Wadau najaribu kujiuliza sipati jibu kwanini wazenji wana jeuri na kiburi sana mbele ya serikali ya bara?kwanini wanajiamini kuliko sisi wa bara?kila wanachotaka wao wanapewa?
Zanzibar si nchi,hakuna nchi kama hiyo Duniani, kwenye orodha ya umoja wa mataifa na Rais wa Zanzibar hajawahi kuhudhuria vikao vya UN hivyo waache wajifariji
Napita tu hapa kama njia!nachofahamu zenji cyo nchi,bali kisiwa kilichoko Tz
Wadau najaribu kujiuliza sipati jibu kwanini wazenji wana jeuri na kiburi sana mbele ya serikali ya bara?kwanini wanajiamini kuliko sisi wa bara?kila wanachotaka wao wanapewa?
Zanzibar si nchi,hakuna nchi kama hiyo Duniani, kwenye orodha ya umoja wa mataifa na Rais wa Zanzibar hajawahi kuhudhuria vikao vya UN hivyo waache wajifariji
Lakini mi naona kuwa Zanzibar ndio inayoongoza Serikali ya kwa asilimia 100, na inaiongoza Tanganyika kwa asilimia 50, sasa watake nini? watulie wakunje kwanza ilihali mabibi wa Tanganyika wamelala fofofo! kwani Mawaziri wa Kizanzibari waliopo katika serikali ya Muungano unafikiri wapo kwa maslahi ya Tanganyika? hebu chunguza halafu niambie, pia mabalozi wa Tanzania wanaotokea Znz nje, na ndio wanaomwaga wawekezaji wa Kizungu zanzibar, kuna kipindi watalii ni wengi kuliko raia Zenji. Tanganyika ilijaribishwa kidole ikazama, sasa muda wowote Zanzibar itafanya kweli, kwanza wameshatajirika sana.... pole watanganyika!