Katika Nchi yetu Viongozi wetu wa kisiasa wamekuwa wagumu sana kuomba msamaha wanapokosea,sababu ni nini?Mfano tu,Waziri anajibu swali la mbunge kwa kusema "na wewe tafuta hoja nyingine",kuna vitisho mbalimbali katika uchaguzi n.k. wana JF mnafahamu zingine,Je ni mazingira ya siasa za Tanzania ndio imewalea hivyo au tatizo ni sheria zilizopo?