El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 1,518
- 3,392
lakini hebu vuta picha kwa hizi hustle uje usikie kuna mtu alikulambia asali kwa namna yoyote ile.si utamla nyama ndugu yangu 🤣 🤣Haiwezekan. C bado akifika kazini kuna mambo ya kuonyesha vyeti.
Sijawahi kwenda kwa mganga ila siku hy itabidi tuu ili nimtie mtu adabu huko huko halmashauri alipoajiriwa 😂lakini hebu vuta picha kwa hizi hustle uje usikie kuna mtu alikulambia asali kwa namna yoyote ile.si utamla nyama ndugu yangu 🤣 🤣
Yako wapWizara ya elimu wametoa majina...
PortalYako wap
Tujitahidi kuwa seriously wakuuPortal
Wameweka kwenye akaunt, i hope wataweka pdf pia kwenye tovuti soonTujitahidi kuwa seriously wakuu
Hiki ndicho ninachojiuliza....Mbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Ingia kwenye account yako mkuuTujitahidi kuwa seriously wakuu
Itakuwa mpaka wale watu wa tehema walio fanyiwa usaili kupitia mfumo wa atitude test wa kigital wapangiwe vituo vya kazi(placement) katika kila kituo kitakocho kuwa kinafanyiwa usahili ili wasimamie hizo sahili zitakazo kuwa zinafanyikaMbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
🤣 🤣 utumishi utawawezaMbona walisema usahili saivi ni kidigital Kila wilaya. Sasa mbona tunarudi kule kule kwenda Dodoma tena. WHY? PSRS NAOMBA MTOONEE HURUMA ZA GHARAMA ZA KUSAFIRI
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Kunani tena😃🤣 🤣 utumishi utawaweza
siunaona jamaa anashangaa utumishi walivyozindua mfumo wa kidigitali alafu interview zinafanyika analojia. 🤣 🤣Kunani tena😃
Saiv jina kama umepata kazi linatoka kwenye portal? NI website au kwenye apps?Wameweka kwenye akaunt, i hope wataweka pdf pia kwenye tovuti soon
Ulitumia web browser inafunguka?WADAU app yangu haijafunguka kwa miezi mitatu now. Shida nini
Mm kwangu inafunguka MkuuWADAU app yangu haijafunguka kwa miezi mitatu now. Shida nini
Yap inafungukaUlitumia web browser inafunguka?