Kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"?

Kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"?

Bola tujiunge kwenye umoja wa wanaume bahiri duniani kuliko kujiaminisha kwa mwanamke kwa kumfanyia vitu vikibwa na vya thamani...
Wanangu wa "UWABADU" tukishirikiana wa wanangu wa "UWABATA" tuishi kwa akili na awa wadudu
 
Iogopeni dunia...waogopeni wanawake

...hakika nyoyo za watu(wanaume) zmepambiwa matamanio ya kupenda wanawake,watoto,Mali n.k..


Kama mwanAume tumia akili kiviendea hvyo vitu
 
Hivyo vitabu kaandika nani ?

Kuhusu kuishi sana Biological difference inasaidia as well as mazingira kipindi cha mababu zetu sasa kama wewe ndio unakwenda kuwinda kupambana na simba au kipindi kile una stress za kuleta mkate mezani unadhani maisha yako yatakuwa marefu....

Biological differences also help to explain women's higher longevity. Scientists believe that estrogen in women combats conditions such as heart disease by helping reduce circulatory levels of harmful cholesterol. Women are also thought to have stronger immune systems than men.
Na kuonyesha kwamba kuna reason behind ya maisha na stress kuna nchi ambazo men outlive women, nazo ni

In only a few countries in Asia (Afghanistan, Nepal, and Papua-New Guinea) and Southern Africa (Namibia and Zimbabwe) do men outlive women.

Huenda Asia maisha ya kina mama yana stress
 
Jibu ni moja tu....
Ishi nae kwa akili
Yaani wewe kama mwanaume unapaswa uwe na uwezo wa kufikiri much ahead than your woman..😊
Hata mwanamke mwenye akili anapenda apate mwanaume mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri zaidi yake, and that's nature...🤗
Yaani mwanamke ahata akiwa President, anajiskia amani sana kama anamwanaume ambae anampa solutions katika kila jambo anali liuliza..🙂
Kukaa na kiumbe kinapofikiri kinaita mawazo elfu moja yasiyo husika ni shida ...na hapo ndio mwanzo wa mawazo yao yanayoongozwa na hisia huwafanya kuwa viumbe wasioeleweka.
 
Mtu wa karibu ndio adui, Mwanafunzi ndio adui wa baadae kwa Mwalimu,
ogopa kilichotoka kwako ndicho kinachoweza kukudhuru
 
Bola tujiunge kwenye umoja wa wanaume bahiri duniani kuliko kujiaminisha kwa mwanamke kwa kumfanyia vitu vikibwa na vya thamani...
Wanangu wa "UWABADU" tukishirikiana wa wanangu wa "UWABATA" tuishi kwa akili na awa wadudu
Daaah!! Natamani sana ningalifahamiana na wewe. Sababu maneno yako ni yenye busara na amani ndani yake. Mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tele....

 
Kukaa na kiumbe kinapofikiri kinaita mawazo elfu moja yasiyo husika ni shida ...na hapo ndio mwanzo wa mawazo yao yanayoongozwa na hisia huwafanya kuwa viumbe wasioeleweka.
Haya mambo yapo wazi sana mkuu..... mwanaume kushindwa kukaa na kumuongoza mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na hiyo inakukosesha sifa ya kuitwa mwanaume kamili.
Kimsingi mwanaume hapaswi kumshindwa mwanamke
 
Hivyo vitabu kaandika nani ?

Kuhusu kuishi sana Biological difference inasaidia as well as mazingira kipindi cha mababu zetu sasa kama wewe ndio unakwenda kuwinda kupambana na simba au kipindi kile una stress za kuleta mkate mezani unadhani maisha yako yatakuwa marefu....

Biological differences also help to explain women's higher longevity. Scientists believe that estrogen in women combats conditions such as heart disease by helping reduce circulatory levels of harmful cholesterol. Women are also thought to have stronger immune systems than men.
Na kuonyesha kwamba kuna reason behind ya maisha na stress kuna nchi ambazo men outlive women, nazo ni

In only a few countries in Asia (Afghanistan, Nepal, and Papua-New Guinea) and Southern Africa (Namibia and Zimbabwe) do men outlive women.

Huenda Asia maisha ya kina mama yana stress
Kitabu kimoja kilichosomwa na watu elfu moja kamwe hakiwezi kuwa na maana moja. Ahsante
 
Back
Top Bottom