Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jobless mpka sasa ivi bado umelala,kwa raha gani sasa🤣🤣🤣🤣,amka uingie ata web ya Psrs
 
hivi pinacoladee unalalaga kweli.pdf walitoa saa 3 just imagin saa tatu tuko active web toka saa 12 asubuhi🤣 🤣
Basi nlitoka online kdogo tu narud nkasem ebu nikachungilie kdg nakutana na kimweku kipya🤣,nkasema huu sasa utakua mzigo wa kwenda alooooo kuja kudownload nguvu zte ziliisha
 
si ndo nashangaa saa 10 alfajiri upo online nakati jana mara ya mwisho umeappear saa tisa usiku.. 🤣 🤣
Mm napumzik tu,ukiniona spo online ujue bundle limekata tu🤣🤣🤣🤣,vle vibundle vya jero vinakatika chap tu
 
Kaimu katibu mpole sana ikiwezekana apumzike,wamueke wa moto atetee majobless,moja ya interview anasem kiupole uku anatabasam anaulizwa why placement znachelewa anajibu vibali ndo tatizo uku anasmile as if ili sio shida kwake as long as yeye pesa znaingia na maposho ya kufanyisha watu interviews wananufaika tu maana haiwezekan una mamia ya watu data base still mainterviews kibao. Unasema shida ni vibali uku kama katibu usemi utatusaidia kuondoa tatizo au utudanganye basi mtakaa na mamlaka husika kujadili ishu ya vibali kuchelewa au kama taasisi iliyopewa mamlaka na nyinyi toeni order zenu au sheria zenu kwamba tunataka mambo yanyoke ivi kama mtatangaza nafasi za kazi basi vibali viwe tayar vimetoka.
 
Halafu jambo lingine yani psrs hawajiamini kuliko sisi majobless adi nashangaa🤣🤣 wana shida gani,wanaulizwa kwanini matokeo ya oral hayawekwi hadharani yule afisa Tehama anajibu et mkiyajua matokeo yenu au ukijijua upo database hutaenda kufanya interview nyingine,sasa apa shida iko wap waachie matokeo ayo?apa ndipo inaleta kiulizo kuna watu wanapewa nafasi wasizostahili🤣,sasa unajiuliza wana huruma na sisi kiasi gani yani eti nisiende kufanya interview nyingine kisa najijua nipo database au nimepass so nitakaa tu nisubiri placement kwahyo wanatuonea huruma tusipoenda kufanya interview nyingine🤣🤣🤣..nilichek sana kama mazuri hii interview
 
Back
Top Bottom