Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,111
Baada ya tukio la october 7, zilikuwepo taarifa za kuonyesha kuwa kulikuwa na unyama mkubwa sana uliofanywa na HAMAS siku hiyo ikiwemo ubakaji na mauaji ya watoto. Uongo huo ulisambazwa dunia nzima na hivyo kuipa Israel cover ya kwenda kufanya mauaji ya kimbari Gaza.
vyombo kadhaa vya habari vimeanza kujitokeza na kuusanua uongo huo.
Hapa ni chombo cha habari huko Israel kikionyesha wazi kuwa madai mengi ya yaliyotokea october 7 ni feki:
vyombo kadhaa vya habari vimeanza kujitokeza na kuusanua uongo huo.
Hapa ni chombo cha habari huko Israel kikionyesha wazi kuwa madai mengi ya yaliyotokea october 7 ni feki: