Amani Dimile
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 243
- 399
- Thread starter
- #41
Hilo neno kabisaHaya mambo yapo wazi sana mkuu..... mwanaume kushindwa kukaa na kumuongoza mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na hiyo inakukosesha sifa ya kuitwa mwanaume kamili.
Kimsingi mwanaume hapaswi kumshindwa mwanamke




