kwasababu wanakula ugali kuliko mboga, in the contrary, wazungu wanakula zaidi majanimajani, minyamya, samaki etc kuliko mawanga. kitu kingine, ujue wanga unanenepesha kuliko mboga, na kwa wabogo kunenepa ni afya wakati kwa wazungu kunenepa ni ugonjwa.Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?
Haaaahhahaahhahaahhaa mkuu you make my dayNi sawa kichwa cha chini kiwa kikubwa kuliko cha juu.
Kwanini Ugali uliwe na mboga? Kwanini isiwe ugali uliwe vile tu bila mboga??kwasababu wanakula ugali kuliko mboga, in the contrary, wazungu wanakula zaidi majanimajani, minyamya, samaki etc kuliko mawanga. kitu kingine, ujue wanga unanenepesha kuliko mboga, na kwa wabogo kunenepa ni afya wakati kwa wazungu kunenepa ni ugonjwa.
Em kula bila mboga alafu ulete mrejeshoKwanini Ugali uliwe na mboga? Kwanini isiwe ugali uliwe vile tu bila mboga??
unaujua ugali una usikia wewe, hata kooni utapita bila mboga? hata wazungu wanatushangaa tunaulaje huo ugali, manake wao hata ukiwa na mboga wanapata shida kuula.Kwanini Ugali uliwe na mboga? Kwanini isiwe ugali uliwe vile tu bila mboga??
Mboga ni ghali kuliko unga mkuu.Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?