Kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"?

Kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"?

Haya mambo yapo wazi sana mkuu..... mwanaume kushindwa kukaa na kumuongoza mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na hiyo inakukosesha sifa ya kuitwa mwanaume kamili.
Kimsingi mwanaume hapaswi kumshindwa mwanamke
Hilo neno kabisa
 
Kumuogopa mwanamke ni udhaifu wa namna yake.
Shida yote inatoka kwetu wanaume, lawama zote ziulekee moyo wa kupenda, tunapowapenda tunakosa kwa upendo wote ndio udhaifu wetu kwao unaonekana na hapo ndio wanapotupiga .

Usimuogope mwanamke bali usimuwekee matarajio ya aina yoyote wala usimpe umuhimu unaozidi kipimo cha umuhimu.

Hata hivyo mwanamke ndie mama, unapo mtazama mwanamke kwa engo yoyote mtazame kama mama.
 
Kumuogopa mwanamke ni udhaifu wa namna yake.
Shida yote inatoka kwetu wanaume, lawama zote ziulekee moyo wa kupenda, tunapowapenda tunakosa kwa upendo wote ndio udhaifu wetu kwao unaonekana na hapo ndio wanapotupiga .

Usimuogope mwanamke bali usimuwekee matarajio ya aina yoyote wala usimpe umuhimu unaozidi kipimo cha umuhimu.

Hata hivyo mwanamke ndie mama, unapo mtazama mwanamke kwa engo yoyote mtazame kama mama.
Sawa na sisi si kwamba tunasema eti kumuogopa kwamba ana nguvu kubwa kutuzidi hapana Fear Woman inamaanisha kutia wasi wasi ndani ya maamuzi au mategemeo yako huu yake.
 
Mtu wa karibu ndio adui, Mwanafunzi ndio adui wa baadae kwa Mwalimu,
ogopa kilichotoka kwako ndicho kinachoweza kukudhuru
Sasa watu hawaelewi wanahisi tunasema ogopa wanawake kujificha hapana hatusemi hivyo ila tunasema ogopa mwanamke yaani usimuamini asilimia 100 weka nafasi ya mashaka juu yake

Ahsante sana mkuu Kwa kunielewa
 
Sawa na sisi si kwamba tunasema eti kumuogopa kwamba ana nguvu kubwa kutuzidi hapana Fear Woman inamaanisha kutia wasi wasi ndani ya maamuzi au mategemeo yako huu yake.
Fanya namnahii....
Usije uka anzisha maisha na mwanamke ambae unamashaka ama wasiwasi juu yake. Hata kama umempenda vipi, jaribu kuushinda moyo umuache na uanzishe maisha na mwanamke unae muamini na anae kutii
 
Fanya namnahii....
Usije uka anzisha maisha na mwanamke ambae unamashaka ama wasiwasi juu yake. Hata kama umempenda vipi, jaribu kuushinda moyo umuache na uanzishe maisha na mwanamke unae muamini na anae kutii
Umuamini asilimia ngapi ???
 
Haya mambo yapo wazi sana mkuu..... mwanaume kushindwa kukaa na kumuongoza mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na hiyo inakukosesha sifa ya kuitwa mwanaume kamili.
Kimsingi mwanaume hapaswi kumshindwa mwanamke
Pole Braza kumuweza ni maamuzi ya mwanamke kuamua, akigoma kutawalika imekula kwako.
 
Hii nayo Ina ukweli, ila hawawezi elewa sababu hawajaoa
Mwana kupata KE submissive kazi..unaweza jishusha utafute balance inabuma ukiwa mtemi Napo shida utauawa hata kwa sumu.....so ni kuishi kujibanza na kutomuamini mtu.
 
Pole Braza kumuweza ni maamuzi ya mwanamke kuamua, akigoma kutawalika imekula kwako.
Usinipe pole kijana, hapa nakupa hoja tu kwamba....
Mwanamke anatabia ya kujaribu, then akikuta naawewe unaudhaifu flani basi anapata paa kupitia. Lakinu mwanamke huyohuyo anapima pia aina ya mawanaume alienae kwamba je anatawalika??
Hivyo basi, kama umeona huyo mwanamke hawezi kukutii basi muache na utafute mwanamke mwingine ambae wewe utajiona unauwezo wa kua kichwa na anakakutii.
 
Umuamini asilimia ngapi ???
Mkuu, hili ni swali la hovyo sana ambalo nirahisi sana kunifikitisha kwamba wewe ni mwanaume wa aina gani...🤔
Kwa mantiki hii basi natarajia utakuja na swali kwamba ili aridhike "umpige pipe" marangapi??
 
IMG_5257.jpg
 
Back
Top Bottom