Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ndio Mkuu, kiukweli oral kupita ni kazi ngumu sana, bora nisubiri placement kwa oral yangu ya mwaka jana Dodoma sirudi tena labda waniuwe
Pole sana mzee , pia hongera.
Muhimu tusichoke kupambana tena na tena.
Ipo siku na sisi tutakuwa watumishi wa serikali
 
Nimetoka kupitia convo za mwanangu IT ambaye saiv ni kibaraka wa MAMA SHAMTE... kwakweli ile BACHELOR aliyonayo inatakiwa ijazwe WISDOM,SELF ESTEEM,SELF RESPECT ukweli ujobless unachosha,unakatisha tamaa ila isifike pahala ukajisuuza kwa watu wakakumaliza kwamba huyu ni RAJABU ni mzaliwa wa AKASHOMI (Kagera) anaenda taasisi A kazi B mshahara C katoka familia D kaishi maisha E.....inshort humu kuna watu wengi wapo watakaokuwa wanahusika na (UTUMISHI) “nahisi sina hakika” wanaweza hisi kwamba uyu mwajiriwa mpya ataweza kutunza Siri za serikali hasa iki kitengo chake? Inshort FURAHA ikizidi ni kama TAA ya GARI kuiungia umeme wa TANESCO.......nakumbuka nlivoitwa interview niliomba kuuliza baadhi ya maswali humu ndani ili niyafahamu kwa kina “HUYUHUYU NDO ALIENAMBIA NINA WENGE KWAKUA NLIKUA NAJIELEZA SANA, SASA LEO HII NAANGALIA HAYA MAGAZETI ALIYOYACHAPISHA UMU NDANI nabaki kusema ALLAHUMA AMIN Mungu akamtangulie JOBLESS wetu na nnatamani nipate picha yake alivokua amekosa kujiamini MTAANI KWAKEsijui alikua anafananaje (JOKES)
 
Nimetoka kupitia convo za mwanangu IT ambaye saiv ni kibaraka wa MAMA SHAMTE... kwakweli ile BACHELOR aliyonayo inatakiwa ijazwe WISDOM,SELF ESTEEM,SELF RESPECT ukweli ujobless unachosha,unakatisha tamaa ila isifike pahala ukajisuuza kwa watu wakakumaliza kwamba huyu ni RAJABU ni mzaliwa wa AKASHOMI (Kagera) anaenda taasisi A kazi B mshahara C katoka familia D kaishi maisha E.....inshort humu kuna watu wengi wapo watakaokuwa wanahusika na (UTUMISHI) “nahisi sina hakika” wanaweza hisi kwamba uyu mwajiriwa mpya ataweza kutunza Siri za serikali hasa iki kitengo chake? Inshort FURAHA ikizidi ni kama TAA ya GARI kuiungia umeme wa TANESCO.......nakumbuka nlivoitwa interview niliomba kuuliza baadhi ya maswali humu ndani ili niyafahamu kwa kina “HUYUHUYU NDO ALIENAMBIA NINA WENGE KWAKUA NLIKUA NAJIELEZA SANA, SASA LEO HII NAANGALIA HAYA MAGAZETI ALIYOYACHAPISHA UMU NDANI nabaki kusema ALLAHUMA AMIN Mungu akamtangulie JOBLESS wetu na nnatamani nipate picha yake alivokua amekosa kujiamini MTAANI KWAKEsijui alikua anafananaje (JOKES)
Mkuu ulpotea sana..
 
Nimetoka kupitia convo za mwanangu IT ambaye saiv ni kibaraka wa MAMA SHAMTE... kwakweli ile BACHELOR aliyonayo inatakiwa ijazwe WISDOM,SELF ESTEEM,SELF RESPECT ukweli ujobless unachosha,unakatisha tamaa ila isifike pahala ukajisuuza kwa watu wakakumaliza kwamba huyu ni RAJABU ni mzaliwa wa AKASHOMI (Kagera) anaenda taasisi A kazi B mshahara C katoka familia D kaishi maisha E.....inshort humu kuna watu wengi wapo watakaokuwa wanahusika na (UTUMISHI) “nahisi sina hakika” wanaweza hisi kwamba uyu mwajiriwa mpya ataweza kutunza Siri za serikali hasa iki kitengo chake? Inshort FURAHA ikizidi ni kama TAA ya GARI kuiungia umeme wa TANESCO.......nakumbuka nlivoitwa interview niliomba kuuliza baadhi ya maswali humu ndani ili niyafahamu kwa kina “HUYUHUYU NDO ALIENAMBIA NINA WENGE KWAKUA NLIKUA NAJIELEZA SANA, SASA LEO HII NAANGALIA HAYA MAGAZETI ALIYOYACHAPISHA UMU NDANI nabaki kusema ALLAHUMA AMIN Mungu akamtangulie JOBLESS wetu na nnatamani nipate picha yake alivokua amekosa kujiamini MTAANI KWAKEsijui alikua anafananaje (JOKES)
famchezo nn
 
Kinachouma kuwa ajira portal ni kwamba kwa mfano wewe una leseni ya udereva, diploma ya uhasibu na digrii ya rasilimali watu; umezibainisha kwenye akaunti yako,
Ujue hapo kazi utayoruhusiwa kuomba ni ya digrii ya rasilimali watu tu,
zingine za chini huwezi kuomba kabisa.
  • Wakitangaza kazi za udereva, unakosa vigezo,
  • Wakitangaza kazi za uhasibu wa ngazi ya diploma, napo huna vigezo, kwa sababu tu una digrii.
 
Kinachouma kuwa ajira portal ni kwamba kwa mfano wewe una leseni ya udereva, diploma ya uhasibu na digrii ya rasilimali watu; umezibainisha kwenye akaunti yako,
Ujue hapo kazi utayoruhusiwa kuomba ni ya digrii ya rasilimali watu tu,
zingine za chini huwezi kuomba kabisa.
  • Wakitangaza kazi za udereva, unakosa vigezo,
  • Wakitangaza kazi za uhasibu wa ngazi ya diploma, napo huna vigezo, kwa sababu tu una digrii.
unawazidi sana maarifa wa chini( diploma) ukifanya nao interview. Pambana na rika lako( degree). By utumishi
 
yaani leo kuna watu wamefanya usahili na matokeo yametoka leoleo au sijaelewa vizuri tangazo la matokeo.mbona watu ni wengi vile imewezekanaje..?
 
Back
Top Bottom