Tumekuwa tukijionea kila siku wabunge wa CCM wakilala BUNGENI wakati mijadala ikindelea leo steven Wasira tyson sijui evender kalala na TBC wamempiga picha alianza komba, akafata juma nkamia mpaka anauliza swali lililopita muda wa kujadiliwa wadau hii ni sahihi kuacha kitanda nyumbani na kwenda kulala bungeni?
Kwa kweli nachukia kweli kweli kwanini wasiende kulala makwao?
Kwa kweli nachukia kweli kweli kwanini wasiende kulala makwao?