Kwanini Waislam hawajifunzi?

wakati wa kikwete makamu alikuwa wao. wakati wa Jpm makamu ni wao na waziri mkuu pia lakini hilo hawalioni. 🙁
 
Au Mkulu amemsahau katika Ufalme wake nini?
 

Tulieni basi simmeshawachagua hao wenye sifa MALALAMIKO ya nini????? tena hawana propaganda za kitoto
 
Wapinzani ndo hawajifunzi,mwaka 2000,mrema sijui kwa kutojua kuwa atawaogopesha waislamu,akamtanguliza kakobe na kuzunguka nae nchi nzima,waislamu wakawa alarmed wakapigia ccm,


mwaka 2010,maskofu wakaporomosha matamko kama hawana akili nzuri dhidi ya jk,waislamu wakawa alarmed wakajiuliza hivi tuchaguwe padri kweli agaisnt jk?,no fking way,,wakachagua ccm.

Mwaka 2015,wagombea wote christian,
hamad,tukashuhudia lowasa akiandamana na ngwajima kila kona huku ngwajima akitetema cheche,watu wakaona hii haijakaa sawa,kugeuka upande wa jpm,amekazana,"NITAKUWA RAIS WA WATU WOTE,DINI ZOTE,KABILA ZOTE"

Wakaona labda hapa kidogo kuna ka unafuu,

so khalifa kukiunga mkono ccm katika chaguzi za nyuma kwa mtizamo wangu,ccm walionekana nafuu kuliko hao wapinzani,sababu upinzani mfano cdm walionekana kuwa na hostility attitude towards muslims.
 
Kuhama chama si suluhisho. Kwanini hao wa kwenye chama wasibadilike.umesema mwenyewe sheikh wakati wa utawala wa JK alikaa kimya labda aliridhishwa na utawala huo sasa kama mambo hayaendi sawa asiseme?
Mtoto akiunyea mkono suluhisho siyo kuukata ccm ipo na utaendelea kuwepo watakuja marais waislam na wasio waislam miaka ijayo so madaraka yanapita lakini chama kitabaki.
 
Unapo muunga mkono mgombea basi kwanza yawepo makubaliano
sio unamuunga mkono mgombea halafu unaanza kulialia akishashinda...
Wagombea matapeli wanadanganya wakati wa kampeni.wakishaingia ikulu wanabadilika.
 
Tafadhali bwana.
Usitusemee waislam, huo unafiki , hatuaminiki, tunasalitiana kila kukicha haya yote umeyatoa wapi?
Usitake kutufarakanisha bwana.waislam tu wamoja ila kwa Tanzania tumekuwa wavumilivu kupitiliza.
 
Haya basi hatutaki kusikia malalamiko kwasababu CCM mmeipenda wenyewe.
 
Hii mada bwana Boss unataka kuichkulia kama kete ya kuwahamisha waislam kutoka CCM kwenda chadema.
Nimekustukia tutabaki CCM watabadilika wao hata kama si leo Kama kesho.madaraka yanapita CCM itabaki.
 
Saizi akitoka mkatoliki tunataka mmoraviani tumechoka sasa kuongozwa na watu wa mataifa wasiomjua mungu
Thubutu
Ifuatayo ni zamu ya waislam. Ipo wazi hiyo mkuu wala haina ubishi.
 
wakati wa kikwete makamu alikuwa wao. wakati wa Jpm makamu ni wao na waziri mkuu pia lakini hilo hawalioni. 🙁
Mlivyokuwa mnatoa matamko kila wiki mlikuwa hamlijuwi hilo?
Kikwete aliwavumilia sana nyie.sidhani kama JPM angeweza kuvumilia yale matamko ya baraza la maaskofu.
 
TATIZO MBADALA WA CCM HAKUNA, CHADEMA WANA ALERGY NA WAISLAM, CUF CHAMA CHA KIKANDA ZAIDI, TUNABAKIA NA ZIMWI TULIJUALO MAANA HATA LIKITUTAFUNA LITATUACHA HAI JAPO HOIIIIII
 
Tatizo letu kubwa viongozi wetu wa Kiislam ndio wanafki wakubwa , watu wa kila siku kulia lia na kujipendekeza wenzetu wakristo kidogo wana misimamo yao
 
Mkuu wangu The Boss naomba unifahamishe kiduchu nimekusoma hapo juu unasema Sheikh Khalifa alikuwa anamualika Kikwete Msikitini ni Msikiti upi huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…