Bwana Mrefu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 405
- 973
Sijakupata vizur chief, unaweza kunielezea kidogo hii comment?Apambane kupata received
Sijakupata vizur chief, unaweza kunielezea kidogo hii comment?Apambane kupata received
Sorry mkuu, nilikuwa namboost mzee mwenyewe Wizy maana ndio mambo yake hayo tangu enzi zake humu alipokuwa kwenye battleNaona wadau mnadiscus subaru nakati hata wana tunawaza placement mifukoni hata mia hatuna. .
kweli hatufanani
ngoja mr wizy aje akupe mwongozo wa hiyo status!Kuna jamaa yangu kwenye WEB; inasoma SELECTED FOR ORAL,,, APP; NOT SELECTED FOR ORAL hapo imekaaje?
Dah ! Hadi mwanangu Umeshasanda aisee ! ,Dah mi mwenyewe nahisi kusanda aisee sio kwa kusubiri huku .ahh watajijua wenyewe mi nshachoka.
Noma sanaa mzee ila komaa tu uskate tamaaDah ! Hadi mwanangu Umeshasanda aisee ! ,Dah mi mwenyewe nahisi kusanda aisee sio kwa kusubiri huku .
Anyway , Ngoja tuone inavyokuwa ,huku mapambano yakiendelea .
Duh wadau mnaonekana mmechoshwa sana na huu mchakato wa placement, lakn mungu yupo tueendelee kumtumania yeye naamini one day yes.Noma sanaa mzee ila komaa tu uskate tamaa
Sorry mwamba mlengwa ni lupe TzDuh wadau mnaonekana mmechoshwa sana na huu mchakato wa placement, lakn mungu yupo tueendelee kumtumania yeye naamini one day yes.
Mwenyewe nimesanda kwakwelSorry mwamba mlengwa ni lupe Tz
Daah sio poa mwamba!Mwenyewe nimesanda kwakwel
Kiongozi gani au alisema hivyo kuihusu idara gan? imenipita hii.Ukiona Kiongozi wa Idara huko juu anasema wanaojitolea wanawafikiria!!!!!!
Unajiongeza na wewe anamaanisha nn
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
N/Waziri wa Utumishi tena Bungeni Ninanukuu"Tutaongeza kifungu cha sheria kwa wanaojitolea"......Kiongozi gani au alisema hivyo kuihusu idara gan? imenipita hii.
TBS wanapiga interview na ni mwaka 1 tu. Unatakiwa uondoke.Kujitolea ni janja janja tu. Kuna watu wanajitolea lakini wanalipwa posho hadi laki 6 isiyo na makato. Sasa huo ni mshahara wa muajiriwaa graduate halmashauri. Anaejitolea kihalali ni mwalimu tu maana huwa hawapewi hata mia. Ila ukisikia MTU anajitolea TBS, TRA, TANROAD, TANESCO, BOT jua hiyo in connection.
hawa jamaa wanamfumo mzuri.Kujitolea ni janja janja tu. Kuna watu wanajitolea lakini wanalipwa posho hadi laki 6 isiyo na makato. Sasa huo ni mshahara wa muajiriwaa graduate halmashauri. Anaejitolea kihalali ni mwalimu tu maana huwa hawapewi hata mia. Ila ukisikia MTU anajitolea TBS, TRA, TANROAD, TANESCO, BOT jua hiyo in connection.
tbs👆hawa jamaa wanamfumo mzuri.
Ishafutwaga hiyo kitambo siku hizi hakuna huo utaratibuTBS wanapiga interview na ni mwaka 1 tu. Unatakiwa uondoke.
Taesa ndo wanapelekaga Volunteer kwenye hizi taasisi za umma za serikaliIshafutwaga hiyo kitambo siku hizi hakuna huo utaratibu