Kwanini vibonge wengi wana roho nzuri?

Vibonge wansmile vizur yana mda mwingi wanafuraha tu, Hivi vipenseli unaeza kuta hata kakaa mwenyewe ila kavuta kamdomo chiriku
 
Roho inayoelea kwenye mafuta itakuwaje mbaya?
 
Watu wembamba moyo unakuwa unajigonga kwenye mifupa ya kifua ndiyo maana roho zao zimejaa chuki na visirani.
 
Sahii kabisa faiza, hawana chuki
Hata Kwa waislam ukikuta wale wamefanywa makazi ya majini(mapepo)mfn faiza mbweha,mange kimambi,Mzazi mwenzake na sugu wengi wanakuwa ni wembamba,Ila wale wamama wanene hata avae baibui msambwanda ,tumbo la biriani,na kifua cha haja vinaonekana huwa Wana roho nzuri Sana..Cha kushangaa hata majini yanawaogopa
 
Kwahiyo vibonge wakikonda wanakuwa na roho mbaya!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…