Tatizo watu hupenda kuhukumu sana. Sijui kweli kama elimu zetu zote 3 zinatusaidia.HUYO JAMAA NAMJUA SANA very ambitious japo ana swag za kike japo hajathibitika kua shoga alimaliza pale tusiime
sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
Huyu namfahamWakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
Sio hivyo mkuu hahaha...namaanisha kuwaita hao madesigner wanatoka darUchochezi ni mtu kushika ile nafasi yako ya kwanza kwenye uzi mkuu!!
Hapana Mkuu...mimi sio designer na wala sijawahi kufikiria kuwa designerMkuu nawe ni designer nn?? naona povu kwa mbaliiiiiii
Hapana Mkuu...mimi sio designer na wala sijawahi kufikiria kuwa designer
Ni kuwa sipendi tu au sioni sababu ya kujua mengi kuhusu hao machoko maana mada kama hii ilishajadiliwa several times hapa.
Ndio maana nikasema waachwe tu na maisha waliochagua wao.
Siyo kama tunahukumu mara nyingine huwa tunaelimiahanaa bhanaa mwanaume gani unakua namnaa hiyoTatizo watu hupenda kuhukumu sana. Sijui kweli kama elimu zetu zote 3 zinatusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
uchochezi
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Uchochezi ni mtu kushika ile nafasi yako ya kwanza kwenye uzi mkuu!!
Mkuu.....Siyo kama tunahukumu mara nyingine huwa tunaelimiahanaa bhanaa mwanaume gani unakua namnaa hiyo
Assume ndo bro wako ama mdogo wako wa kiume
How do u feel
Hahahaaaaaa wewe jamaaa umeua kabisaMwanaume mzima unavaa vinguo vilivyobana makalio kisha unaanza kutembea jukwaani kwa madaha huku ukituonesha msambwanda wanaume wenzio,!!
Unadhani uanaume ni kazi rahisi namna hiyo?
Yani ufanye kazi ya kuturingishia makalio alafu utegemee uwe mwanaume kamili gado?