Unajua watu wanaongeaga tu, siku zote maendeleo ni akili zako mwenyewe na namna unavyojipanga au hujawahi ona mtu mwenye mshahara mkubwa anaenda kumlilia mwenye mshahara mdogo amkopeshe hela, sasa sisi tuliopo huku kwenye field ndiyo tunayashuhudia hayo mambo.Wewe unafanya kazi TCRA? una kampuni ya software? au una ndugu mwenye hizo sifa hapo juu? Narudia tena kama hautakuwa na plan nzuri ya maendeleo hata ukipewa mshahara mkubwa kiasi gani utakuwa bogus tu.
Kuna watu wamefanya kazi mfano TANESCO dar miaka 5 hawajahi kumiliki asset yoyote lakini Mtendaji ka kata Kongwa ana Nyumba 2 na Noah ya biashara.
Msiwadharau watu wa TGS fanyeni utafiti wa kutosha. Hela huwa haitoshi hasa maeneo ya mijini the more you earn the more unaongeza matumizi akili mtu wangu.