Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

PSRS IMEKUWA JIPU.

INABIDI WALITOLEE MUHAFAKA.

UKIOMBA KAZI LEO TAR 30/10/2023.

UTAITWA INTERVIEW BAADA YA MIEZI MIWILI HADI MITATU (30/12/2023)

UKIMALIZA HAPO KUITWA KAZINI MIEZI MIWILI HADI MINNE.

TUSEME 30/4/2023.

Yaani mchakato wa ajira unatumia miezi SITA.

inabada ajira kwao sio emergency.

Wakishatoa majina wanasema waliobaki majina yao yanakaa mwaka lakini wanaanza kuhesabia kuanzia siku ya mwisho ya interview
 
Namshkuru Sana ,Mungu KATIKA mkeka uliyotoka Jana na mim nimefanikiwa kulamba asali ,nikutoka Database,aiseeh ,tujitahidi kuomba Mungu na kuhudhuria usahili PSRS ,wakati wa Mungu ni sahihi.

Hongera sana mkuu,

Nakutakia mafanikio katika majukumu yako mapya, ukawe mtumishi mwema, mtiifu na mchapakazi. Pia kazingatie Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa umma pale unapotimiza majukumu yako.

Pia, kumbuka kutoa Shukrani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji katika mazingira yako kama vile watoto yatima, walemavu na wazee. Hii itasaidia kufungua milango ya baraka na mafanikio zaidi katika maisha yako.

👊👊
 
Sioni kama waliomshauri mshikaji wana maana kama unayomanisha hapa. pili ,inaonekana wewe ni mgeni wa sahili za TRA, TANROD, IMMIGRATION NK bila maelekezo ni ngumu sana kutoboa , ndio maana anashauriwa aende PSRS . Ila hajalazimishwa
Sioni kama waliomshauri mshikaji wana maana kama unayomanisha hapa. pili ,inaonekana wewe ni mgeni wa sahili za TRA, TANROD, IMMIGRATION NK bila maelekezo ni ngumu sana kutoboa , ndio maana anashauriwa aende PSRS . Ila hajalazimishwa
Sioni kama waliomshauri mshikaji wana maana kama unayomanisha hapa. pili ,inaonekana wewe ni mgeni wa sahili za TRA, TANROD, IMMIGRATION NK bila maelekezo ni ngumu sana kutoboa , ndio maana anashauriwa aende PSRS . Ila hajalazimishwa
Acha maneno Bro mnatukatisha tamaa ambao hatunaga ndg Serikalini tushindwe kwenda kutetea nafasi zetu.

Mwanzo wakati TRA imejitoa nilisema sitaangaika kuomba tena(Nikiwa na Perception za TRA ni full mjuano) nitafute Shamba nianze kilimo.

Cha Ajabu zilipotangazwa niliomba na nikawa shortlisted sio tu shortlisted nikashangaa pia kukuta Mtihani wa TRA ni mwepesi kuliko mitihani yote iliyokuwa ya Kada za TRA zilizokuwa zikifanyika Utumishi (Hapa sitaki kubishana haya ni maoni yangu na ndiyo ukweli).

Sasa hivi tena mnasema mpaka uwe na connection ndiyo upate kazi haya bhana nitakuja na Ushuhuda yakitoka. Japo Siku hizi mzukaa na huu Uzi sina Kabisa maana hakuna Kazi nayoweza kuapply tena baada ya Taasisi kujitoa.

Mwisho wa Yote tupunguze mitazamo hasi Juu ya Taasisi Kwa kuwakataza watoto wa Maskini kutokujaribu maana Unaweza kuta TRA ya Before Utumishi sio ya Sasa hivi baada ya Utumishi kuwepo .
Sasa Oral Tra tar 8 written MDA tar 5..

Nadhani nyie mmetoka kumaliza chuo juzi hamuwajui TRA,BOT,EWURA NA TANAPA NA TANROADS Kwenye masuala ya ajira
 
Back
Top Bottom