Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
- Thread starter
- #41
Umeona; KAkili zoote zimehamishiwa kwenye siasa ndo maana kijana akipata ukuu wa wilaya anapewa hongera za mafanikio utafikiri hiyo ni fani
azi za kuteuliwa,
Kuchaguliwa,
Watu wanaacha mambo waliyosomea wanaenda kupewa ubalozi .. ....
Yupo wa kulaumiwa japo kisaikolojia hatupaswi kulaumu kwa kuwa limeishatendeka .. inabidi tuyafanyie kazi yasiendelee.