MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Nilibahatika kumsindikiza rafiki yangu duka la jeshi ambako anaamini wanauziwa bidhaa kwa bei ya chini.
Maduka yote yanamilikiwa na wahindi, Nilichoona
Bidhaa zao nyingi zina ubora hafifu, Na bei zao zingine nikama sehemu zingine tofauti ni ndogo sana.
Nionacho
Hawa wahindi wanacheza na mind set za wa TZ, yawezekana hapo awali waliweka vitu vizuri kwa bei nzuri, baada ya kuona dhana imejengeka kuwa jeshini vitu ni rahisi wanachakachua ile mbaya.
Mie kwa kweli niliona vitu vingi ni low quality ndio vimejaa katika maduka hayo
Badala ya kumsaidia huyu askari na kumuondolea makali ya maisha zina muongezea ugumu zaidi kwani akinunua glass ya sh 550 jeshini atakapoosha tu siku ya pili hana glass ni heri angenunua ya 990 sehemu ingine ambayo inge dumu kwa muda .
Ni mtizamo wangu tu kuwa hawa wahindi vitu wanavyo vipeleka kuwauzia hawa askali wetu wenye kipato kidogo viwe na ubora wa kuwasaidia zaidi.
Maduka yote yanamilikiwa na wahindi, Nilichoona
Bidhaa zao nyingi zina ubora hafifu, Na bei zao zingine nikama sehemu zingine tofauti ni ndogo sana.
Nionacho
Hawa wahindi wanacheza na mind set za wa TZ, yawezekana hapo awali waliweka vitu vizuri kwa bei nzuri, baada ya kuona dhana imejengeka kuwa jeshini vitu ni rahisi wanachakachua ile mbaya.
Mie kwa kweli niliona vitu vingi ni low quality ndio vimejaa katika maduka hayo
Badala ya kumsaidia huyu askari na kumuondolea makali ya maisha zina muongezea ugumu zaidi kwani akinunua glass ya sh 550 jeshini atakapoosha tu siku ya pili hana glass ni heri angenunua ya 990 sehemu ingine ambayo inge dumu kwa muda .
Ni mtizamo wangu tu kuwa hawa wahindi vitu wanavyo vipeleka kuwauzia hawa askali wetu wenye kipato kidogo viwe na ubora wa kuwasaidia zaidi.