Tuna uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kubuni! Mfuno wa maisha tunao ishi hakuna mwanadamu mwingine anaweza kuuzoea atakufa, kila kukicha mwafrika anabadilika ka vairasi aendane na mazingira, leo vita, kesho njaa, keshokutwa ebola, wiki ijayo migogoro ya siasa, hakuna ajira nakadhalika, lakini ikifika weekend club zinajaa na hawaendi kukopa!Sorry kwa watakao feel offended
Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi
Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas.
Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!!
Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui Africa ya kati ni yale yale na ya Haiti ni yale yale.
Itoe South Africa ambayo waanchi wake weusi hawamiliki asilimia 80 ya uchumi!! Ukiwa umehodhiwa na wazungu.
Jibu kama mtu usie na mihemuko!!
Tatizo afrika ni ombwe la wasio na uwezo kiakili kuteka madaraka na mfumo wa elimu nao unaua kila siku ubunifu wa mwafrika anayeishi bara la afrika! Ughaibuni waafrika wenye uwezo ni lulu wanatumiwa vizuri sana tu! Ukiangalia mfano mdogo wa michezo ya Olympic, wameshindwa hata kwenda kuchukua mhazabe mmoja aende kwenye mashindano ya shabaha ya mshale achukue dhahabu pengine kamati ilitaka mtoto wa mwanasiasa aende hawa wa kina junia hawa!!!
Kujikomboa kwa mwafrika kuanzie kwenye leadership