Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Hello JF...
Leo nauliza kwa nini wanafunzi wa SUA hawana ajira.???
Wenzetu mtu mwenye degree ni mtu mwenye uhakika na ajira...
Kwa nini serikali isijenge vyuo vingi vya Kilimo watu wasome...
Watu kuanzia waliomaliza darasa la saba mpakla form six waliofeli waingie kwenye hivyo vyuo wasome kilimo...
Watu waliograduate SUA ndio wafundishe kwenye hivyo vyuo after teacher training...
At least wanajua nadharia na vitendo...
Sijui cohort iliyopelekwa israel kusoma kilimo ilikuwa ni watu wa characteristics gani...
ila mimi ningependa kuona watu waliograduate SUA ndio waende huko...
Wenyewe ndio wako capable kusoma...kumchukua kijana out of bush kusoma ni kumuonea....they are not mentally ready...
Vijana wa SUA sio waende mashambani huko kusoma vitu ambavyo havitusaidi wakasome Agriculture trending courses kama the use of technolohgy to improve agricultrure proccess, data analytics in agriculture, Agribusiness management
Labda mtasema tutakuwa saturated na wakulima, ila kukiwa na researchers wa kubaini tulime nini tuuze wapi sijui kama kutakuwa na tatizo....
Nasema hivi sababu kuuza resources zetu kama bandari while tuna large untapped resource (Land) ni Plain stupidity!
onLY 33%of our arable land has been used, tuki optimize matumizi yake lazima tutamove foward...
Halafu serikali iwe inatoa credibility kama inatoa mawazo huku sio kulaumu tu
Haya wana JF nimepuyanga au?
Leo nauliza kwa nini wanafunzi wa SUA hawana ajira.???
Wenzetu mtu mwenye degree ni mtu mwenye uhakika na ajira...
Kwa nini serikali isijenge vyuo vingi vya Kilimo watu wasome...
Watu kuanzia waliomaliza darasa la saba mpakla form six waliofeli waingie kwenye hivyo vyuo wasome kilimo...
Watu waliograduate SUA ndio wafundishe kwenye hivyo vyuo after teacher training...
At least wanajua nadharia na vitendo...
Sijui cohort iliyopelekwa israel kusoma kilimo ilikuwa ni watu wa characteristics gani...
ila mimi ningependa kuona watu waliograduate SUA ndio waende huko...
Wenyewe ndio wako capable kusoma...kumchukua kijana out of bush kusoma ni kumuonea....they are not mentally ready...
Vijana wa SUA sio waende mashambani huko kusoma vitu ambavyo havitusaidi wakasome Agriculture trending courses kama the use of technolohgy to improve agricultrure proccess, data analytics in agriculture, Agribusiness management
Labda mtasema tutakuwa saturated na wakulima, ila kukiwa na researchers wa kubaini tulime nini tuuze wapi sijui kama kutakuwa na tatizo....
Nasema hivi sababu kuuza resources zetu kama bandari while tuna large untapped resource (Land) ni Plain stupidity!
onLY 33%of our arable land has been used, tuki optimize matumizi yake lazima tutamove foward...
Halafu serikali iwe inatoa credibility kama inatoa mawazo huku sio kulaumu tu
Haya wana JF nimepuyanga au?