kilochindikipoporu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 244
- 208
Kuna maeneo na maeneo kwamfano huku mtwara hufanyika mafichoni maana wateja wengi ni waislam huwa hawapendi kujulikana, mtwara hihi ukienda ndanda kule kitimoto njenje kule kuna mpaka mabucha kabisa kwasababu kule wakristo ni wengi.
Natumaini hamjambo.
Kama wewe ni mdau kidogo au sana katika maswala ya ulaji ama ununuzi wa nyama ya nguruwe, basi utakua unanielewa zaidi katika uzi huu.
Hivi ni kwanini maeneo karibia yote kwa Dar hata baadhi ya mikoa mengine nyama hii pendwa huuzwa mafichoni kama magendo hivi?
Ni kwanini pia huwa hakuna mabango mazuri ya kuvutia wateja?
Karibuni wazoefu wa mambo mtuelimishe zaidi.