Logi
Member
- May 2, 2018
- 46
- 200
Namshukuru sana mwenyezimungu hatimaye IT leo kaposti pdf yenye jina langu. ( nimelamba asali).
Nawashukuru wataalamu wangu wote kwa sapoti yenu.
Kauli mbiu ni ileile tusikate tamaa bila shaka wadau wa huu uzi wote tutapata placement kwa idhini ya muumba.
Mwenyezimungu Awaongozeni, awabariki na azifurahishe nyoyo zenu.
Hongera sana brother