mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Haujui kama mwenyekiti wa ccm ana 20%.kila tiketi IKISHINDA?
AMKA.JIONEE NGUVU YA BUKU.
AMKA.JIONEE NGUVU YA BUKU.
Alaaah.kumbe ndo huyu mdau.kwa hyo hajafa?Kuna mdau aliwai kuleta uzi unataka kujidedisha kumbe bado upo??? Ishi maisha yako masuala ya kufatilia watu sio sawa.
Kwa ujumla sifuatilii maisha ya mtu ila nimeandika uhalisia uliopo kwenye jamii ya Africa / Tanzania. Na kama unaona nimekuudhi unaweza kupita tu hata bila kuandika chochote.Kuna mdau aliwai kuleta uzi unataka kujidedisha kumbe bado upo??? Ishi maisha yako masuala ya kufatilia watu sio sawa.
Hahahaha Adui wetu ni DietYawezekana; si unajua na mimi ni wale wale walokula ugali wa mahindi toka utotoni? Haya nimeyajua ukubwani ndo maana nayaandika japo kwa kukosea ili watakaosoma wachukue kile nilichomaanisha na sio kile kilichokosewa!
Hawa ndio maadui wetu:Hahahaha Adui wetu ni Diet
JF KAMA JALAJALA JAMAA HAELEWEKI KABISAumeona sasa unavojichanganya... watoto wa matajiri hawana akili darasani bali ya maisha, ila sisi tunaokula ugali ndio tuna akili darasani kuliko hao watoto wa matajiri.
Possibly because I eat more ugali and riceWewe ni miongoni mwa wengi ambao hawatanielewa! Wachache wamenielewa sana!