Kwanini vijana wa SUA hawana ajira?

Kwanini vijana wa SUA hawana ajira?

Build A Better Tomorrow Ndio Ilikua Miradi Ya Watu Kutoka Katika Hiko Chuo Kama Tawala Zetu Zingekuwa Seriously......
 
Lazima unichukie kwa sababu hauna facts unaropoka tu
kwendaaaaaa mpuuzi wewe SIPENDI UCHANGIE MADA ZANGU...nitakuwa nakutusi....eti sina facts wewe uliyetembelea china kwa kuuza pumbu lako ndio una facts...
 
kwendaaaaaa mpuuzi wewe SIPENDI UCHANGIE MADA ZANGU...nitakuwa nakutusi....eti sina facts wewe uliyetembelea china kwa kuuza pumbu lako ndio una facts...
Mada zako nitachangia na nitakukosoa na hautanifanya kitu
 
Changamoto iliyopo ni kule juu, hatuna pa kusimamia na kushika yaani tunajiendea tu, wazo la mtu mmoja akilala akiamka linaweza kuathiri generation yote, si kwamba hatuna mikakati laah tunayo mingi tu tatizo ni utekelezaji, ni watu wa zimamoto sana na maslahi binafsi.
 
Ndio nimeanza hivyo
Kwendaaa takataka wewe womanizer low respect for women you suck!!!! unasema sina kazi wewe unafanya nini huko china kama sio kufukua mitaro ya wanaume wenzio pumbafyu
 
Hii inakatisha tamaa sana ya kusoma ili uajiriwe. Tusome tu ili tufanye kazi zetu binafsi kwa ufanisi, waajiri wakituhitaji watatupata kwa super scale kubwa
 
Back
Top Bottom