Amani Dimile
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 243
- 395
Samahanini naomba mnijibu baadhi ya maswali yangu;
Ni kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"? Au kwanini katika dunia ya sasa watu wengi mashuhuri na hata wasio mashuhuri wanaume hutangulia kufa na wake zao hubaki duniani?
Kwanin suala la usaliti na uongo kwenye hadithi nyingi za kiimani na zisizo za kiimani linawalenga wanawake?
Kwanini sasa nyimbo nyingi zinaimbwa zikisema, "Kama kusingekuwa na wanawake kusingekuwa na maumivu au kilio"?
Naombeni tafadhali msininukuu vibaya. Sipo hapa kukandamiza jambo lolote au kuonesha ubaya wa nadharia yoyote ile. Ila nipo hapa kuwakumbusha tu baadhi ya wanaojielewa kuwa, ogopa sana wanawake!
Ulimi wa chui ni ulimi mkali sana, una meno sugu kama meno ya msumeno. Ulimi wa chui ni mkali kiasi kwamba unaweza ukachuna rangi iliyopakwa ukutani, lakini licha ya ulimi wa chui kuwa mkali ila unashika namba mbili namba moja ni ulimi wa mwanamke. Fear women.
Mnasema tajiri wa rangi kinyonga, vipi kama nikiwaambia mnakosea. Huenda tajiri wa rangi ni Mwanamke. Sababu anaweza akawaza tofauti, akatenda tofauti na kunena tofauti. Fear women.
Au basi, tusiende mbali kwani hamfahamu kwamba asilimia 67 ya vifo vya wanandoa vinatokana na wanawake? Kaa kimya nikukumbushe, habari za wanaume ambao baada ya hasira ya mabaya wanayotendewa na wake zao huamua kuwaua na kisha kujiua wao. Japo si njia sahihi ya kutatua migogoro ila fear women.
Fear women kaka, usijiaminishe sana mbele yake na kumuamini asilimia 100. Usijiwekee mategemeo makubwa mbele yake utakuja kulia vibaya, wewe huna nguvu kumzidi Samsoni.
Fear Women kaka, sababu kitabu cha wanawake wanataka nini maishani waridhike bado hakijatoka kwani mwandishi kaandika vitu vyao vyote ila bado hajamaliza ni kikubwa mno na kina mahitaji mengi acha. Fanya kadri ya uwezo wako shukrani za hao viumbe usizikalie kitako.
Fear women kaka, wanawake wanaongoza hii dunia. Huwezi kuwa mjanja kuwazidi ila una uwezo wa kuwa na akili ya kupambanua unayoyafanya mbele yao.
Mimi nimejitolea kuongea hili, hata nichukiwe ila nawaambia ndugu zangu wanaume fear women. Hata mnikamate mniue na kunigaragaza, mnitukane na kunisimanga ila kauli yangu ya mwisho ni fear women.
Fear women, Fear women
Amani Dimile
#amanidimile #fearwoman #misemo_ya_hekima #tungomaridadi #hekimayadimile #fikrazadimile
Ni kwanini vitabu vingi vinasema "Ogopeni wanawake"? Au kwanini katika dunia ya sasa watu wengi mashuhuri na hata wasio mashuhuri wanaume hutangulia kufa na wake zao hubaki duniani?
Kwanin suala la usaliti na uongo kwenye hadithi nyingi za kiimani na zisizo za kiimani linawalenga wanawake?
Kwanini sasa nyimbo nyingi zinaimbwa zikisema, "Kama kusingekuwa na wanawake kusingekuwa na maumivu au kilio"?
Naombeni tafadhali msininukuu vibaya. Sipo hapa kukandamiza jambo lolote au kuonesha ubaya wa nadharia yoyote ile. Ila nipo hapa kuwakumbusha tu baadhi ya wanaojielewa kuwa, ogopa sana wanawake!
Ulimi wa chui ni ulimi mkali sana, una meno sugu kama meno ya msumeno. Ulimi wa chui ni mkali kiasi kwamba unaweza ukachuna rangi iliyopakwa ukutani, lakini licha ya ulimi wa chui kuwa mkali ila unashika namba mbili namba moja ni ulimi wa mwanamke. Fear women.
Mnasema tajiri wa rangi kinyonga, vipi kama nikiwaambia mnakosea. Huenda tajiri wa rangi ni Mwanamke. Sababu anaweza akawaza tofauti, akatenda tofauti na kunena tofauti. Fear women.
Au basi, tusiende mbali kwani hamfahamu kwamba asilimia 67 ya vifo vya wanandoa vinatokana na wanawake? Kaa kimya nikukumbushe, habari za wanaume ambao baada ya hasira ya mabaya wanayotendewa na wake zao huamua kuwaua na kisha kujiua wao. Japo si njia sahihi ya kutatua migogoro ila fear women.
Fear women kaka, usijiaminishe sana mbele yake na kumuamini asilimia 100. Usijiwekee mategemeo makubwa mbele yake utakuja kulia vibaya, wewe huna nguvu kumzidi Samsoni.
Fear Women kaka, sababu kitabu cha wanawake wanataka nini maishani waridhike bado hakijatoka kwani mwandishi kaandika vitu vyao vyote ila bado hajamaliza ni kikubwa mno na kina mahitaji mengi acha. Fanya kadri ya uwezo wako shukrani za hao viumbe usizikalie kitako.
Fear women kaka, wanawake wanaongoza hii dunia. Huwezi kuwa mjanja kuwazidi ila una uwezo wa kuwa na akili ya kupambanua unayoyafanya mbele yao.
Mimi nimejitolea kuongea hili, hata nichukiwe ila nawaambia ndugu zangu wanaume fear women. Hata mnikamate mniue na kunigaragaza, mnitukane na kunisimanga ila kauli yangu ya mwisho ni fear women.
Fear women, Fear women
Amani Dimile
#amanidimile #fearwoman #misemo_ya_hekima #tungomaridadi #hekimayadimile #fikrazadimile