Kwanini wadada wengi wazuri huwa hawadumu kwenye ndoa?

Husna Muba

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
14,524
44,567
Mambo vipi members,

Aisee kuna mdada hapa mtaani kwetu yaani ni mzuri nikisema mzuri namaanisha, yaani ana kila kitu yaani mdada amekamilika yaani akipita hata sisi wadada wenzie tunageuka kumtizama.

Sasa akiongea ndio usiseme yaani ana kasauti flani hivi amazing. But cha ajabu ameshaolewa Mara 3 mpaka sasa na kuachika na wale wanaume wameoa wanawake wa kaiwaida tu sio wazuri kama yeye but ndoa zao zimesimama.

Huyu nimemtumia kama mfano tu ila wapo wengine wengi tu kama huyu hasa huku kwetu Mbagala. Hivi tatizo linakuwa nini wajameni?
 
Mambo VP members Wa freemanson?!
Aisee kuna mdada hapa mtaani kwetu yaani ni mzuri nikisema mzuri namaanisha yaani ana kila kitu yaani mdada amekamilika yaani akipita hata ss wadada wenzie tunageuka kumtizama,
Sasa akiongea ndio usiseme yaani ana kasauti flani HV amazing.
But cha ajabu ameshaolewa Mara 3 mpaka sasa na kuachika na wale wanaume wameoa wanawake wakaiwaida tu sio wazuri km yeye but ndoa zao zimesimama
Huyu nimemtumia km mfano tu ila wapo wengine wengi tu km huyu hasa huku kwetu mbagala
Hv tatizo linakuwa nn wajameni?!
Nadhani wanawake wazuri wa Mbagala wanamatatizo, mimi mke wangu nipo naye mwaka wa saba huu tupo vizuri tu.
 
Mar nying wasichana wazuri huwa wanapenda kunyenyekewa sana na hujiona kuwa wanapendwa kwsabab wao ni wazuri ndo mana wengi wao ni wavivu sio tu kitandan ata shughul ndogo ndogo za nyumbn zinawashinda na ukiwaambia ukweli ujiona wanaonewa na kunyanyasika mwisho wa siku hujtzama kw kioo na kujiona kwa uzuri wake hapaswi kushurutshwa ndo huanza visa na kupelekea mahusiano kuvunjika.. Ndo mana Mimi ata nimuone msichana mzuri vp huwa namchukilia wakawaida tu na ni mwenyemapungufu mengi kisaikolojia.. So nkitaka kula namla na kuacha ila nkiona haukuna haja naachana nae na kupta mbal..
 
huu utafiti umetumika kwa mtu mmoja, halaf mtoa mada unakuja na conclusion kabisa...halaf uzuri siku zote uko machoni pa mtu..waweza ww kumwona mzuri me nikamwona wa kawaida sanaaaa
 
May be yes...!

√mwenye kutaka mpenzi asiyekuwa na dosari na ataishi bachelor milele

√ukichambua sana dhahabu unaweza kuta mkaa

*Wadada wazuri wanakuwanga much selective hatari
 
Mar nying wasichana wazuri huwa wanapenda kunyenyekewa sana na hujiona kuwa wanapendwa kwsabab wao ni wazuri ndo mana wengi wao ni wavivu sio tu kitandan ata shughul ndogo ndogo za nyumbn zinawashinda na ukiwaambia ukweli ujiona wanaonewa na kunyanyasika mwisho wa siku hujtzama kw kioo na kujiona kwa uzuri wake hapaswi kushurutshwa ndo huanza visa na kupelekea mahusiano kuvunjika.. Ndo mana Mimi ata nimuone msichana mzuri vp huwa namchukilia wakawaida tu na ni mwenyemapungufu mengi kisaikolojia.. So nkitaka kula namla na kuacha ila nkiona haukuna haja naachana nae na kupta mbal..
Hapana hata ukiwajali hua hawa thamin mm kuna Dada kaolewa na amezaa watoto wawil na mumewe ana pesa za kutosha na kila kitu kapewa hadi gari Nissan murano amin usiamin Dada hajatulia kuna siku nili comment pch ya ke fb akanifata inbox tukawa marafiki mana alikua mkoan siku alipo kuja DSM kufata mzigo akanambia nimfate ubungo nikaenda tukalala hotel ipo pale ubungo plaza wiki nzima tunakula bata nikamwambia kuhusu mumeo akanambia nisha mchk ikawa ndio tabia kuna siku alini post fb akaandika friji la mdogo wangu nikaona du afu akafuta juz nisakia jamaa aliona SMS zangu kwk Bahat nzuri huwa namba ya zantel nilikua natumia kw michepuko jamaa alivyo maind nika ivunja kapewa talaka shv anahaha mjin hapa mia nyekundu hana kanifata nikamwambia namke hom
 
ungetumia baadhi wa wadada wazuri... wengi huringia uzuri wakidhani hicho ndiyo kitashikilia ndoa... hawana hofu ya Mungu pamoja na

  • hawana utii
  • kujiinua
  • maneno ya shombo
  • kubana papuchi
  • too demanding
  • labda akili hana ni tegemezi hata kusogeza kikombe mpaka aambiwe na mumewe
  • wachafu chumba hatandiki nyumba kama stoo ya panya
  • kuiga maisha na kufake kwingi
  • labda yaliyomo siyo aliyotarajia
  • hawajipendi
  • kujiona malaika ndani hakosolewi
  • kujigeuza shushu na kusikiliza ya kuambiwa
NB: HATA UWE NA SURA MBAYA KAMA REMY ONGALA UNAHAYO MAKERO HAPO JUU UTAACHIKA TU HAKUNA NAMNA ...
 
Mambo VP members Wa freemanson?!
Aisee kuna mdada hapa mtaani kwetu yaani ni mzuri nikisema mzuri namaanisha yaani ana kila kitu yaani mdada amekamilika yaani akipita hata ss wadada wenzie tunageuka kumtizama,
Sasa akiongea ndio usiseme yaani ana kasauti flani HV amazing.
But cha ajabu ameshaolewa Mara 3 mpaka sasa na kuachika na wale wanaume wameoa wanawake wakaiwaida tu sio wazuri km yeye but ndoa zao zimesimama
Huyu nimemtumia km mfano tu ila wapo wengine wengi tu km huyu hasa huku kwetu mbagala
Hv tatizo linakuwa nn wajameni?!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom