale kina Goliath walikuwa Wapalestina 😂😂, waislamu tafuteni elimu jamani ,aibu naona Mimi ,

Philistines walitoka eneo la Mediterania (Krete) na si Waarabu, na jina Palestine lilipewa na Warumi kama njia ya kufuta utambulisho wa Wayahudi baada ya uasi wa Bar Kokhba.,ni jina la juzi tu hapa ,

Pia, hoja kuwa Wapalestina ni uzao wa Esau haina msingi wa maandiko wala historia. Biblia inaonyesha kuwa uzao wa Esau uliunda taifa la Edomu, ambalo baadaye lilitoweka kama taifa. Hakuna uthibitisho kuwa Wapalestina wa sasa ni uzao wa moja kwa moja wa Esau au wa Ishmael.,hata Nasaba zinakataa ,

Lugha ya Kiarabu wanayozungumza ni matokeo ya Waarabu kuvamia na kueneza lugha hiyo baada ya karne ya 7,

Hata suala la Kibla linaonesha kuwa Yerusalemu iliheshimiwa mwanzoni mwa Uislamu, kabla ya kubadilishwa kwenda Maka. Hii inaonesha kuwa hata ndani ya Uislamu kulikuwa na mabadiliko ya kiitikadi, tofauti na Biblia ambamo Yerusalemu imebaki kuwa mahali pa ibada ya kweli ya Mungu tangu zamani hadi sasa.

Kwa mtazamo wa Kikristo, Yerusalemu ni kiini cha mpango wa wokovu wa Mungu, mahali ambapo Yesu alisulubiwa na kufufuka kwa ajili ya ulimwengu wote. Huu ndio mji Mungu aliuchagua kwa jina lake (1 Wafalme 11:36).

Yesu alisema wazi kuwa

“Wokovu watoka kwa Wayahudi” (Yohana 4:22), na si kwa Ishmael wala Esau. Kwa hiyo, madai ya Uislamu kuhusu Yerusalemu ni ya kisiasa na kiitikadi, si ya maandiko wala historia ya kweli.,

Ndio maana tunasema Uislamu umejengwa kwa propaganda,

Ona tu ulivyojichanganya kwenye historia,ukiwekwa mtu kati si utarusha mawe
 
Tujadili tu tujifunze pia
Wafia dini hawataki kutoka nje ya box

Muislamu yeyote akiuweka uislamu kwenye historia atakuta madudu mengi sana

Sababu uislamu ni dini ya juzi imekuja watu wanaiona ,imekuja tayari Dunia imeendelea sana ,Kuna historia,vitabu , AKIOLOJIA inayovumbuliwa inazidi kuuweka uchi uislamu

How comes , uislamu unakosa manuscript zake ,ili Hali dini kama Buddhism,shindi , taoism Zina manuscript zake na zipo kabla hata ya Ukristo na Uyahudi
 
Iv mkuu unaposikia hekalu la Nabii Suleiman unaelewa nini!? Hilo hekalu lilijengwa na Nabii Suleiman hapo Jerusalem upande wanahabudu wayahud na upande wanahabudu waislam hilo hekalu moja

Ukisikia mtu kasema masjd alasqa ndiio hilo hekalu mkuu lipo hapo Jerusalem wayahud wanasema lao na waislam wanasema lao tangu enzi na enzi hata yesu aliswali hapo

Nb hakuna mkristo anagusa
 
Wafia dini hawataki kutoka nje ya box

Muislamu yeyote akiuweka uislamu kwenye historia atakuta madudu mengi sana

Sababu uislamu ni dini ya juzi imekuja watu wanaiona ,imekuja tayari Dunia imeendelea sana ,Kuna historia,vitabu , AKIOLOJIA inayovumbuliwa inazidi kuuweka uchi uislamu

How comes , uislamu unakosa manuscript zake ,ili Hali dini kama Buddhism,shindi , taoism Zina manuscript zake na zipo kabla hata ya Ukristo na Uyahudi
Sasa kaka iv uoni kma uwo ni muujiza mkubwa na ushahid tosha kwamba uislam sio dini ya kutungwa kma hizo nyingine maana hizo nyingine zimetungwa na watu mpaka kuna hiyo manuscript zake

Lakin mpaka watafit wameshindwa kujua Qur'an iliandikwaje maana hakuna kosa mulee
 
Wapo waislam wa Israel na wapo waislam wapalestina , wapo wayahudi wa Israel na wapo wazayuni wakiyahudi na kikistro kwa uchache na wote wapo jerusalem .

Wapalestina wakiislamu na kikristo wanataka jerusalem mashariki ambapo ndipo asili yao. Na sio waisraeli waislam.

Kipi kiarabu hapo?
Hongera kwa kumvua nguo huyu muongo
 
Iv mkuu unaposikia hekalu la Nabii Suleiman unaelewa nini!? Hilo hekalu lilijengwa na Nabii Suleiman hapo Jerusalem upande wanahabudu wayahud na upande wanahabudu waislam hilo hekalu moja

Ukisikia mtu kasema masjd alasqa ndiio hilo hekalu mkuu lipo hapo Jerusalem wayahud wanasema lao na waislam wanasema lao tangu enzi na enzi hata yesu aliswali hapo

Nb hakuna mkristo anagusa
Umeenda shule kweli mkuu? Unaweza ukatidhibitishia hilo kutoka kwenye historia?
 
Sasa kaka iv uoni kma uwo ni muujiza mkubwa na ushahid tosha kwamba uislam sio dini ya kutungwa kma hizo nyingine maana hizo nyingine zimetungwa na watu mpaka kuna hiyo manuscript zake

Lakin mpaka watafit wameshindwa kujua Qur'an iliandikwaje maana hakuna kosa mulee
Inaonesha jinsi huna elimu ndugu, hujui hata manuscript ni nini ?

Kaka, kusema kwamba Qur’an haina kosa na haijulikani iliandikwaje si ushahidi wa kuwa Uislamu haukutungwa. Lugha nzuri au usahihi wa kisarufi si kigezo cha kuamua kama maandiko yametoka kwa Mungu. Mashairi ya Kiarabu kabla ya Uislamu yalikuwa na uzuri mkubwa wa lugha, lakini hayaitwi ya kimungu.

Pia madai kwamba dini nyingine zimetungwa kwa sababu zina manuscript si ya kweli. Qur’an yenyewe ina manuskripti nyingi kama ya Sanaa, Birmingham, Topkapi, na zimeonesha tofauti katika baadhi ya maneno. Ndiyo maana hata ndani ya Uislamu kuna qira’at tofauti njia mbalimbali za kusoma Qur’an jambo ambalo linathibitisha kwamba kuna mabadiliko ya matamshi na maneno.

Hili swala tulijadili sana na wenzako humu ,

Zaidi ya hayo, historia ya Qur’an inaonyesha wazi kuwa ilikusanywa baada ya Muhammad kufa. Kwa mujibu wa vitabu vyenu kama Sahih al-Bukhari, Qur’an ilikusanywa na watu kwa agizo la Abu Bakr na baadaye kurudiwa tena na Uthman kwa sababu zilikuwepo tofauti miongoni mwa masahaba.

Hii inaondoa dhana kwamba Qur’an ilishuka kama kitabu kimoja kilichokamilika.

Na mwisho, hoja ya msingi si kama maandiko yana kosa au hayana, bali kama kweli yanatoa wokovu wa roho. Biblia inamtangaza Yesu kuwa njia ya kweli ya kumfikia Mungu, aliyekufa kwa ajili ya dhambi na kufufuka kwa ushahidi wa kihistoria na wa kiroho.

Qur’an haimpi mtu hakikisho la wokovu bali sheria na matendo yasiyo na uhakika wa mwisho. Hapo ndipo tofauti ipo.
 
Sasa kaka iv uoni kma uwo ni muujiza mkubwa na ushahid tosha kwamba uislam sio dini ya kutungwa kma hizo nyingine maana hizo nyingine zimetungwa na watu mpaka kuna hiyo manuscript zake

Lakin mpaka watafit wameshindwa kujua Qur'an iliandikwaje maana hakuna kosa mulee
Usipotoka nje ya box huwezi ona kosa mkuu.Wala hatukushangai!
 
Back
Top Bottom