Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,469
- 45,764
Mbona yapo mengi ingawa bongo hamna
mshkanyio ndo nn
Usukani hicho chake naona ni kikabilaSterling ndio anachomaanisha.
Sasa ukikaa kati kiti cha dereva kitakaa wapi?
Hapo huketi shetaniKwa nini watu wengi hupenda kuweka vitanda vyao pembeni ya chumba na sio katikati ya chumba!!?...
Mwana taarab mmoja alihoji kwa nini nahodha awe nyuma ilihali abiria wakae mbele!!?...
Mbona hii iko kati?Sababu ni hii hapa
Sterling haiwezi kuwa kati kwasababu gari itapoteza uelekeo,ikumbukwe kuwa gari imejengwa kwa misingi ya dereva kuona mbele na pembeni sasa sterling inapokuwa kati dereva hatoweza kuona pembeni ya body gari zilizonyuma yake
Duh ilo bonge la swali. Haha hah hahaKwa nini watu wengi hupenda kuweka vitanda vyao pembeni ya chumba na sio katikati ya chumba!!?...
Mwana taarab mmoja alihoji kwa nini nahodha awe nyuma ilihali abiria wakae mbele!!?...