Amani Dimile
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 243
- 399
- Thread starter
- #41
Hilo neno kabisa [emoji736][emoji736][emoji736]Haya mambo yapo wazi sana mkuu..... mwanaume kushindwa kukaa na kumuongoza mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na hiyo inakukosesha sifa ya kuitwa mwanaume kamili.
Kimsingi mwanaume hapaswi kumshindwa mwanamke