MatikaC
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,190
- 479
ushapigia game na michepuko mara ngapi hapo?
mara za kutosha kabisa, kwani vipi!
ushapigia game na michepuko mara ngapi hapo?
Asilimia kubwa ya wakaazi wa mujini huwa wanaishi stoo.
ujakosea!!!
Hujakosea
uamuzi tu unaweka kokote
niliwahi kuoneshwa chumba na sebule na dalali maeneo ya sinza mfuniko wa septic tank uko sebuleni, nilichoka...
Chumba kidogo lazima kitanda kiwekwe Mwisho wa ukuta ,lakini nyumba nyingi kubwa zenye nafasi ya kutosha .. Style ya vitanda huwekwa Katikati .Hahahahaaa nimecheka sana lol au unakuta choo cha jiranu kinatizamana na dirisha lako.
mbona cha kwangu kipo katikati kasoro upande wa kichwa? au mnazungumzia vitanda vya wapi?
Labda mwenzetu anamaanisha katikati yani kisiguse ukuta sehemu yoyote
Najiuliza sana hii kitu ni mila,mazoea,au ni utaratibu tu wa jamii husika kuto weka kitanda katikati ya chumba.
tuekimishane wakuu.
uamuzi tu unaweka kokote