Kwanini waarabu weupe wanawabagua waarabu weusi?

Status
Not open for further replies.
Mkuu,
Wapo waarabu weusi, nathibitisha. Bara Arab limegawanyika. Nchi za kiarabu mfano Yemen, Saudia, sehemu fulani ya Oman waarabu wake wapo mchanganyiko. Uendapo mashariki ya kati utakuta waarabu ambao ni weupe sana katika nchi za Iran, Jordan, Syria, Lebanon, Palestine etc.
Mchanganyiko huo ni mithili wa bara hindi ambapo nchi ya india (licha ya ukubwa wake) lakini ukienda India ya kusini utakutana na wahindi weusi kabisa kabisa. Ukienda Sri lanka utakutana na wahindi weusi wengi sana.
Juu ya yote, ni Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye siri iliyopo. Nae hakumuumba mwanadam kwa tabaka fulani ni bora mbele yake kuliko tabaka jingine, ni sisi wanaadam ndio wenye chokochoko zisizoisha hata kama tupewe mito ya asali, maziwa yakitiririka lazima tutazua 'kwa nini'. Ndivyo tulivyo wanaadam.

Nini Waarabu weusi bana, kuna wahindi weusi kuliko waziri mkuu wa tz!
Wewe unashangaa waarabu weusi, wapo wengi mno hasa Oman, Saudia Kuwait, Yemeni na Egypt
 
Waarabu weusi
wanabaguliwa sana na waarabu weupe achilia mbali wewe muafrika, wewe
muafrika ni issue nyingine kabisa, nchi za kiarabu sijui kwa nini zina
ubaguzi sana kwa watu weusi .
Ukienda europe utabaguliwa sana lakini ubaguzi wake sio kama wa
waarabu.
The safe place for african ni Afrika.
Tulilinde bara letu..... Kila sehemu muafrika anabaguliwa akienda except
Africa tu

waarabu wamewahi kuishi south Africa ?
 
Uarabu si Rangi? Itakuwaje uwe Mwarabu halafu uwe Mweusi?

Hapana ndugu yangu uarabu ni kabila wala sio rangi! na mwarabu wa kweli yupo katikati ya weupe na weusi! watu weupe bwana haijalishi awe nani wana ubaguzi hata hapa tanzania achia mbali africa au duniani wanabaguana!
Kisaikolojia mtu mweupe anajifanya kama yeye ndio yeye bila kujali kwamba ameumbwa na Muumbaji mmoja tu, maana wengekuwa wengi tungeanza kuwalaumu wale wengine!
Ni dhambi kubwa sana na Mungu alie mwema hasamehe dhambi ya kumuumbua binadamu mwenzako, hii inakuwa ni sawa na kusema kwamba Mungu hakumtendea haki yule mweusi!
Tujirekebisheni na dhambi hii na Mungu atatusamehe na kutubariki!

Tukija upande wa hao wanaojifanya waarabu weupe hao ni watu fedhuli na wabaya na Mungu anawaangalia tu hatawaacha hivi2 kama hawatatubu na kurejea kwake! inaniuma nahisi kama natetemeka nikiona hali hii!!!
 
hata jf hapa kunaubaguzi baina ccm na chadema na pia ukristo na uislamu ubaguzi . na ubaguzi wa mtu mweusi ni mkubwa kuliko ubaguzi wwt duniani basi mungu 2 kamnyima huyu kiumbe
 
Waarabu weusi wanabaguliwa sana na waarabu weupe achilia mbali wewe muafrika, wewe muafrika ni issue nyingine kabisa, nchi za kiarabu sijui kwa nini zina ubaguzi sana kwa watu weusi .
Ukienda europe utabaguliwa sana lakini ubaguzi wake sio kama wa waarabu.
The safe place for african ni Afrika.
Tulilinde bara letu..... Kila sehemu muafrika anabaguliwa akienda except Africa tu

Mie Wahaya wamenibagua, wamesema mie swahili ! Mzaramo haoi Mhaya !:embarrassed::sad::sad::A S-rap:
 
Waarabu weusi
wanabaguliwa sana na waarabu weupe achilia mbali wewe muafrika, wewe
muafrika ni issue nyingine kabisa, nchi za kiarabu sijui kwa nini zina
ubaguzi sana kwa watu weusi .
Ukienda europe utabaguliwa sana lakini ubaguzi wake sio kama wa
waarabu.
The safe place for african ni Afrika.
Tulilinde bara letu..... Kila sehemu muafrika anabaguliwa akienda except
Africa tu
Hao weusi si waarabu halisi. Ni machotara.
 
Waarabu wanabaguana hata kwa koo na kipato. Ni viumbe dhaifu kuliko wote linapokuja suala la ubaguzi. Inapokuwa kwa waswahili watokao Afariq kama wao wanavyopenda kuita ndiyo usiseme. Hata hivyo waswahili wakati mwingine ni wa kujilaumu. Je una habari kuwa wamakonde wa Sudan kwa mfano wanajiita waarabu na kubagua wenzao wa kusinin? Uzuri ni kwamba wakivuka mpaka kwenda Misri au Saudia huitwa Khaali au ibn muthnak. wanaharamu au watumwa. Wamisri hutumia abdi yaani mtumwa. Ni tatizo letu wenyewe. Hata ukienda nchi kama nyingi za kiarabu ukajitambulisha kwa majina ya kiarabu wanashagaa kama kwenu hakuna majina. Si hilo tu, hata ukienda misikitini wengi wanakuchukulia kama mwizi wa viatu. Yaliwahi kumtokea rafiki yangu toka Darfur aitwaye Ali akiwa nchini Misri alikwenda kusali na kutimliwa kwa madai kuwa mswahili alikuwa akitafuta nini kama siyo kuiba viatu.

............wachaga huwaita watu wengine: chasaka !
............wagogo nao huwaita wengine : wakononko !
............wadigo nao huwaita wengine : dziunde la koma !
............wahaya nao huwaita wengine : wanyamaanga !
.............wamasai...............................:...................?!
 
Ubaguzi uko dunia nzima, kwa sababu ni ile hali ya watu wa koo, kabila, jamii au rangi moja kujitofautisha na wengine na mara nyingi kujihisi wao ni bora kuliko wengine. Ni swala la hisia tu, kwa hiyo nitashangaa watu wanaotoa mapovu kupinga ubaguzi wa Waarabu. Ila lazima tukubali kwamba dunia imekwenda kwa kasi sana ktk kuwaunganisha watu na sehemu za Ulaya na Marekani wamepiga hatua zaidi ktk KURIPOTI matukio ya ubaguzi, kuliko ktk mabara mengine, Asia ikiwemo.
 
Ubaguzi ni ushetani! Hata mtu mnene anambagua mwembamba , mrefu anambagua mfupi,mzima anambagua mlemavu,wenye ngozi nyeusi wanambagua albino,mwanamke aliyepgwa pasi anaonekana kituko uswahlini! Wazungu wamejitahidi kupambana na ubaguzi ambao uliota mizizi kwao, japo bado upo lakini anayelengwa zaidi ni mtu mweusi.
 
aarabu ni washenzi sana nendeni yemen na iraq mkajionee waarabu weusi wanavyonyanyaswa na kuitwa watumwa hata misikitini hawaruhusiwi kwenda yaani ukiona ubaguzi huo unaweza ukasema kuanzia leo mi msikitini basi kama una roho nyepesi.
 
Ubaguzi uko dunia nzima, kwa sababu ni ile hali ya watu wa koo, kabila, jamii au rangi moja kujitofautisha na wengine na mara nyingi kujihisi wao ni bora kuliko wengine. Ni swala la hisia tu, kwa hiyo nitashangaa watu wanaotoa mapovu kupinga ubaguzi wa Waarabu. Ila lazima tukubali kwamba dunia imekwenda kwa kasi sana ktk kuwaunganisha watu na sehemu za Ulaya na Marekani wamepiga hatua zaidi ktk KURIPOTI matukio ya ubaguzi, kuliko ktk mabara mengine, Asia ikiwemo.

hujui kuwa dunia yote mpaka Africa wamekubaliana kuwa SHETANI NI MWEUSI?
 
Waarabu weusi wanabaguliwa sana na waarabu weupe achilia mbali wewe muafrika, wewe muafrika ni issue nyingine kabisa, nchi za kiarabu sijui kwa nini zina ubaguzi sana kwa watu weusi .
Ukienda europe utabaguliwa sana lakini ubaguzi wake sio kama wa waarabu.
The safe place for african ni Afrika.
Tulilinde bara letu..... Kila sehemu muafrika anabaguliwa akienda except Africa tu
hii niliwahi kuiona chuoni mbeya aisee wanadharauliana balaa hata hivyo mwarabu anamdharau muhindi sana kuliko hata muafrica....
 
Waarabu weusi wanabaguliwa sana na waarabu weupe achilia mbali wewe muafrika, wewe muafrika ni issue nyingine kabisa, nchi za kiarabu sijui kwa nini zina ubaguzi sana kwa watu weusi .
Ukienda europe utabaguliwa sana lakini ubaguzi wake sio kama wa waarabu.
The safe place for african ni Afrika.
Tulilinde bara letu..... Kila sehemu muafrika anabaguliwa akienda except Africa tu

Europe wanabaguana wazungu kwa wazungu yaani kati ya blond hairs vs black hairs ingawa wote ni wazungu. Mkiwabagua wabara kwa sababu wao ni wabara mkimaliza kufanya hivyo mtajikuta kumbe kuna wapemba na waunguja mtaendelea kubaguana, ni sawa na kula nyama ya mtu, hailiwi mara moja tu
 
Mwandishi wa Habari wa Kike Msudan mweusi ateswa na kufanyiwa vitendo vya ubaguzi wa rangi
​Sudanese journalist tortured and subjected to racist abuse by NISS - Sudan Tribune: Plural news and views on Sudan
(8 November 2012) The Government of Sudan must immediately investigate the arbitrary detention and torture of freelance Sudanese journalist Somia Ismail Ibrahim Hendusa, who was found abandoned and in extremely poor health on a Khartoum street on 2 November following her arrest by Sudanese National Intelligence and Security Service (NISS) officers on 29 October.

Ms. Hendusa, a 34 year old freelance journalist, was arrested from a street in Khartoum Bahri nearby her family home at 10pm on 29 October. She was apprehended by seven NISS officers and taken to the NISS office in Khartoum Bahri. Ms. Hendusa was subjected to physical and psychological torture and reported that nine NISS officers were involved. She was forced to remove her abaya (Islamic dress), beaten with water pipes and burned on her back, shoulders and stomach with an iron.

Ms. Hendusa was also subjected to racial abuse. The NISS officers shaved her head and told her that they did so because she appeared have "Arab" hair rather than "Darfuri" hair. She was also accused of being a prostitute and told that the Rizeigat are slaves.

Four days later, on the morning of 2 November, Ms. Hendusa was released and abandoned in extremely poor health on a street in the Khour Al Sumra neighbourhood of Al Drushab district, Khartoum Bahri.

Ms. Hendusa is a freelance journalist known for publishing political analysis for two online newspapers, Sudan Today and Al Rakouba. During her detention, she was accused of advocating against the Government of Sudan and interrogated about articles she had written which were critical of Sudanese president Omar Al Bashir.

Ms. Hendusa had been living in Cairo, Egypt but was visiting family in Sudan for Eid Al-Adha at the time of her arrest. She reported that on 25 October, a few days prior to her arrest, she had received a phone call from the NISS welcoming her to Sudan. She received a second call on 27 October asking her to report to NISS offices in Khartoum Bahri, which she did not do. Ms. Hendusa also reported that a car had been following her in the days leading to her arrest.

On 2 November, the day of her release, Ms. Hendusa sought medical treatment at Omdurman Hospital. However, the hospital refused to issue her the medical report form necessary to obtain treatment. She subsequently obtained a medical report from Khartoum Bahri Hospital which confirmed that she had burns on her body and that her head had been shaved.

On the day of her release, Ms. Hendusa also attempted to lodge a criminal complaint at Al Safia Police station in Khartoum Bahri. She obtained the required approval from the prosecutor of Al Safia police station to lodge a criminal complaint, but after waiting six hours at the police station the attending officer refused to conduct an interview in the absence of a senior officer. She subsequently succeeded to file a criminal complaint the next day against nine NISS officers including a high ranking NISS officer named Babiker al Fadni and eight others whose names are not known.

ACJPS calls on the Government of Sudan to uphold its domestic and international law obligations and immediately ensure an effective, independent and impartial investigation into the allegations of arbitrary detention, torture and racist abuse.

Throughout 2012, ACJPS has documented a pattern of arbitrary arrest, torture and ill-treatment of individuals publishing material critical of the Government of Sudan, including journalists, political activists and human rights defenders. ACJPS is concerned that there has been a rise in the incidence of arbitrary arrest, detention, torture and ill-treatment of women activists in recent months.

Contact: Osman Hummaida, Executive Director, African Centre for Justice and Peace Studies (ACJPS).
Phone: +44-7956-095738 (UK)
Email: osman@acjps.org
 
Hao waarabu achana nao.Ubaguzi wao huwa si mkubwa sana kwani mara nyingi huwa unatokea kwa wale waarabu ambao si waislamu wenye elimu.Ukiangalia unaweza ukaona kinyume chake kwa wale waarabu walioanza kufika mwambao wa Afrika Mashariki.Unaweza ukasema kwanini waarabu wanawapenda sana waafrika.Wengi wao waliwach wake zao arabuni na kuwaowa wanawake wa kimanyema na kinyamwezi.Wale waliokuja na wake zao basi walipenda waongeze wake wengine wa kiafrika mpaka wanne.
Wasichana wa kiarabu nao wengine walikosana na wazazi wao kwa kulazimisha kuolewa na wanaume wa kiafrika waliowapenda.Hata hayati Karume alipendwa na mwarabu na yeye akapenda zaidi kwa kujiolea wengine bila ridhaa ya wazazi wao.
Ubaguzi ambao una athari na ambao hata mimi siupendi ni ule wa muafrika mkristo kumbagua muafrika mwenzake kisa ni muislamu tu.Akitaka ajira ananyimwa na elimu hapewi nafasi ya kupanda juu kulingana na kipaji chake.Unaweza ukakuta mwanasiasa muislamu ana sifa zote za kugombea na kuwa raisi lakini waafrika wenzake wakristo wakamfanyia kampeni chafu mpaka waislamu wenzake wakamtilia shaka.
Saint huenda umenielewa au kama una swali...

Amiiiiiii...!
 
Amiiiiiii...!

huyo Amii atakuwa na matatizo ya kiakili hasa hasa saikolojiko problems,pamoja na kukataliwa kote huko hawakomi tu!!
wapemba kweli mna mambo.!!

nakupa mfano mmoja huko uarabuni,dubai,oman,qatar,yemen etc zamani walikuwa wanachukua wafanyakazi wandani kwa wingi toka East Africa lakini siku hizi wanachukua toka india,pakistan,malaysia,indonesia na fillipino ka sababu wanasema hata ikitokea bahati mbaya mzee mwenye nyumba au mtoto wake akampa mimba huyo house girl mtoto atakayezaliwa atakuwa sawa na wao lakini ukichukua mwafrika wanasema wanaichafua damu yao.
hawa wa2 mi nashangaa sijui tunawababaikia kwa nini sijui ni hiyo rangi au nywele zao?? sisi tunawapa nyadhifa kubwa kubwa hapa kwetu kitu huwezi kukuta kikitokea huko kwao,utakuta mwarabu ana duka na pembeni yake mwafrika ana duka basi cha ajabu utakuta wa2 wote wanakwenda kununua duka la mwarabu na kumwacha wakwao!!muhindi hanunui duka lolote kama si la muhindi na mwarabu hivo hivo sasa mwafrika kunani??tuwaige basi hata wa2 wa mbeya ambao we kama si wa kwao hawanunui dukani kwako.

hawa watu ni washenzi sana wasingestahili kupata nyadhifa yeyote ile hapa nchini kwetu.
hata huko znzb waadimu washirazi na watumbatu ni vigumu kukuta ameoa mwarabu bali wao waarabu wanaruhusiwa kuoa waswahili tena wanafurahiwa sana.hii ni hata hapa bara mwafrika kuoa mwarabu ni ishu kubwa lakini mwarabu anaoa yeyote yule amtakaye!!! hawa wangerudi kwao au tuwatumikishe kama babu zao walivyowatumikisha babu zetu na kama wao wanavyotutumikisha sisi tukienda kwenye nchi zao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom